linguistics
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 4,724
- 4,381
Haya kama kunakupumzika apumzike kwa amani. Mungu amtie nguvu mama yake. Wakati mwingine binadamu anajikuta kwenye wakati mgumu sana mpaka haoni thamani ya maisha.
Kweli mshana jrWaropokaji huishi maisha marefu hawana stress
VIP upo maeneo gan sahiv?duh hayo madeni aisee kaacha
Inauma mno kamaliza safari yake hapa duniani kwa style ya aina yake...kajiandaa na kuweka wazi kila kitu ana amani, OLE wao wadaiwa washindwe kulipa
Kweli kabisa kukaa na mambo moyoni bila ya kumshirikisha mtu matokeo ni kufanya maamuzi ya kipekeeHalafu mi naamini watu wanaojinyonga huwa ni wasiri sana!Ila waropokaji akishatoa ya moyoni kwa rafiki au mtu yoyote huwa wanapata relief hata kama hakusaidiwa maisha yanasonga.
Ni ushahidi uliokamilikaNa kwa msisitizo kaandika hadi wanaomdai,naona pana jamaa anadaiwa memory card 4GB hahahaha shughuli anayo ukute alienda kuigawa itambidi azame shop akanunue.
Kwenye elimu ya saikolojia Daata kuna watu wa aina mbili extrovert-wawazi sana hawakai na kitu rohoni na introvert-hawa ni watu wa kuweka vitu rohoni na si wapayukaji, wanaheshimika sana lakini huishi vifo vya namna hiiKweli kabisa kukaa na mambo moyoni bila ya kumshirikisha mtu matokeo ni kufanya maamuzi ya kipekee
nipo kwenye dala dala narudi shambaVi
VIP upo maeneo gan sahiv?
Imani yangu inasema huyo hapokewi maana juu hayupo chini hayupo, tumuombe aliyetuumba atunusuru na hasira au maamuzi ya namna hiyoMungu akupi
Akupokee salama dada, Na akusamehe dhambi zako zote
Rafiki, labda vile wameandikwa majina huwa hawalipi wanakauka kama sio wao.Inauma mno kamaliza safari yake hapa duniani kwa style ya aina yake...kajiandaa na kuweka wazi kila kitu ana amani, OLE wao wadaiwa washindwe kulipa
Kwa wale ambao ni wabishi kulipa madeni Watalipa tu!
Kwa asiye nacho hiyo ni kitu cha thamani mnoEti memory card 4gb.