Caught on Tape: Mkakati wa Mamluki wafichuliwa!

Status
Not open for further replies.
hapa una hoja ingine zaidi ya udini, umetumwa kuhakikisha udini na ukabila unakuwa chanzo ha kuwagawa watanzania kwa msisitizo wa hali juu. Sentensi yako ya mwisho inadhihirisha hilo. Wewe ni mnafiki na mchochezi wa hali ya juu. Ni mtu hatari katika jamii (samahani kwa lugha hii). Unajua na ni wewe ndiye ulituambia habari za albert, na jinsi alivyohusika na suala hili. Sasa iweje usimshikie albert na hao wahadhiri wa kiislamu kama individuals, na umetilia mkazo zaidi waislamu (as bolded red above). Acha unafiki, kuna unachokipika hapa na unakijua fika deep down in your heart.




Sijui undani wake kwa sababu wewe ndio unajua undani wake; na umeuficha huo undani. Hapa umeweka habari ambayo ni kiini macho, na mie nimesoma habari ambayo in one way or another imetoka kwako. Kwa hiyo sina undani wowote zaidi ya uliowekwa hapa.

Was that press conference au ni mkutano tu? Naomba unieleweshe maana ya press conference. Kama ilikuwa inalindwa na polisi wenye silaha...inakuwaje video na sauti zikanaswa? Wakati huo huo na picha mgando zikakosekana? Kama zipo iwekwe hapa hata moja vinginevyo sitachoka kuona unafiki na uchochezi wako. Kwa nini nisibishe kuwa jeetu na baadhi ya watuhumiwa wa epa wako mahabusu?

Sina upeo mkubwa na hapa sina kazi maalum zaidi ya kusoma dataz zinazomwagwa hapa.


If you want me to be fair, you have to be fair first. Nevertheless rudia mabandiko yako.

Halisi, nakutakia kazi njema.

:( :( :( :( :(
 
MkamaP!
Wale wachezaji wa mpira wa miguu uliokuwa unatafuta watu hapa JF wa kukutafutia umeshawapata?

Tena kweli mkuu nabii kwao kukubalika huwa inakuwa shughuli pevu.Lakini kama una timu yako ama wachezaji wako unaweza wasiliana nami tembelea hapa
FootballAgency.eu

mwanzo ilikuwa website ilikuwa kwa kipolish wakachonga sana sasa tumewawekea kwenye lugha mnayoipenda. gonga hapa
FootballAgency.eu
 
Aise kumbe mijadala ya dini inaweza kukuonyesha true colours za watu humu JF! Hakika!

Its scary kuna watu sikujuwa kwamba wanakuwa emotional kiasi hiki wakiandika kuhusu dini! Kabisa sikutegemea.......WATU WANSHINDWA KUONGEA KWA HOJA WANAANZA EMOTIONS NA NAME CALLING! WHAT HAPPENED TO THE JF RULES AND DIMEANOUR?

Kumbe afadhali ya wapelestina wanaojilipua wakaonekana kabisa kwamba wanatetea mambo fulani..au wanaoua wakitetea dini zao kama waprotestant na wakatoliki huko Ireland au wahindu huko India......(it might be a bad thing..lakini atleast wanaweka wazi dhamira na misimamo yao na hata ukijadiliana nao..unakuwa unajua wanataka nini).

Humu JF kuna wanafiki wa kutupwa linapokuja swala la DINI! Yaani intellectualism ya mtu inakuwa zero mpaka unajiuliza hivi na huyu ndo mawazo yake? ...Yaani hawa ni wanafiki na ni watu wa kuogopwa...kuliko hata wanaojilipua!

Kama unabisha..anzia mwanzo wa hii thread..usome...utajua naandika nini hapa..

I can bet ( I hope I will be a prophet of doom) Tanzania our next battle..itakuwa ni DINI NA UKABILA. Na I tell you..msifikiri kwamba Rwanda, CONGO, BURUNDI etc..walimkosea Mungu..au Mungu anatupenda sisi kuliko wao....kuna watu walifanya kazi kwa bidii Tanzania iwe na amani tuliyonayo..lakini as an old adage goes...huwezi jua thamani ya kitu mpaka ukipoteze...



