Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Tickmill ananizungusha sana kuverify account yangu anahitaji document mpya ya adress tofauti n ile ya bank statement nlokwisha kuapload and also wananihitaji ni verify address kwa email most of the time. Wameomba cheti cha kuzaliwa nimewapa till now bado hawajajibu.

Je? wataniverify au ndo usumbufu afu mwisho wa day am not allowed to trade
mkuu mimi mwenyewe nimesumbuliwa sana ila nime waweza kwa kitu kidogo sana tafuta ya umeme na id kishwa maana mi nilikua watanizungusha ila fasta tu
 
Kama ndivyo hivi hii kitu itaniua kwa presha imeshaunguza acc zangu mbili wiki hii moja ipo inapumulia mashine daaah!!! Forex si mchezo
Next time, kukiwa kuna any major news ambazo zinaigusa currency flani kwa hyo wiki stay away from that currency pairs and this is a lesson, market wl move in a crazy kinda manner(in Rea's voice) last week theresa May alikua anapokea ile draft kuhusu Brexit kutoka EU, kama ulifanya Weekly technical analysis tu jumapili ilopita itakua ilikula kwako, lakini kama una fanyaga both yaani technical anlysis na Fundamental analysis you should have known that GBP currency pairs na EUR currency pairs zilikua sio za kuzigusa kabisa, mambo ni motooo.
Yaani stay out, price action wl not b respected, sio western wala eastern techniques wl b respected, kwahyo stay out.
Or njia nyingine if you have the iron balls u can trade online wth those news, kwa case ya last week Yule Mwanamama Theresa may alireject ile draft!!!! What do you expect?! GBP italoose cofidence ita creep down, kwahyo any GBP currency pair means GBP Italoose value the other currency ita appreciate.
Na kwa upande mwengine EUR itaappreciate kwahyo any currency pair ya EUR means EUR ita aprreciate the other currency ina depreciate.
Lakin njia rahisi ya kupiga pesa ilikua ni kwenda kwenye EUR/GBP currency pair na kuBUY, why?!! Because both coins zulikua ziko affected you could have get many pips there.
kwakukusaidia tu, Ukiwa unafanya weekely analysis jumapili kwa upande wa fundamental tumia
investing.com, forexfactory.com na bloomberg.com.
Niko kwenye moja ya Group la yule mentor, yeye aliwaambia watu wa Buy GBP halafu bila hata stop loss!! akiamungu ile call niliona kabisa ilikua wrong, natamani nitoe opinion lakin naogopa nitaonekana kimbelembele watu wata anza kunishambulia...akili ikaniambia chill out bro, uone watu wanavyo choma account.
Hahahahaha baada ya masaaa kadhaa there was a moment of silence halafu vilio vikafuata.
You need to learn to do your own analysis hata kama unapewa calls, kuna watu wanakaa kusubiria calls za mentor kule mi nawaambia mtalia sana na mtakuja kukumbuka maneno yangu na wengi wao ndo wale wakishachoma account wanakuja huku JF kulialia na kuichafua kampuni ya watu TMT.
Yaani ww unaegesha pumbu tu unasubiria mtu atoe call ww ubonyeze tu SELL or BUY..hahahahaha Maisha sio marahisi hvyo mzee.
Mm kwaupande wangu nadhani forex inahtaji dedication, inahtaji kusoma vitabu na sio tu vitabu bali vitabu sahihi, na sio tu kusoma bali kusoma na kuelewa unacho kisoma kinamaanisha nn.
Kunavitabu vngi sana vya forex, sio kila kitabu ni cha kusoma vingine vinakubomoa badala ya kukujenga.vingi ni upupu.
Kwa bahati mbaya wabongo wengi hatuna desturi ya kusoma vitabu hapa ndo utawakuta watu wanakaa kusubir calls za mentor.
No No No No, soma ujue kufanya analysis mwenyewe hata hyo call ya mentor pia umaifanyia analysis pia kabla hujaitrade coz at the end its your money that is invested.
Ukiloose money kwa kuplace trade ambayo imefanywa na analysis yako mwenyewe, that pain wl motivate you,trust me coz theres no one to blame but you.ukiloose kwa analysis ambayo imefanywa na mtu mwengine utaishia kumblame huyo mtu.
Samahani kwa maelezo marefu.
 
