CHADEMA fanyeni harambee kumnusuru Freeman Mbowe kisiasa na kiuchumi

Top 25 richest people in Tanzania
1.Said Bhakhresa
2.Subhas Patel
3.Fish Owner Mwanza
4.Rostam Aziz
5.Oilcom Owner
6.Yusuf Manji
7.Tunil Somaiya
8.Mohamed Dewji
9.Precision air
10.Tigo Owner
11.Reginand Mengi
12.Zantel Owner
13.Mh. Mkono
14.Air Tanzania
15.J. Patel
16.Mh. Chenge
17.Mh. Lowasa
18.Mh. M. Shabiy
19.Mh. M. Abood
20.Kilimanjaro Owner Arusha
21.Total Owner
22.Freeman Mbowe
23.Tarimba Abbas
24.Cello Plastic Owner
25.Twiga Cement Owner
 
Hao wapo wengii saana humu sasa tutawajua kidogo kidogo banduguzi c unajua Lumumba is home of MANYUMBU ukiijaariibuu kumfatilia unaeza kuta hta yule mkalia mkiitii ndio loofa zaaidii
 
Ipo hoi kivipi? Imepunguza wafanyakazi? Imeshindwa kulipa mishahara? Imeshindwa kutoa huduma muhimu za kijamii? Haitekelezi miradi ya maendeleo? Haikopesheki?
Hata mi nashangaa... Serikali yetu tajiri bwana ndo mana tumesema tutajenga nyumba za wananchi kagera pamoja na miundombinu bila hata kugusa fedha za michango!. We unae sema serikali haina fedha na UKOME!
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Kila mtu ana kitu kinachompa power ya kufanya vitu vingine. Wapo wenye nguvu nyingi kiasi cha kuweza kunyanyua vitu vizito. Ni katika nguvu hizo ndizo zinazowasaidia kufanya mambo mengine kama kujenga majumba ya kifahari. Wapo waliojaaliwa vipawa mbalimbali kama michezo nk. George Opong Weah alikuwa mchezaji hodari na mwenye heshima kubwa katika nchi yake ya Liberia. Ni kutokana na umaarufu huo ndipo alipojiingiza kwenye siasa na kugombea Urais.

Freeman Mbowe hana kipawa chochote. Mbaya zaidi hana hata elimu ya kuweza kumnyanyua kutoka daraja moja kwenda jingine. Umaarufu wa Mbowe umetokana na utajiri wa kurithi kutoka kwa wazazi wake. Si utajiri uliotokana na uwezo wake. La hasha. Ni kama kuokota dodo chini ya mchongoma.

Sasa hali yake kiuchumi imeanza kuyumba. Kwa sasa imefikia hatua mbaya sana kiasi cha kupunguza wafanyakazi kwenye makampuni yake kwa madai eti anapunguza gharama za uzalishaji. Ubunifu ziro. Cheo cha Managing Director wa Makampuni yake kimemshinda. Hana dira wala mwelekeo. Anasubiri kudura ya Mwenyezi Mungu kufanikisha mambo yake.

Nitoe rai kwa wana CHADEMA wote. Fanyeni harambee kumnusuru Mwenyekiti wenu Mbowe. Jahazi linazama. Kuzama kwa Mbowe kiuchumi maana yake ni kuzama kisiasa pia. Hana kingine kitakachompa power ya kupractice politics kwa ufanisi.

Mkimuacha Mbowe anafilisika kiuchumi maana yake mmekubali kukiondoa chama chenu kwenye ulimwengu wa siasa. Je mpo tayari kushuhudia hayo?
Wewe Ulirithi nini toka kwa wazazi wako au yale majoka ya Songea, Sasa mwenzako yalishamgeuka hayo majoka
 
Ipo hoi kivipi? Imepunguza wafanyakazi? Imeshindwa kulipa mishahara? Imeshindwa kutoa huduma muhimu za kijamii? Haitekelezi miradi ya maendeleo? Haikopesheki?
Imeshindwa kuajiri
Hospitals hamna dawa
Nchi ina chakula cha wiki1
Mabenki yamefilisika
Biashara zimefungwa
Waliotumbuliwa wanalipwa bado
Wahisani wamemtosa faru john
Miradi ya maendeleo imekufa
Wanafunzi wamekosa mikopo
Hotel zimegeuzwa hostel
Watalii wamrpungua
Bandari imebaki kama godown
Viwanda vimrpunguza uzalishaji au kuacha
Slogan ya Tanzania ya viwanda kumbe alimaanisha vibanda!!!!
 
Mkuu Lizaboni nyundo unazompiga huyo bwana wafuasi wake watakuua kwa matusi ingawa ni kweli tupu!! Nikuongezee point moja, kipaji chake kikuu ni "kupiga kabobo"! Ndo maana kaweza kubakia pale hadi leo.
Hahahahahahahaaaaaaa! Wafuasi wa Mbowe wana uelea mdogo. Ndo maana nawageuza kama chapati
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Kila mtu ana kitu kinachompa power ya kufanya vitu vingine. Wapo wenye nguvu nyingi kiasi cha kuweza kunyanyua vitu vizito. Ni katika nguvu hizo ndizo zinazowasaidia kufanya mambo mengine kama kujenga majumba ya kifahari. Wapo waliojaaliwa vipawa mbalimbali kama michezo nk. George Opong Weah alikuwa mchezaji hodari na mwenye heshima kubwa katika nchi yake ya Liberia. Ni kutokana na umaarufu huo ndipo alipojiingiza kwenye siasa na kugombea Urais.

Freeman Mbowe hana kipawa chochote. Mbaya zaidi hana hata elimu ya kuweza kumnyanyua kutoka daraja moja kwenda jingine. Umaarufu wa Mbowe umetokana na utajiri wa kurithi kutoka kwa wazazi wake. Si utajiri uliotokana na uwezo wake. La hasha. Ni kama kuokota dodo chini ya mchongoma.

Sasa hali yake kiuchumi imeanza kuyumba. Kwa sasa imefikia hatua mbaya sana kiasi cha kupunguza wafanyakazi kwenye makampuni yake kwa madai eti anapunguza gharama za uzalishaji. Ubunifu ziro. Cheo cha Managing Director wa Makampuni yake kimemshinda. Hana dira wala mwelekeo. Anasubiri kudura ya Mwenyezi Mungu kufanikisha mambo yake.

Nitoe rai kwa wana CHADEMA wote. Fanyeni harambee kumnusuru Mwenyekiti wenu Mbowe. Jahazi linazama. Kuzama kwa Mbowe kiuchumi maana yake ni kuzama kisiasa pia. Hana kingine kitakachompa power ya kupractice politics kwa ufanisi.

Mkimuacha Mbowe anafilisika kiuchumi maana yake mmekubali kukiondoa chama chenu kwenye ulimwengu wa siasa. Je mpo tayari kushuhudia hayo?
Kumbe Lizaboni upo? Mimi nilijua wewe ndo Peter Kalihose, duh!
 
Swali: Hivi hadi kufikia mwaka huu wa 2017 bado mnalipwa buku 7 ile ile au imeongezeka? Maana ni maajabu haya kwa namna mlivyokomaa ktk kujidai kuwa eti mnataka kukinusuru chama ambacho ni hasimu mkuu kwenu! Panya anamhurumia paka eti amekosa chakula, anaweza kufa njaa hivyo asaidiwe!
 
Back
Top Bottom