Jamani its scary...
 
Nadhani sasa hivi tumefikia mahala swala hili tunaweza kuliweka ktk kipimo.. nashukuru sana kusoma maelezo ya ndugu yetu Mfumwa ambaye kasema kwa ufupi sana kuelezea kile nilichopinga mimi..
Huwezi kabisa kutumia jina la dini, rangi, jinsia kwa mawazo ya kundi la watu wachache...Hii lugha nimeiona humu siku nyingi na mara zote nimejaribu kukemea lakini badala ya watu kutazama substance kujibu hoja zangu, wao huja na hoja zinazohusiana na chupa...
Mara nyingi Mtikila amekuja na maswala mengi yanayotatanisha lakini hata siku moja sijawahi kufikiria kwamba mawazo yake yana represent waumini wake..Acha huyo Mtikila tumeona viongozi wetu wengi wa kidini wakitumia nafasi zao kutangaza maswala ya kisiasa baada ya kupewa mshiko kidogo lakini bado hatuwezi kuhukumu dini ama dhehebu zima...Siwezi kufikiria hata mara moja kwamba Nyerere au Mkapa walifanya waliyoyafanya kama viongozi wanao represent mawazo ya wakristu..

Swala hili linatisha zaidi pale waandishi wetu wanapotumia jina la mtu toka Ikulu kuhusika hivyo kwa mtu yeyote mwenye akili ya kutambua.. Hoja nzima ilikuwa kuonyesha kwamba Kikwete ana mtu wake ndani ya njama hizi za Waislaam. Na vile yeye ni Muislaam, dhahiri malengo ya mikutano hii sio nzuri kwa waumini wa dini nyinginezo..
Kwa hiyo wale wote wanaofikiria kwamba mimi huwa nashikwa na jazba pale jina la Waislaam wanapohusishwa nawaomba waelewe kwamba kila wanaposema Waislaam hivi ama vile wana maana hata mimi ni mmoja wa njama hizo.. mara nyingi zungumzia wahusika, majina yao na pengine kuepuka kutumia maumbile yao, dini zao, makabila yao kujenga hoja ya maamuzi ya watu hao..
Ni ktk hali kama hii watu wengi wamevitazama vyama kama Chadema na CUF kwa rangi zake na hawajali tena kusoma dira ya vyama hivyo kulingana na sera wanazojaribu kuziuza..Na kwa bahati mbaya mawazo kama haya chama CCM wanafahamu wapi pa kuwamaliza Chadema na CUF na hakika uchaguzi 2010, kwa kutumia issue kama hizi watarudi Jukwaani..
Maswala ya dini, kabila, rangi na jinsia ni mazito sana kuliko maswala yote ya Ufisadi...nawaomba sana tuwe makini na hata siku moja msije fikiria kwamba tatizo langu ni mimi kuwa Muislaam kwani hoja sio mimi hata kidogo isipokuwa natazama kilichomo ndani ya chupa hiyo kama kinajenga ama kubomoa jamii yetu...

..ubovu wenyewe, huyo MKJJ ndio mdini nambari wani hapa JF!! na kadri siku zinavyozidi kwenda ndivyo naye anazidi kuwa bold na hata sasa hajifichi tena

..toka lini Albert Marwa akawa kiongozi wa waislamu? toka lini waislamu wakaongelewa kama group moja na kundi la wahuni ndio likapachikwa kuwa ni viongozi wao? haya ni matusi makubwa sana dhidi ya uislamu na waislamu wa TZ...

haya endeleeni na kukata issues, nawatakia kila la heri hasa MKJJ na group lake ktk uchochezi huu...

ijumaa njema na wkend njema!;)
 

Aise kumbe mijadala ya dini inaweza kukuonyesha true colours za watu humu JF! Hakika!

