Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,168
- 10,810
Kuna ubaya gani kwa Tanzania kuwa na uhusiano wa Kibalozi na OIC (kwa mujibu wa Katiba yao) kama vile Tanzania ilivyo na uhusiano na Vatican ambapo hatujalazimishwa kujiunga na Vatikani?
Kwanini kwenye OIC ni LAZIMA tuwe wanachama kwanza?
MKJJ inawezekana JK amegundua kuwa hatadeka tena marekani, jirani kaingia kuonoza nchi hivyo noma kwenda kuomba kwa mweusi mwenzako! hata kama tajiri. (jokes ??)
Kwa kuona hivyo kaona sehemu yakuponea si sisi kubuni mbizu za kutukwamua, bali ni kujiunga OIC, akaona kundi pekee la kutusaidia tupate hela ni Uislamu!, na akajua watang'an'gania sana tuingie, na tukisha ingia, hakuna muislamu atakayequestion fedha za OIC ziko wapi wala hakuna atakayeuliza faida iko wapi, kujiunga tu kwao ni kuridhika asilimia 100!
Maanza TZ inaongoza kupewa misaada , ilibidi tuulizane imeenda wapi, imefanya nini kabla ya kusubiri wazitumbue hizi za OIC
waberoya