hell nah,,,, go and google forex is not networking marketing
i know its not network marketing but my point umeipata. its another kind of a ponzi scheme. people at the top of the ladder benefit from the ones beneath na ndio maana kila siku mko hapa kunadi makampuni and all that bullshit.
only few people are directly involvef wengine huku nyuma mmafanyiwa na wao in one way or the other.
ka.a ni utajiri mbona nyie sio matajiri? in the likes of the so called WAMEFANIKIWA ?
wote mko hapa eti mtu afanye trading on behalf with usd 100 upaye usd 2000 then ww unachukua usd800.
kwann hiyi 100 usitoe mwenyewe ufanye mwenyew hiyo biashara na faida uoate mwenyewe? bila kugawana na mtu
 
The way you have written kwa msisitizo kwa mtu hasiyejua maana ya foreign exchange market anaweza akadhani umeandika kitu cha msingi sana but ukweli ni kuwa andishi lako limeonesha ni kiasi gani upo kipofu katika mambo ya masoko ya fedha.
Labda niseme hivi binafsi nimefanya degree ya uchumi (BA in Economics) and Msc Finance and Investment (lengo sio kuonesha nimesoma bali ujue kuwa ninapozungumzia forex sio tu kuwa nimeisikia mtaani bt ni sehemu ya specialization yangu). Nimeijua forex for the first time back in 2012 kupitia kupitia profesa wangu aliyekuwa ananifundisha International financial markets. Hapa unajifunza money markets, capital markets and foreign exchange market (forex).
Tulipofika hapo kwenye foreign exchange market, profesa alitoa simu yake mfukoni na kutuambia kuwa, nanukuu, 'Gentlemen, at the end of this lecture you should be able to trade forex and make money light on your very mobile phones' . Kwa kweli sikumuelewa coz nilizoea kuwa trading forex inabid niende bank au beaure de change phyically and buy currencies for resell when their prices gone up.
Lakin alipoanza kutufundisha kwa kutumia cases (kumbuka mfumo wa nje wa elimu huwa wanatumia sana case studies kwenye kufundisha) ndio tulipokuja kusoma cases za watu kama akina Soros waliopiga pesa ndefu kwenye forex lakin pia watu wengi waliowah kuaminiwa na mabank wakapewa pesa za bank watrade na wakala hasara na kufungwa jela.
Naandika yote haya kukusisita kuwa kama kitu haukifahamu vizuri ni vema ukauliza au ukafanya kijiutafiti basi kisicho rasmi sana ukijue kuliko kutumia the so called 'fallacy of generalization'.
Nakubali in the forex trade zipo changamoto just like in any other business but that should not be the reason to say forex ni utapeli. Mwanafunzi yeyote aliyesoma accounts amesoma International finance, sasa sijui wakifika kwenye part ya foreign exchange market huwa wanafundishwa kugumble(kama wengi msemavyo forex ni gambling), jibu ni hapana. Forex ni knowledge watanzania wenzangu, just because you can't do it or many people get loss or wanatapeliwa haina maana kuwa forex ni utapeli.
Ni mawazo yangu tu sio lazima mtu ayakubali but just because you don't agree it doesn't mean they're not real.
my point is pamoja na kusoma kote huji na kubobea mbona bado hujatajirika hadi leo? tukusikie na ww ktk orodha ya matajiri TZ?
 