Its scary kuna watu sikujuwa kwamba wanakuwa emotional kiasi hiki wakiandika kuhusu dini! Kabisa sikutegemea.......

Humu JF kuna wanafiki wa kutupwa linapokuja swala la DINI! Yaani intellectualism ya mtu inakuwa zero mpaka unajiuliza hivi na huyu ndo mawazo yake? ...Yaani hawa ni wanafiki na ni watu wa kuogopwa...kuliko hata wanaojilipua!

Kama unabisha..anzia mwanzo wa hii thread..usome...utajua naandika nini hapa..

Masanja, hebu onyesha hizo posti, acha woga!
 
MkamaP!
Wale wachezaji wa mpira wa miguu uliokuwa unatafuta watu hapa JF wa kukutafutia umeshawapata?


Tena kweli mkuu nabii kwao kukubalika huwa inakuwa shughuli pevu.Lakini kama una timu yako ama wachezaji wako unaweza wasiliana nami tembelea hapa
FootballAgency.eu

mwanzo ilikuwa website ilikuwa kwa kipolish wakachonga sana sasa tumewawekea kwenye lugha mnayoipenda. gonga hapa
FootballAgency.eu
 
Aise kumbe mijadala ya dini inaweza kukuonyesha true colours za watu humu JF! Hakika!

Its scary kuna watu sikujuwa kwamba wanakuwa emotional kiasi hiki wakiandika kuhusu dini! Kabisa sikutegemea.......WATU WANSHINDWA KUONGEA KWA HOJA WANAANZA EMOTIONS NA NAME CALLING! WHAT HAPPENED TO THE JF RULES AND DIMEANOUR?

Kumbe afadhali ya wapelestina wanaojilipua wakaonekana kabisa kwamba wanatetea mambo fulani..au wanaoua wakitetea dini zao kama waprotestant na wakatoliki huko Ireland au wahindu huko India......(it might be a bad thing..lakini atleast wanaweka wazi dhamira na misimamo yao na hata ukijadiliana nao..unakuwa unajua wanataka nini).

Humu JF kuna wanafiki wa kutupwa linapokuja swala la DINI! Yaani intellectualism ya mtu inakuwa zero mpaka unajiuliza hivi na huyu ndo mawazo yake? ...Yaani hawa ni wanafiki na ni watu wa kuogopwa...kuliko hata wanaojilipua!

Kama unabisha..anzia mwanzo wa hii thread..usome...utajua naandika nini hapa..

I can bet ( I hope I will be a prophet of doom) Tanzania our next battle..itakuwa ni DINI NA UKABILA. Na I tell you..msifikiri kwamba Rwanda, CONGO, BURUNDI etc..walimkosea Mungu..au Mungu anatupenda sisi kuliko wao....kuna watu walifanya kazi kwa bidii Tanzania iwe na amani tuliyonayo..lakini as an old adage goes...huwezi jua thamani ya kitu mpaka ukipoteze...



Jamani its scary...

tatizo ni insensitivity na politicization of religion kwa baadhi ya wanasiasa na waandishi uchwara including Mwanakijiji......mpaka hilo litakapo badilika, basi future ya TZ si shwari!!
 
Aise kumbe mijadala ya dini inaweza kukuonyesha true colours za watu humu JF! Hakika!

Its scary kuna watu sikujuwa kwamba wanakuwa emotional kiasi hiki wakiandika kuhusu dini! Kabisa sikutegemea.......WATU WANSHINDWA KUONGEA KWA HOJA WANAANZA EMOTIONS NA NAME CALLING! WHAT HAPPENED TO THE JF RULES AND DIMEANOUR?

Kumbe afadhali ya wapelestina wanaojilipua wakaonekana kabisa kwamba wanatetea mambo fulani..au wanaoua wakitetea dini zao kama waprotestant na wakatoliki huko Ireland au wahindu huko India......(it might be a bad thing..lakini atleast wanaweka wazi dhamira na misimamo yao na hata ukijadiliana nao..unakuwa unajua wanataka nini).

