Eagle ,senator na bingwa hizo bia hadhi mojaKuna kitu kinaitwa Eagle
Ni kwikwi
Hata km mna mbau mfukon kampan ya watu wanne inatosha sana tu
Eagle ,senator na bingwa hizo bia hadhi moja
Ila hii FASTJET ina hadhi ya castre lager ,safar nk alafu uzur zaid hii inamajibu fastaa kuliko kawaida
Ukiwa na 20 alane inatosha sana na.unabakiwa na change wakat castre lager lazima uwe na kama 30
Alafuu hii haina trip za toilet sana kama vyesto lager sijui sababu nn??
Mie nikiwa na show fup napiga JIZEE LA UPAKO 750mil
Ila kama show ni ndefuu basi FASTJET Muhusikoni
Hizo eagle mkuu siziwezi kabisa naamkaga na hangover moj tata sanaa,n eagle kuna yakupima pia
hahaha,kwa sasa lusekelo ndo habari ya mjini. lusekelo ya 7000 plus nyama nusu kilo 5,000 plus tonic za 1200 namaliza siku safi.Wazee kwa hii ya awamu ya tano na kuisoma namba huku, nazan mpo pamoja nami kuwa hii ndio bia bora na inakuja kwa kasi ya ajabu sanaaa
Kadri magu anavyo zidi kukaza ndivyo FASTJET inapozidi kuwa tamu
Ukiachana na bapa la dk nyepesi LUSEKELO kinywaji muraa kisicho na tripi nyingi za toilet basi ni FASTJET inafwata kwa ubora kamili na maridhawa
Watu tunywee sana na kwa fujo maisha ni mafupi mnoo wachache wanafika 100yrs old
Tunywee tuu
Ponda rahaa ndio lengo la kuletwa duniani
Yeah LUSEKELO baba lao,ila huwez kunywa mengi hayoohahaha,kwa sasa lusekelo ndo habari ya mjini. lusekelo ya 7000 plus nyama nusu kilo 5,000 plus tonic za 1200 namaliza siku safi.
hahaha, mkuu ukitupia tonic ni mujarabu sana.ila kuna hiyo k vant ni chimbo lingine amazing sanaYeah LUSEKELO baba lao,ila huwez kunywa mengi hayoo
Sasa siku kama wkend tunaanza show mapemaa sanaa
Hilo la 750mil si utakuwa down fasta sanaaa
Mimi lusekelo napiga siku za kaz maana linafaaa sana na nicheap
Mm nakata dry kupata ladha halisi ...ah ah ahhahaha, mkuu ukitupia tonic ni mujarabu sana.ila kuna hiyo k vant ni chimbo lingine amazing sana
Siku hizi bingwa wameichakachua. Haina tofauti na Safari. Unaweza ukazikandamiza hata nane. Zamani ukifikisha hiyo idadi lazima haja zote zitoke.Eagle ,senator na bingwa hizo bia hadhi moja
Ila hii FASTJET ina hadhi ya castre lager ,safar nk alafu uzur zaid hii inamajibu fastaa kuliko kawaida
Ukiwa na 20 alane inatosha sana na.unabakiwa na change wakat castre lager lazima uwe na kama 30
Alafuu hii haina trip za toilet sana kama vyesto lager sijui sababu nn??
Mie nikiwa na show fup napiga JIZEE LA UPAKO 750mil
Ila kama show ni ndefuu basi FASTJET Muhusikoni
Hizo eagle mkuu siziwezi kabisa naamkaga na hangover moj tata sanaa,n eagle kuna yakupima pia
Eagle muziki mnene. Unazima kama kibatari kwenye upepo!!Kuna kitu kinaitwa Eagle
Ni kwikwi
Hata km mna mbau mfukon kampan ya watu wanne inatosha sana tu
Eagle muziki mnene. Unazima kama kibatari kwenye upepo!!
tupe mrejesho.Hii balimi inapaishwa sana cha ajabu Sijawahi kuinywa,...... Nadhani mwisho wa kusimuliwa ni leo jioni.
eeeh mwenyezi mungu ilinde roho yangu, hizi crates ni noma aseeBalimi raha sana ukipiga NNE na kuendelea we bingwa,
Karibuni tunauza tuwauzie bia jumla jumla.
MEATU-Simiyu
Mm nakata dry kupata ladha halisi ...ah ah ah
Huku pemben una nyama choma,mkuu.nala.fastjet hapa nisije badili mawazo bureee...ah ah ah
Nyagi zalendo kinoma,
Yaeah ila hangover yake balaaa na smell ni kama viwine flan hapo dar vinaitwa BURUDANISiku hizi bingwa wameichakachua. Haina tofauti na Safari. Unaweza ukazikandamiza hata nane. Zamani ukifikisha hiyo idadi lazima haja zote zitoke.