Next time, kukiwa kuna any major news ambazo zinaigusa currency flani kwa hyo wiki stay away from that currency pairs and this is a lesson, market wl move in a crazy kinda manner(in Rea's voice) last week theresa May alikua anapokea ile draft kuhusu Brexit kutoka EU, kama ulifanya Weekly technical analysis tu jumapili ilopita itakua ilikula kwako, lakini kama una fanyaga both yaani technical anlysis na Fundamental analysis you should have known that GBP currency pairs na EUR currency pairs zilikua sio za kuzigusa kabisa, mambo ni motooo.
Yaani stay out, price action wl not b respected, sio western wala eastern techniques wl b respected, kwahyo stay out.
Or njia nyingine if you have the iron balls u can trade online wth those news, kwa case ya last week Yule Mwanamama Theresa may alireject ile draft!!!! What do you expect?! GBP italoose cofidence ita creep down, kwahyo any GBP currency pair means GBP Italoose value the other currency ita appreciate.
Na kwa upande mwengine EUR itaappreciate kwahyo any currency pair ya EUR means EUR ita aprreciate the other currency ina depreciate.
Lakin njia rahisi ya kupiga pesa ilikua ni kwenda kwenye EUR/GBP currency pair na kuBUY, why?!! Because both coins zulikua ziko affected you could have get many pips there.
kwakukusaidia tu, Ukiwa unafanya weekely analysis jumapili kwa upande wa fundamental tumia
investing.com, forexfactory.com na bloomberg.com.
Niko kwenye moja ya Group la yule mentor, yeye aliwaambia watu wa Buy GBP halafu bila hata stop loss!! akiamungu ile call niliona kabisa ilikua wrong, natamani nitoe opinion lakin naogopa nitaonekana kimbelembele watu wata anza kunishambulia...akili ikaniambia chill out bro, uone watu wanavyo choma account.
Hahahahaha baada ya masaaa kadhaa there was a moment of silence halafu vilio vikafuata.
You need to learn to do your own analysis hata kama unapewa calls, kuna watu wanakaa kusubiria calls za mentor kule mi nawaambia mtalia sana na mtakuja kukumbuka maneno yangu na wengi wao ndo wale wakishachoma account wanakuja huku JF kulialia na kuichafua kampuni ya watu TMT.
Yaani ww unaegesha pumbu tu unasubiria mtu atoe call ww ubonyeze tu SELL or BUY..hahahahaha Maisha sio marahisi hvyo mzee.
Mm kwaupande wangu nadhani forex inahtaji dedication, inahtaji kusoma vitabu na sio tu vitabu bali vitabu sahihi, na sio tu kusoma bali kusoma na kuelewa unacho kisoma kinamaanisha nn.
Kunavitabu vngi sana vya forex, sio kila kitabu ni cha kusoma vingine vinakubomoa badala ya kukujenga.vingi ni upupu.
Kwa bahati mbaya wabongo wengi hatuna desturi ya kusoma vitabu hapa ndo utawakuta watu wanakaa kusubir calls za mentor.
No No No No, soma ujue kufanya analysis mwenyewe hata hyo call ya mentor pia umaifanyia analysis pia kabla hujaitrade coz at the end its your money that is invested.
Ukiloose money kwa kuplace trade ambayo imefanywa na analysis yako mwenyewe, that pain wl motivate you,trust me coz theres no one to blame but you.ukiloose kwa analysis ambayo imefanywa na mtu mwengine utaishia kumblame huyo mtu.
Samahani kwa maelezo marefu.
Daah mkuu umeongea vitu vya maana sana salute kwako
 
i know its not network marketing but my point umeipata. its another kind of a ponzi scheme. people at the top of the ladder benefit from the ones beneath na ndio maana kila siku mko hapa kunadi makampuni and all that bullshit.
only few people are directly involvef wengine huku nyuma mmafanyiwa na wao in one way or the other.
ka.a ni utajiri mbona nyie sio matajiri? in the likes of the so called WAMEFANIKIWA ?
wote mko hapa eti mtu afanye trading on behalf with usd 100 upaye usd 2000 then ww unachukua usd800.
kwann hiyi 100 usitoe mwenyewe ufanye mwenyew hiyo biashara na faida uoate mwenyewe? bila kugawana na mtu
Nakubaliana na wewe kwa kila kitu. Kasoro hapo pa ponzi scheme.

Ngoja nikwambie, wewe unafuga samaki, na umeona unapata kipato kikubwa tu, na unaona vijana wanahangaika sana mtaani, hutowasaidia?

Yes, unaweza usiwasaidie sbb wakianza kufuga watapunguza soko lako, na kupunguza kipato chako.

Lakini forex ni tofauti na ufugaji wa samaki, ni tofauti na Forever Living na GNLD au QNET... Huko pesa inaongezeka kadri unavyosaka watu. Huku hapana. Niko chumbani, natrade, napga hela, hata mpangaji mwenzangu hajui kuwa natrade! Haniongezei wala kunipunguzia kitu.

Hapa wewe ukiamua kutrade utatrade WEWE KAMA WEWE, usipotrade hupati faida, ukitrade unaweza piga au kupigwa, lakini hyo haimpi faida au hasara mwingine.