Humu JF kuna wanafiki wa kutupwa linapokuja swala la DINI! Yaani intellectualism ya mtu inakuwa zero mpaka unajiuliza hivi na huyu ndo mawazo yake? ...Yaani hawa ni wanafiki na ni watu wa kuogopwa...kuliko hata wanaojilipua!

Kama unabisha..anzia mwanzo wa hii thread..usome...utajua naandika nini hapa..

I can bet ( I hope I will be a prophet of doom) Tanzania our next battle..itakuwa ni DINI NA UKABILA. Na I tell you..msifikiri kwamba Rwanda, CONGO, BURUNDI etc..walimkosea Mungu..au Mungu anatupenda sisi kuliko wao....kuna watu walifanya kazi kwa bidii Tanzania iwe na amani tuliyonayo..lakini as an old adage goes...huwezi jua thamani ya kitu mpaka ukipoteze...



Jamani its scary...

Nilikuwa siamini kama hapa ni jamvini na pia ni watu waaina gani tuliomo humu. Anyway umeamua kusema but kama ndo hivyi tulivyo then tunakoelekea sio hivi. Huku Tanzania hatupo hivi ni hapa tu jamvini tu....

Pole but usife moyo, hawa ni wachache ukilinganisha na wengi wetu huku vijijini...
 
Steve D,
Originally Posted by YournameisMINE
tatizo ni insensitivity na politicization of religion kwa baadhi ya wanasiasa na waandishi uchwara including Mwanakijiji......mpaka hilo litakapo badilika, basi future ya TZ si shwari!!

..... labda ndiyo maana wengi hapa JF walikuja juu kwa kuikalipia kauli ya Mh. Chilligati : Nchi iko salama na Haijayumba, mpuuzeni Mbowe - CCM
Mkuu wangu hapa Chiligati kazungumzia kauli ya Mbowe na watu wa pande zote hapa JF iwe CCM, Chadema au Independents wameweza kupima maelezo hayo ktk kumhukumu Mbowe, Kikwete ama Chiligati mwenyewe..Kwa hiyo hakuna mtu aliyemhukumu Chiligati kwa sababu ni Chiligati ila kauli yake na hatukumvuta Kikwete na wafanyakazi wote serikali chini ya utawala huu kuhusika na matusi yale..

Unapo Generalize hoja yako kuwahusisha watu wote wa jumuiya fulani ndani ya jamii yetu kama tishio la vikao vyao ni muhimu uwe na Uhakika mkubwa kuhusika kwa jumuiya hiyo...
Hili ndilo tatizo la mada hii na kwa bahati mbaya watoa madai wameshindwa kuona kipande hicho!...sababu, wamejifungia ndani ya hilo kabati wakifukiza ubani ktk meditation zao..
 
Wakuu,

Hapa bado sijaelewa vizuri...ITV, MKJJ na wengine wenye video au audio za huu mkutano wa Masheikh na Marwa ni wadini? Hilo limetokea wapi? Kwani watu wengine wamenyimwa kuwa na nzi wao kwenye mikutano ya maaskofu? Kwani ITV walisema kinyume na kile kilichotamkwa kwenye video ya siri waliochukua kwa minajili ya kupotosha? Sasa taabu iko wapi?

Ni majuzi tu vyombo vya habari viliwanasa askari wa usalama barabarani wakipokea hongo na vyombo hivyo vikawa ni mashujaa; mpaka IGP akapangua askari wake na kuwapa uhamisho. Sasa leo watu wameguswa, ukweli ukawa nje ndio imekuwa nongwa? Mimi mpenda methali nimekumbuka ile isemayo "Mkuki kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu"! (Tafadhali msiniandikie ujumbe wa chuki au kashfa ya udini...sikusudii kumwita mtu yoyote nguruwe!)

Basi na tuangalie substance ya kile kilichoripotiwa kwani naamini kwa dhati kuwa kina uzito katika jamii yetu.
 
