Sijui unaishi nchi gani ,kwa uwezo wako mdogo wa kujua kusoma na kuandika nadhani ungeelewa vema nchi inaendajeHahahahahahahaaaaaaaaa! Hata kama anaogelea lazima mtasema kuwa anawatimulia vumbi
Sijui unaishi nchi gani ,kwa uwezo wako mdogo wa kujua kusoma na kuandika nadhani ungeelewa vema nchi inaendajeHahahahahahahaaaaaaaaa! Hata kama anaogelea lazima mtasema kuwa anawatimulia vumbi
Iko tofauti kati ya "mfanyabiashara maarufu" na "muuza nyanya maarufu" mmoja ni general na mwingine ni specific.Labda ungesema Dj maarufu japo sijawahi kumsikia enzi hizo za kina Kalikali na Saydo!Sana, mfuatilie utaekewa
Aisee baba yako ana ngapi fala weweTehtehetehetehetehe. Sijui ni biashara gani zilizompa umaarufu Mbowe zaidi ya zile Hotel za kurithi na casino la Bilicanaz lililovunjwa
Tumia AkiliWe mbumbumbu kweli,unashindwa kumshauri ndugu yako akiyeiingiza nchi kwenye laana ya njaa unahangaika na mfanyabiashara maarufu.
Mimi ni mtumishi jibuKwa vile wewe si mtumishi wa Serikali, sina sababu ya kupoteza muda wangu kujibu maswali hayo
Nyie si mnamahakama ya mafisadi sasa si mumpeleke huyo lowassa, khaaa hata mungu anawashangaahuyu Mbowe kwanza mi nashangaa wangekuwa tayari wameshampandisha mahamakani alipe malimbikizo ya kodi zetu. anapinga ufisadi wakati yeye mwenyewe ni fisadi. " oooh.! nilisahau kama siku hizi ameukubali ufisadi "
Mbowe bana, ukitembea na fisadi Lowasa, na wewe lazima uwe fisadi tuu, ndo kanuni ya maisha hiyo, hakuna ujanja.
Wadau, amani iwe kwenu.
Kila mtu ana kitu kinachompa power ya kufanya vitu vingine. Wapo wenye nguvu nyingi kiasi cha kuweza kunyanyua vitu vizito. Ni katika nguvu hizo ndizo zinazowasaidia kufanya mambo mengine kama kujenga majumba ya kifahari. Wapo waliojaaliwa vipawa mbalimbali kama michezo nk. George Opong Weah alikuwa mchezaji hodari na mwenye heshima kubwa katika nchi yake ya Liberia. Ni kutokana na umaarufu huo ndipo alipojiingiza kwenye siasa na kugombea Urais.
Freeman Mbowe hana kipawa chochote. Mbaya zaidi hana hata elimu ya kuweza kumnyanyua kutoka daraja moja kwenda jingine. Umaarufu wa Mbowe umetokana na utajiri wa kurithi kutoka kwa wazazi wake. Si utajiri uliotokana na uwezo wake. La hasha. Ni kama kuokota dodo chini ya mchongoma.
Sasa hali yake kiuchumi imeanza kuyumba. Kwa sasa imefikia hatua mbaya sana kiasi cha kupunguza wafanyakazi kwenye makampuni yake kwa madai eti anapunguza gharama za uzalishaji. Ubunifu ziro. Cheo cha Managing Director wa Makampuni yake kimemshinda. Hana dira wala mwelekeo. Anasubiri kudura ya Mwenyezi Mungu kufanikisha mambo yake.
Nitoe rai kwa wana CHADEMA wote. Fanyeni harambee kumnusuru Mwenyekiti wenu Mbowe. Jahazi linazama. Kuzama kwa Mbowe kiuchumi maana yake ni kuzama kisiasa pia. Hana kingine kitakachompa power ya kupractice politics kwa ufanisi.
Mkimuacha Mbowe anafilisika kiuchumi maana yake mmekubali kukiondoa chama chenu kwenye ulimwengu wa siasa. Je mpo tayari kushuhudia hayo?
Halambee ya kagera mmeamua muwazike kabisa?Mkuu, Mbowe amekuwa akifanya hivyo siku zote na bado hali ni mbaya. Kwa sasa anahutaji zaidi ya ruzuku
Wadau, amani iwe kwenu.
Kila mtu ana kitu kinachompa power ya kufanya vitu vingine. Wapo wenye nguvu nyingi kiasi cha kuweza kunyanyua vitu vizito. Ni katika nguvu hizo ndizo zinazowasaidia kufanya mambo mengine kama kujenga majumba ya kifahari. Wapo waliojaaliwa vipawa mbalimbali kama michezo nk. George Opong Weah alikuwa mchezaji hodari na mwenye heshima kubwa katika nchi yake ya Liberia. Ni kutokana na umaarufu huo ndipo alipojiingiza kwenye siasa na kugombea Urais.
Freeman Mbowe hana kipawa chochote. Mbaya zaidi hana hata elimu ya kuweza kumnyanyua kutoka daraja moja kwenda jingine. Umaarufu wa Mbowe umetokana na utajiri wa kurithi kutoka kwa wazazi wake. Si utajiri uliotokana na uwezo wake. La hasha. Ni kama kuokota dodo chini ya mchongoma.
Sasa hali yake kiuchumi imeanza kuyumba. Kwa sasa imefikia hatua mbaya sana kiasi cha kupunguza wafanyakazi kwenye makampuni yake kwa madai eti anapunguza gharama za uzalishaji. Ubunifu ziro. Cheo cha Managing Director wa Makampuni yake kimemshinda. Hana dira wala mwelekeo. Anasubiri kudura ya Mwenyezi Mungu kufanikisha mambo yake.
Nitoe rai kwa wana CHADEMA wote. Fanyeni harambee kumnusuru Mwenyekiti wenu Mbowe. Jahazi linazama. Kuzama kwa Mbowe kiuchumi maana yake ni kuzama kisiasa pia. Hana kingine kitakachompa power ya kupractice politics kwa ufanisi.
Mkimuacha Mbowe anafilisika kiuchumi maana yake mmekubali kukiondoa chama chenu kwenye ulimwengu wa siasa. Je mpo tayari kushuhudia hayo?
Kweli, nani nipo tayari kumchangia Mbowe ili chama cha wazee wa kaskazini kisipotee katika ramani ya siasa za Tanzania.Nami nitamchangia. Sitaki upinzani ufe!
Kuonesha kama ni kweli anadaiwa ni kwamba alipofungashwa virago na NHC, Mbowe alikwenda mahakamani kuzuia NHC isiendelee kuhamisha vyombo vyake eti hadaiwi na jengo lile ni lake, lakini alishindwa mahakamani na kuamriwa alipe deni hilo.Kiuhalisia mbowe ameyumba kiuchumi.. Sasa ninajiuliza kweli alikua halipi madeni Nhc .. Au nivisasa vya mbogamboga alimalufu.. magamba ccm.nakama alikuwa halipi kodi basi nihakhi Nhc kudai madeni yao lkn tulichunguze hili jambo kwa umakini mukubwa bila ushabiki wa vyama..