CHADEMA fanyeni harambee kumnusuru Freeman Mbowe kisiasa na kiuchumi

huyu Mbowe kwanza mi nashangaa wangekuwa tayari wameshampandisha mahamakani alipe malimbikizo ya kodi zetu. anapinga ufisadi wakati yeye mwenyewe ni fisadi. " oooh.! nilisahau kama siku hizi ameukubali ufisadi "

Mbowe bana, ukitembea na fisadi Lowasa, na wewe lazima uwe fisadi tuu, ndo kanuni ya maisha hiyo, hakuna ujanja.
Binafsi nimechefuka, ishu ya kodi, bodaboda wananyanyashwa na trafic kuhusu bima, huku wakimuacha mbowe anatembea mtaani na billions za umma. Inatia hasira
 
Anampango wa kuhamia Dubai,akatumie zile za ile jackpot bingo aliyocheza mwaka jana! Kalagabaho.
 
Ukweli ni kuwa tunamhitaji Mbowe na fedha zake katika wakati huu ili tusimame.

Lakini hali inayoendelea ndani ya mifuko yake, inaonyesha hali ni mbaya sana. Ukata wa fedha umedhuru na wale waliokuwa wanamsaidia wamesepa na fedha zake.

Mbaya zaidi anafilisika wakati Lowassa akiwasha moto wa kutaka kukwea juu.

Sasa hapa, ndo watu wanaona wanampoteza kamanda wetu.
 
Ukweli ni kuwa tunamhitaji Mbowe na fedha zake katika wakati huu ili tusimame.

Lakini hali inayoendelea ndani ya mifuko yake, inaonyesha hali ni mbaya sana. Ukata wa fedha umedhuru na wale waliokuwa wanamsaidia wamesepa na fedha zake.

Mbaya zaidi anafilisika wakati Lowassa akiwasha moto wa kutaka kukwea juu.

Sasa hapa, ndo watu wanaona wanampoteza kamanda wetu.
Msajili wa vyama amekaa standby udenda unamtoka.

Kukitokea sintofahamu yoyote anakata ruzuku.
 
Lizaboni tafuta uzi wa barafu kuhusu Mbowe Hotels Ltd na Club yetu pendwa Afrika Mashariki na ya Kati yaani Club Billicanas labda utapata akili kidogo.
Umasikini wako na ukoo wenu usikufanye uwe na chuki na wenye nacho. Ungejiuliza kwenu wangapi wana utapiamlo na utawasaidiaje kwa hutwo tuposho unato kusanya kwa kuwasema wenzako wenye nacho ingekusaidia kidogo.
Njaa mwanaharamu wallah! Lizaboni mwanamume mzima waweza kushika ukuta ili upeleke kiroba cha unga nyumbani. Wakati wenzako wanawaza hatua nyingine ya kimaisha.
 
2017 ni mwaka wa ukweli....... Utawapata mambumbumbu ambao umewatengeneza ila walio zinduka sahau........ Kitu cha kwanza kinacho fanya serekali na usalama kwa mpizani wake ni mazungumzo ya kumrubuni wakishidwa wanaanza vitisho vikishindikana wana kwenda kwenye vikwazo vya maisha yake na akipita hapo ni kumuua au kusaliti amri sooo nenda katafute wale wa kageraaaa muwadanganye wamesha zoea hayo maneno sio sisi
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Kila mtu ana kitu kinachompa power ya kufanya vitu vingine. Wapo wenye nguvu nyingi kiasi cha kuweza kunyanyua vitu vizito. Ni katika nguvu hizo ndizo zinazowasaidia kufanya mambo mengine kama kujenga majumba ya kifahari. Wapo waliojaaliwa vipawa mbalimbali kama michezo nk. George Opong Weah alikuwa mchezaji hodari na mwenye heshima kubwa katika nchi yake ya Liberia. Ni kutokana na umaarufu huo ndipo alipojiingiza kwenye siasa na kugombea Urais.

Freeman Mbowe hana kipawa chochote. Mbaya zaidi hana hata elimu ya kuweza kumnyanyua kutoka daraja moja kwenda jingine. Umaarufu wa Mbowe umetokana na utajiri wa kurithi kutoka kwa wazazi wake. Si utajiri uliotokana na uwezo wake. La hasha. Ni kama kuokota dodo chini ya mchongoma.