Mpanda Merikebu long time not see you here my friend. Maneno safi sana hapo juu....Tunaomba usipotee sana bana ama kama merikebu ikikumbwa na dhoruba tunakuombea uzima na safari zako.

Meku,

Hii merikebu iliamua kuwa baharini kwa muda kidogo bila kutia nanga nchi kavu. Itaendelea na safari kama kawaida nami nitaendelea kuipanda kwa fahari!

Aika mbe!
 
Masanja,

Mkuu heshima yako sana, sasa onyesha post mkuu au kubali kua umekurupuka!

Ahsante Sana.

Mzee wangu wa sauti ya umeme heshima mbele;

Mkuu unajua nikianza name calling nitakuwa nafanya exactly yale ambayo napinga humu! Kushindwa ku-attack hoja na kuattack personalities. Mkuu huko siendi. nikidentify post ya mtu..nitaonekana kwamba mimi ndo mdini au mkabila...after all we see things differently... Iam sorry..Iam not going there..read the thread and Go figure!

My message is: Lets be civil in our discussion, we can disagree without demonizing each other. Yes kila mtu ana imani yake, lakini we have more problems than religion or tribalism before our plates.

My belief is..wengi humu JF mko ughaibuni ambako tunaweza kusema watu wako more understanding na uelewa wenu ni mpana. tunapojadiliana na watu kwa kuanza name calling..tunakuwa hatuna tofauti na akina Makamba na Mkuchika wanaotukana viongozi wenzao..simply because wametofautiana hoja. Sasa kwa mwendo huo hatuwezi kuwa credible alternative kwa system tunayoipinga ya akina Makamba na Kikwete.

Ni vema siku zote tukawa wawazi kujadili "sensitive issues" kama dini na ukabila...ni mambo ambayo yanatuhusu sisi wenyewe..sana sana tunakuwa tunaahirisha matatizo. Kwa nini siku zote....Kwa mfano mtu anahoji..kwanini BoT kuna watoto wa viongozi wengi au kwa nini TRA imejaa wachaga..and on and on..swala siyo ku-rebel mtu kwamba ni mkabila au mdini...swala ni kujibu hoja kwa hoja....


Tuache NAME CALLING! We can do better than that...

Masanja.
 
Kwa nini waislamu wakiguswa wana ng'aka sana???
Na wa kwanza kusema kuwa wanaonewa.Na malalamiko meeengi mpaka mtu una anza kuuliza hivi hili ni la msingi kweli??ukiuliza tunatetea dini.
Kwa nini hii inatokea sana kwa ndugu zetu waislamu????
 
Aise kumbe mijadala ya dini inaweza kukuonyesha true colours za watu humu JF! Hakika!

Its scary kuna watu sikujuwa kwamba wanakuwa emotional kiasi hiki wakiandika kuhusu dini! Kabisa sikutegemea.......WATU WANSHINDWA KUONGEA KWA HOJA WANAANZA EMOTIONS NA NAME CALLING! WHAT HAPPENED TO THE JF RULES AND DIMEANOUR?

Kumbe afadhali ya wapelestina wanaojilipua wakaonekana kabisa kwamba wanatetea mambo fulani..au wanaoua wakitetea dini zao kama waprotestant na wakatoliki huko Ireland au wahindu huko India......(it might be a bad thing..lakini atleast wanaweka wazi dhamira na misimamo yao na hata ukijadiliana nao..unakuwa unajua wanataka nini).

Humu JF kuna wanafiki wa kutupwa linapokuja swala la DINI! Yaani intellectualism ya mtu inakuwa zero mpaka unajiuliza hivi na huyu ndo mawazo yake? ...Yaani hawa ni wanafiki na ni watu wa kuogopwa...kuliko hata wanaojilipua!

Kama unabisha..anzia mwanzo wa hii thread..usome...utajua naandika nini hapa..

