Binti Ajinyonga, aacha majina ya watu anaowadai wamlipe

Huyo jamaa ni wa kumkataza kabisa
Haonekani Kwa macho ya kawaida, ni pepo hatari Sana, makazi yake ni angani na wenzake watatu, ifikapo saa 8 za usiku wote wanne hushuka angani na kwenda kuzimu Kwa ajili ya sherehe na kupata maagizo mengine kutoka Kwa Lucifer.
Huyu dada kaniuma Sana hebu mcheki hapa chini maskini
 

Attachments

  • IMG-20160330-WA0002.jpg
    IMG-20160330-WA0002.jpg
    43.1 KB · Views: 45
Due inauma Dada umeamua kufanya kazi ya Mtoa roho! Kitu gani kimempata au ndio juju! Mmh maana wabongo noma! Labda Lodge ingare, kujitoa uhai mmmh Mwenyzmungu apushie mbali
 
Ila mbona miguu imekanyaga chini tena imekunjika kidogo? Hivi inawezekana kweli kujinyonga halaf miguu ifike China vizuri hivyo?
 
Mmh tema mate chini ndugu yangu maisha yanapoamua kukugeuzia kibao lolote utafanya na hakuna kitu kibaya kama kupoteza tumaini. ..pale unapoona hakuna maana tena ya kuishi
Kweli mshana,,maisha yalivyo hayako kama tunavyoyaona na kujikaririsha.kuna matendo au matukio ambayo kamwe hayategemewi au kutegemea kutokea pindi unapoishi...
 
Back
Top Bottom