Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,994
- 961
Hafidh Ameir, Mbunge wa Viti Maalum (Zanzibar) na Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwanamke Initiative Foundation (MIF) ameshiriki katika Mdahalo wa Kitaifa wa Wanawake na Muungano ulioandaliwa na Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) leo tarehe 25 Aprili, 2024 Jijini Dar es Salaam
Mhe. Wanu Hafidh Ameir kwa niaba amepokea zawadi ya UWT kwa Rais wa JMT Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan iliyokabidhiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi ambaye alikuwa ndiye mgeni rasmi katika Mdahalo wa Kitaifa wa Wanawake na Muungano.
#WanawakeNaMuungano
#UWTImara
#JeshiLaMama
#KaziIendelee
Mhe. Wanu Hafidh Ameir kwa niaba amepokea zawadi ya UWT kwa Rais wa JMT Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan iliyokabidhiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi ambaye alikuwa ndiye mgeni rasmi katika Mdahalo wa Kitaifa wa Wanawake na Muungano.
#WanawakeNaMuungano
#UWTImara
#JeshiLaMama
#KaziIendelee