I can bet ( I hope I will be a prophet of doom) Tanzania our next battle..itakuwa ni DINI NA UKABILA. Na I tell you..msifikiri kwamba Rwanda, CONGO, BURUNDI etc..walimkosea Mungu..au Mungu anatupenda sisi kuliko wao....kuna watu walifanya kazi kwa bidii Tanzania iwe na amani tuliyonayo..lakini as an old adage goes...huwezi jua thamani ya kitu mpaka ukipoteze...



Jamani its scary...


Size ya Maandishi yako inafanya kuonekana kama unapiga kelele
 
Fidel80,
Kwa nini waislamu wakiguswa wana ng'aka sana???
Na wa kwanza kusema kuwa wanaonewa.Na malalamiko meeengi mpaka mtu una anza kuuliza hivi hili ni la msingi kweli??ukiuliza tunatetea dini.
Kwa nini hii inatokea sana kwa ndugu zetu waislamu????

Mkuu tatizo la Waislaam ni pale unapotumia neno hilo kuzungumzia visa vya baadhi ya watu fulani..Kwa mfano hapo juu umezungumzia Waislaam hivyo moja kwa moja unatuunganisha sote ktk hoja hiyo..Na bila shaka hivi sasa najiuliza - I'm I like that?..ndivyo mada hii imekuwa ikipelekwa..

Wanang'aka sana kwa sababu huwezi kuona Waislaam wakitumia mifano kama hiyo kuzungumzia Wakristu isipokuwa wahusika ambao pengine wana sababu nje kabisa ya dini yao ama pengine kutokana na mafundisho, matatizo na kadhalika waliyokumbana nayo wao...

Masanja,
Name calling sio jambo zuri kabisa isipokuwa kama kuna mtu mdini kutokana na vitendo ama maelezo ambayo yanadhalilisha dini nyingine ni bora sana akiambiwa kasoro hiyo ili apate kufahamu na pengine kujirekebisha. Kumwita mtu Mdini sio tusi, ila tusi ni pale Udini wenyewe unapotumika kwa wale ulowakusudia..

Na Tunapozungumzia swala la TRA kujaa Wachagga ina maana sisi tuna question kuwepo kwa Ukabila TRA (sehemu moja) hivyo macho yetu yanaelekea kwa mtu, watu, kikundi cha Wachagga kinachohusika na sehemu inayozungumziwa..Bila shaka sisi sote ikiwa ni pamoja na Wachagga wengine tunaweza kujadili issue hii kwa fikra huru tukifahamu wahalifu ni kina nani na sehemu gani..
Tofauti kabisa na hoja ambayo itawajumuisha Wachagga wote kuhusika na mbinu za Ukabila unaotendeka TRA ama kuhusika na njama za kueneza Ukabila nchini...Hapa mkuu haya ni madai mazito sana na bila shaka Wachagga watakuja juu..Hata kama mhusika mkubwa ni Mzee marehemu Marrealle..name calling inaanza pale unapowajumuisha Wachagga wote kuhusika na kitendo cha Uhalifu, wakati unajua fika kwamba Marealle sio kiongozi wa Wachagga wote na wala hakuwa na ubavu wa kuwaamrisha Wachagga wote..

Nikirudi ktk swala la BOT unapozungumzia watoto wa viongozi kujaa kule una maana kuna Uongozi mbaya BOT, hapa unawagusa viongozi, kundi la watu wahusika na sehemu inayohusika ktk kitendo hicho kibaya..Hivyo sisi sote tunaweza kuchangia kulaani kitendo hicho..Upana wa Watu na mazingira ndicho kinachotenganisha hoja hizi mbili..
Nitarudia kusema mnashindwa kuona makosa ya Uandishi hasa kwa mtu kama Mwanakijiji ambaye mimi binafsi tuna mawasiliano mazuri kabisa nje ya JF, siwezi kumwacha hata chembe wala kumpa pumzi anapoweka mawazo kama hayo Public...he is my Buddie, naogopa kesho atanielewa vipi nikimwacha wakati rohoni nina wasiwasi na fikra zake ambazo kama mwandishi zinampunguzia heshima ya uandishi..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom