Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
  • Closed
  • Sticky
SHERIA NA KANUNI ZA JAMII FORUMS Tafadhali jiepushe na mambo yafuatayo: 1. Kumvunjia heshima, kumkejeli, kumtukana, mjumbe yeyote. 2. Kuleta katika JAMII FORUMS maelezo yenye maudhui...
24 Reactions
2 Replies
23K Views
Habari zenu Ba Ndugu Baada ya Kusoma sana Jamii Forums Bila Kujisajili Hatimaye Nimekuja. Mimi Mgeni Naombeni Mnipokee. Nimevutiwa na Nyuzi Nyingiii Humu, Umughaka, Mshana jr , Mtibeli , Controlla...
0 Reactions
0 Replies
14 Views
Ni aje wakuu, hii ni post yangu ya kwanza kabisa, ndio kwanza nimeingia hapa. Like yako hapa ni ukaribisho rasmi kwangu. Ahsante
18 Reactions
78 Replies
678 Views
Habari zenu jamii forum members, aisee nilikuwa nikifuatilia jamii forum Kwa muda mrefu tangia mwaka 2012 , yaani miaka 12 iliyopita, japo am new member here. NIMEJIFUNZA MAMBO MENGI. Na nimeona...
6 Reactions
8 Replies
368 Views
Am new to the forum, kindly invite me in a warmly welcome note... I don't speak and write much Swahili... But 'll try out... Ciaao joh
5 Reactions
17 Replies
235 Views
Hello, JF Nimekuwa sehemu ya Familia. Niko tayari kuchangia elimu ya juhudi dhidi ya rushwa na udanganyifu kunufaisha wadau mbali mbali. Karibu
3 Reactions
3 Replies
64 Views
Napenda saaana JamiiForums
2 Reactions
14 Replies
208 Views
WAKUU HESHIMA SANA KWENU: Nimekua msomaji humu jf miaka takribani sita ila now ni mwanachama haiiii..humu ni vile sijasomeka persnlty yangu kwa kuwa sikua rasmi ila character za members na...
2 Reactions
9 Replies
140 Views
Mu hali gani wana JF Nimehamasika kushiriki mijadala pamoja nanyi Nimehamasika kuelimika kupitia JamiiForums Nimehamasika kuheshimu kanuni na sheria za jukwaa Nimehamasika kuwaheshimu nyote...
1 Reactions
3 Replies
103 Views
Hello 👋 naipenda Jamii Forums
1 Reactions
9 Replies
423 Views
Wakuu mjukuu wenu apa naomba mnipokee
1 Reactions
8 Replies
329 Views
Hello, ninafuraha kubwa kuwa miongoni mwa member humu ndani.
3 Reactions
9 Replies
233 Views
Nikaribisheni , nilikuwa guest sasa hivi nimejiunga rasmi
3 Reactions
15 Replies
445 Views
Bila kupoteza wasaaa, Mimi Heyyouyoungman ni mgeni hapa jamii forum, japo nakili kuifahan JamiiForums toka mwaka 2010 nikiwa kidato cha pili katika shule moja wapo huko Rukwa. Nimekuwa nikisoma...
2 Reactions
3 Replies
218 Views
Hi guys, nmekuja hivyo mnipokee
2 Reactions
4 Replies
173 Views
My Name is John Sule. A Bachelor of Science in Cyber-Security Student at The Institute of Finance Management(IFM) ....A Web developer with passion for creating beautiful and functional websites...
3 Reactions
12 Replies
382 Views
Nawapenda JF...maisha yapo tu. katika maisha wana jamii forum wamnitoa kwenye upweke na kuwa happy manytime ..thanks everyone inside
2 Reactions
5 Replies
274 Views
Mimi mgeni naombeni mnipokee npo Dar Gomz
1 Reactions
6 Replies
238 Views
Hello.. JF members, mimi ni mgeni wenu mpyaa naomba mnipokee, kutoka dom
0 Reactions
11 Replies
292 Views
Utajuaje kama unachitiwa na mpenzi yaan zile stage ambazo za kushtuka kma mpenzi wako
5 Reactions
42 Replies
1K Views
Habari, Nimefurahi kuwa sehemu ya jukwaa hili. Natarajia kusoma nyuzi kadhaa nzuri.
0 Reactions
7 Replies
398 Views
Back
Top Bottom