Sasa hali yake kiuchumi imeanza kuyumba. Kwa sasa imefikia hatua mbaya sana kiasi cha kupunguza wafanyakazi kwenye makampuni yake kwa madai eti anapunguza gharama za uzalishaji. Ubunifu ziro. Cheo cha Managing Director wa Makampuni yake kimemshinda. Hana dira wala mwelekeo. Anasubiri kudura ya Mwenyezi Mungu kufanikisha mambo yake.

Nitoe rai kwa wana CHADEMA wote. Fanyeni harambee kumnusuru Mwenyekiti wenu Mbowe. Jahazi linazama. Kuzama kwa Mbowe kiuchumi maana yake ni kuzama kisiasa pia. Hana kingine kitakachompa power ya kupractice politics kwa ufanisi.

Mkimuacha Mbowe anafilisika kiuchumi maana yake mmekubali kukiondoa chama chenu kwenye ulimwengu wa siasa. Je mpo tayari kushuhudia hayo?
Chanel zimebana, we unadhani Magu mchezo, now ni mwendo wa Kodi tu, inavyoonyesha alikuwa na tumagendo kidogo sasa chanel zimekata
 
Wee lizanuni umerithi umbea majungu na fit a toka kwa mamako hahaha
Wadau, amani iwe kwenu.

Kila mtu ana kitu kinachompa power ya kufanya vitu vingine. Wapo wenye nguvu nyingi kiasi cha kuweza kunyanyua vitu vizito. Ni katika nguvu hizo ndizo zinazowasaidia kufanya mambo mengine kama kujenga majumba ya kifahari. Wapo waliojaaliwa vipawa mbalimbali kama michezo nk. George Opong Weah alikuwa mchezaji hodari na mwenye heshima kubwa katika nchi yake ya Liberia. Ni kutokana na umaarufu huo ndipo alipojiingiza kwenye siasa na kugombea Urais.

Freeman Mbowe hana kipawa chochote. Mbaya zaidi hana hata elimu ya kuweza kumnyanyua kutoka daraja moja kwenda jingine. Umaarufu wa Mbowe umetokana na utajiri wa kurithi kutoka kwa wazazi wake. Si utajiri uliotokana na uwezo wake. La hasha. Ni kama kuokota dodo chini ya mchongoma.

Sasa hali yake kiuchumi imeanza kuyumba. Kwa sasa imefikia hatua mbaya sana kiasi cha kupunguza wafanyakazi kwenye makampuni yake kwa madai eti anapunguza gharama za uzalishaji. Ubunifu ziro. Cheo cha Managing Director wa Makampuni yake kimemshinda. Hana dira wala mwelekeo. Anasubiri kudura ya Mwenyezi Mungu kufanikisha mambo yake.

Nitoe rai kwa wana CHADEMA wote. Fanyeni harambee kumnusuru Mwenyekiti wenu Mbowe. Jahazi linazama. Kuzama kwa Mbowe kiuchumi maana yake ni kuzama kisiasa pia. Hana kingine kitakachompa power ya kupractice politics kwa ufanisi.

Mkimuacha Mbowe anafilisika kiuchumi maana yake mmekubali kukiondoa chama chenu kwenye ulimwengu wa siasa. Je mpo tayari kushuhudia hayo?
l

Wwe
 
Kiazi wee serikali ya ccm imeshindwa kuajiri hadi walimu na ma Dr huoni uzembe na mbinu mbovu za kiuchumi?
Hotel na mashirika mengi yamepunguza wafanyakaxi/mishahara kisa uchumi mbovu ulioharibiwa na magufuli
Ulitaka mbowe asipunguze? Chanzo cha matatizo(ccm) kimepunguza watumishi na wenginr miexi7 hawajalipwa mishahara
 
Ipo hoi kivipi? Imepunguza wafanyakazi? Imeshindwa kulipa mishahara? Imeshindwa kutoa huduma muhimu za kijamii? Haitekelezi miradi ya maendeleo? Haikopesheki?
Tatizo lako Lizaboni kuna wakati utadhani unajipa likizo ya kufikiri. Hivi kungekuwa na pesa ya kufanyia haya akina NSHOMILE wangefanyiwa dhuluma ile kweli?
 
Back
Top Bottom