Ukisema watu wanajifaidisha kwa kuuza strategy ni kama kusema VETA ni ponzi scheme kwa sbb wanatangaza redioni watu wakasomee kuchomelea vyuma! mana strategy ni one time price and unajifungia chumbani kwako unatrade na kupga pesa utakavyo.... Na isitoshe, hakuna mtu anayemlazimisha mtu kununua strategy yake....

Pia umeongelea ishu ambayo NADHANI ni Account Management, hiyo mkuu sio huduma ambayo lazima uitumie, ila kama unaweza kumpa mtu $200 kwa mfano, akatrade na akipata faida akupe $600 baada ya miezi miwili (kwa mfano), regardless ya faida amepata, tabu iko wapi? Isitoshe, ni makubaliano yao, kama mtu kaamua kumpa mtu atrade pesa yake, na wakakubaliana terms tatizo lako liko wapi? Wewe huwekagi hela bank? Umewahi fikiria bank huwa wanaifanyaje pesa yako? Je, bank ni ponzi scheme? Mana nao unaweka laki mpaka mwaka uishe unakuta una kama sio laki na 5000 basi elfu 80, mana pamoja na kwamb pesa ni yako, bado unakatwa kila mwezi! Sasa huyu ambaye unampa $200 anatengeneza $2000 na anakupa $1200 huoni ni zaidi ya bank? Au labda mimi nina mawazo mafupi sana...

Mi nafikiri wale ambao wapo tayari kutumia huduma hyo waachwe tu waitumie. Na sio siri, mimi pia kuna mtu nimempa pesa yangu aitrade... Mana ratiba zangu haziniruhusu kutrade muda wote, na nkiweka pesa bank hakuna la maana napata.

Kama uko vizuri, naweza pia kukupa pesa unitradie.
 
Nakubaliana na wewe kwa kila kitu. Kasoro hapo pa ponzi scheme.

Ngoja nikwambie, wewe unafuga samaki, na umeona unapata kipato kikubwa tu, na unaona vijana wanahangaika sana mtaani, hutowasaidia?

Yes, unaweza usiwasaidie sbb wakianza kufuga watapunguza soko lako, na kupunguza kipato chako.

Lakini forex ni tofauti na ufugaji wa samaki, ni tofauti na Forever Living na GNLD au QNET... Huko pesa inaongezeka kadri unavyosaka watu. Huku hapana. Niko chumbani, natrade, napga hela, hata mpangaji mwenzangu hajui kuwa natrade! Haniongezei wala kunipunguzia kitu.

Hapa wewe ukiamua kutrade utatrade WEWE KAMA WEWE, usipotrade hupati faida, ukitrade unaweza piga au kupigwa, lakini hyo haimpi faida au hasara mwingine.

Ukisema watu wanajifaidisha kwa kuuza strategy ni kama kusema VETA ni ponzi scheme kwa sbb wanatangaza redioni watu wakasomee kuchomelea vyuma! mana strategy ni one time price and unajifungia chumbani kwako unatrade na kupga pesa utakavyo.... Na isitoshe, hakuna mtu anayemlazimisha mtu kununua strategy yake....

Pia umeongelea ishu ambayo NADHANI ni Account Management, hiyo mkuu sio huduma ambayo lazima uitumie, ila kama unaweza kumpa mtu $200 kwa mfano, akatrade na akipata faida akupe $600 baada ya miezi miwili (kwa mfano), regardless ya faida amepata, tabu iko wapi? Isitoshe, ni makubaliano yao, kama mtu kaamua kumpa mtu atrade pesa yake, na wakakubaliana terms tatizo lako liko wapi? Wewe huwekagi hela bank? Umewahi fikiria bank huwa wanaifanyaje pesa yako? Je, bank ni ponzi scheme? Mana nao unaweka laki mpaka mwaka uishe unakuta una kama sio laki na 5000 basi elfu 80, mana pamoja na kwamb pesa ni yako, bado unakatwa kila mwezi! Sasa huyu ambaye unampa $200 anatengeneza $2000 na anakupa $1200 huoni ni zaidi ya bank? Au labda mimi nina mawazo mafupi sana...

Mi nafikiri wale ambao wapo tayari kutumia huduma hyo waachwe tu waitumie. Na sio siri, mimi pia kuna mtu nimempa pesa yangu aitrade... Mana ratiba zangu haziniruhusu kutrade muda wote, na nkiweka pesa bank hakuna la maana napata.

