Vincenzo Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2020
- 12,896
- 27,219
Ndio ndioo wapo kazini haoNaona Moja inafanana na zile spac ship ama zinaitwaje sijui
Ndio ndioo wapo kazini haoNaona Moja inafanana na zile spac ship ama zinaitwaje sijui
Hyo n nyota jaaahVinapitaga hapa mida ya saa Moja 30' Hadi saa mbili Kila siku.
Kimoja kina mwanga kina ulingo kuzungukia.
Kingine kinafanana na stelite kina Kingo kama ngazi za helicopter.
View attachment 2946234View attachment 2946232View attachment 2946233
Kama kweli
HahaaaNifungulie mlango nije nikulinde bure kabisa...
Siyo ndege ya Zitto Kabwe hiyo, ile ndege ya jadi.....si unajuwa Waha kuacha asili yao ni mwikoVinapitaga hapa mida ya saa Moja 30' Hadi saa mbili Kila siku.
Kimoja kina mwanga kina ulingo kuzungukia.
Kingine kinafanana na stelite kina Kingo kama ngazi za helicopter.
View attachment 2946234View attachment 2946232View attachment 2946233
Usawa wa bahari ya Hindi..darHapo ni wapi vinapopita
DarHapo Ni Dar au Tanga?
Nxt time Record uzoom labda spaceship bwanaDar es salaam
Mi nimevizoea tangu mwaka jana naona vinaibuka viko mbali sana na na vinatembea Kwa kukunja Kona uelekeo uleule mmoja.
Na vinaibuka usawa wa baharini
Drone zina mwanga mkali hivo kama moto?Drone camera
Au kitakua kina Nyege.Kitakuwa kinatania tu
Ukishiba sana akili nayo inalala..
Usishangae sana ni matokeo ya futari haya mkuu .
😂😂😂😂😂😂 Now sasa mkuu nipo okyUkishiba sana akili nayo inalala
Sa huku uswekeni turekodiwe lipi la maana
Aisee..Ndio ndioo wapo kazini hao