Kama uko vizuri, naweza pia kukupa pesa unitradie.
Mkuu uko vizuri
 
Next time, kukiwa kuna any major news ambazo zinaigusa currency flani kwa hyo wiki stay away from that currency pairs and this is a lesson, market wl move in a crazy kinda manner(in Rea's voice) last week theresa May alikua anapokea ile draft kuhusu Brexit kutoka EU, kama ulifanya Weekly technical analysis tu jumapili ilopita itakua ilikula kwako, lakini kama una fanyaga both yaani technical anlysis na Fundamental analysis you should have known that GBP currency pairs na EUR currency pairs zilikua sio za kuzigusa kabisa, mambo ni motooo.
Yaani stay out, price action wl not b respected, sio western wala eastern techniques wl b respected, kwahyo stay out.
Or njia nyingine if you have the iron balls u can trade online wth those news, kwa case ya last week Yule Mwanamama Theresa may alireject ile draft!!!! What do you expect?! GBP italoose cofidence ita creep down, kwahyo any GBP currency pair means GBP Italoose value the other currency ita appreciate.
Na kwa upande mwengine EUR itaappreciate kwahyo any currency pair ya EUR means EUR ita aprreciate the other currency ina depreciate.
Lakin njia rahisi ya kupiga pesa ilikua ni kwenda kwenye EUR/GBP currency pair na kuBUY, why?!! Because both coins zulikua ziko affected you could have get many pips there.
kwakukusaidia tu, Ukiwa unafanya weekely analysis jumapili kwa upande wa fundamental tumia
investing.com, forexfactory.com na bloomberg.com.
Niko kwenye moja ya Group la yule mentor, yeye aliwaambia watu wa Buy GBP halafu bila hata stop loss!! akiamungu ile call niliona kabisa ilikua wrong, natamani nitoe opinion lakin naogopa nitaonekana kimbelembele watu wata anza kunishambulia...akili ikaniambia chill out bro, uone watu wanavyo choma account.
Hahahahaha baada ya masaaa kadhaa there was a moment of silence halafu vilio vikafuata.
You need to learn to do your own analysis hata kama unapewa calls, kuna watu wanakaa kusubiria calls za mentor kule mi nawaambia mtalia sana na mtakuja kukumbuka maneno yangu na wengi wao ndo wale wakishachoma account wanakuja huku JF kulialia na kuichafua kampuni ya watu TMT.
Yaani ww unaegesha pumbu tu unasubiria mtu atoe call ww ubonyeze tu SELL or BUY..hahahahaha Maisha sio marahisi hvyo mzee.
Mm kwaupande wangu nadhani forex inahtaji dedication, inahtaji kusoma vitabu na sio tu vitabu bali vitabu sahihi, na sio tu kusoma bali kusoma na kuelewa unacho kisoma kinamaanisha nn.
Kunavitabu vngi sana vya forex, sio kila kitabu ni cha kusoma vingine vinakubomoa badala ya kukujenga.vingi ni upupu.
Kwa bahati mbaya wabongo wengi hatuna desturi ya kusoma vitabu hapa ndo utawakuta watu wanakaa kusubir calls za mentor.
No No No No, soma ujue kufanya analysis mwenyewe hata hyo call ya mentor pia umaifanyia analysis pia kabla hujaitrade coz at the end its your money that is invested.
Ukiloose money kwa kuplace trade ambayo imefanywa na analysis yako mwenyewe, that pain wl motivate you,trust me coz theres no one to blame but you.ukiloose kwa analysis ambayo imefanywa na mtu mwengine utaishia kumblame huyo mtu.
Samahani kwa maelezo marefu.
Asante sana Boss nimekupata ni kweli Fundamental analysis tuliiignore wiki iliyopita hata nilivyoona call ya Mentor mi sikuingia ila nilisubili sana iliposhuka sana ndo nikaingia kumbe ilikuwa bado ina safari ya kwenda chini........anyway nimejifunza mengi sana juu ya hii kitu
 
Jinsi ya Kudeposit Hela yako kwa Broker Templer FX Trader Kwa njia ya M-pesa

Maelezo kwa njia ya picha

1.Baada ya kufungua akaunti yako, Ingia dashboard bonyeza palipozungushiwa alama ya blue

1689f237205c604ca695b0c1d778155b.jpg


2.Bonyeza Finance>>Deposits
dbb62af7dac00bf1b52fc38a68a3b6c5.jpg


3.Chagua akaunti unayotaka kuweka Pesa yako, kama ni cent basi utachagua cent , na kama ni universal akaunti utachagua universal acc. Angalia picha hapo chini
a9c1b0be0b7dff51091bb107ec55f13b.jpg


9f3f682a65464e94e3958af3d69e2198.jpg


4.Chagua mfumo Wa kulipia , (payment system) Chagua Ipay Africa
f45177e9e63028259732adb338d58e4f.jpg


de6f89f8b040668f449f82e0da9f9a36.jpg


5.Chagua njia ya kulipia (Method of payment) Chagua M-pesa Tanzania
c480ff8d1dbb6942dde8edf3eccae2e3.jpg


2377b0b9ecfa088def76ed6b35335a98.jpg


6.Ingiza kiasi cha hela katika Dollar (minimum Deposit ni $1)
63c5392cc6c24853ef9b55b402fc261f.jpg


Hapo utaweka kiasi chako , kwa mfano hapo pichani chini kwenye amount tumeweka $20, system itakusaidia kukujulisha $20 ni sawa na amount ya shilling ngapi za kitanzania, ukiangalia hapo kwenye Deposit unaona wamekuandikia 45,060TZS , hicho ndo kiasi ambacho inabidi udeposit ili kwenye MT4 yako ikaonekane $20.
20ff05672762da33c0cab1dfe72506e0.jpg


7.Bonyeza Deposit
6630a95a75d389e264b9fac066fdee95.jpg


Baada ya kubonyeza Deposits , utaletewa maelezo jinsi ya kulipia kwa njia ya M-pesa kama yanavyoonekana pichani hapo chini, Kumbuka kufwata maelezo utayoletewa.
fc088dc74e0ff4b995183f0163fba06f.jpg

Hapo kuna Namba ya kampuni (Business number) ambayo ni 261144 , pia kuna Namba ya kumbukumbu (Reference number), Hakikisha unaziandika sehemu maalumu . Baada ya hapo utabonyeza Complete.

Then utaenda kwenye Menyu Ya M-pesa
>Chagua 4 LIPA KWA MPESA.
>Ingiza namba ya kampuni ambayo ni 261144
>Ingiza namba ya kumbukumbu uliyopewa .
>Ingiza kiasi cha Pesa (ile uliyoandikiwa kwenye Deposit)
>Ingiza namba ya siri.
>Thibitisha.

Utapokea ujumbe kutoka elipa kuthibitisha malipo yako yameshapokelewa. Then subiri Baada ya Nusu SAA Washa MT4 uone kama mkwanja umesoma.

Kwa wale ambao bado hawajafungua akaunti TemplerFx unaweza kufungua sasa kwa kuingia kwenye website yao hii Templer FX Trader uliza chochote nitakujibu hapa Au njoo PM nitakusaidia . Maisha ni murua na TemplerFx
Mkuu mbona sijawahi kuona mnatoa maelezo kuhusu workability ya visa na MasterCard kwa trmplerfx?

Inachukua muda gani kuwithdraw na kudepost ?????
 
Mkuu mbona sijawahi kuona mnatoa maelezo kuhusu workability ya visa na MasterCard kwa trmplerfx?

Inachukua muda gani kuwithdraw na kudepost ?????
Unaweza tumia skrill au master card lakini itahitaji further verifications. Ikiwemo kuverify card ya bank na address.
 
Nimeisoma news yooote, kama kuna video YouTube nielekeze, also naona mtaji ni mkubwa kwa mie DIT student ,labda nambie minimum capital,au kama its possible include me in free membership please!

Sandile namsomaaaa! The muffins producer in SA
rimras444@gmail.com
 
siku zote mtasema mnayosema but still. sio utajiri wenu.mnaounadi.
biashara yenye faida siku zote mtu hapendi kushea unless sharing is the core of the business profit
Sio watu wote wanaroho mbaya na ubinafsi mkuu, wewe kama hupend kushare vitu vyenye faida kwa ndugu, jamaa na marafik n. K basi tambua kua Kuna watu wao wanapenda kusambaza upendo kwa share vitu (biashara) vyenye kuleta faida & kwa kifupi FOREX ni biashara halali kabisa Tena inayolipa kuliko biashara zote unazozifaham ww, Lakin pia ina risk kubwa kulinganisha na biashara nyingine (kama huna knowledge yakutosha)
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom