BalimiI/kirkuu a.k.a fastjet bei ndogo majibu fastaa

Kuna kitu kinaitwa Eagle

Ni kwikwi

Hata km mna mbau mfukon kampan ya watu wanne inatosha sana tu
Eagle ,senator na bingwa hizo bia hadhi moja

Ila hii FASTJET ina hadhi ya castre lager ,safar nk alafu uzur zaid hii inamajibu fastaa kuliko kawaida

Ukiwa na 20 alane inatosha sana na.unabakiwa na change wakat castre lager lazima uwe na kama 30

Alafuu hii haina trip za toilet sana kama vyesto lager sijui sababu nn??

Mie nikiwa na show fup napiga JIZEE LA UPAKO 750mil
Ila kama show ni ndefuu basi FASTJET Muhusikoni

Hizo eagle mkuu siziwezi kabisa naamkaga na hangover moj tata sanaa,n eagle kuna yakupima pia
 
Pande hizi za Chugani bado hazijandimbamo.
Duuh basi mnakosaa mambo mkuu


Hapo awali hii bia ilikuwa inadharaulika kinoma

Ilikuwa kama bia ya wakulima hv huku kanda ya ziwa

Kwasasa nmeielewaa na watu wameielewaa kinoma
 
Nitazitafuta nione

Eagle ,senator na bingwa hizo bia hadhi moja

Ila hii FASTJET ina hadhi ya castre lager ,safar nk alafu uzur zaid hii inamajibu fastaa kuliko kawaida

Ukiwa na 20 alane inatosha sana na.unabakiwa na change wakat castre lager lazima uwe na kama 30

Alafuu hii haina trip za toilet sana kama vyesto lager sijui sababu nn??

Mie nikiwa na show fup napiga JIZEE LA UPAKO 750mil
Ila kama show ni ndefuu basi FASTJET Muhusikoni

Hizo eagle mkuu siziwezi kabisa naamkaga na hangover moj tata sanaa,n eagle kuna yakupima pia
 
Wazee kwa hii ya awamu ya tano na kuisoma namba huku, nazan mpo pamoja nami kuwa hii ndio bia bora na inakuja kwa kasi ya ajabu sanaaa


Kadri magu anavyo zidi kukaza ndivyo FASTJET inapozidi kuwa tamu

Ukiachana na bapa la dk nyepesi LUSEKELO kinywaji muraa kisicho na tripi nyingi za toilet basi ni FASTJET inafwata kwa ubora kamili na maridhawa


Watu tunywee sana na kwa fujo maisha ni mafupi mnoo wachache wanafika 100yrs old


Tunywee tuu

Ponda rahaa ndio lengo la kuletwa duniani
hahaha,kwa sasa lusekelo ndo habari ya mjini. lusekelo ya 7000 plus nyama nusu kilo 5,000 plus tonic za 1200 namaliza siku safi. :):):)
 
hahaha,kwa sasa lusekelo ndo habari ya mjini. lusekelo ya 7000 plus nyama nusu kilo 5,000 plus tonic za 1200 namaliza siku safi. :):):)
Yeah LUSEKELO baba lao,ila huwez kunywa mengi hayoo

Sasa siku kama wkend tunaanza show mapemaa sanaa

Hilo la 750mil si utakuwa down fasta sanaaa

Mimi lusekelo napiga siku za kaz maana linafaaa sana na nicheap
 
Yeah LUSEKELO baba lao,ila huwez kunywa mengi hayoo

Sasa siku kama wkend tunaanza show mapemaa sanaa

Hilo la 750mil si utakuwa down fasta sanaaa

Mimi lusekelo napiga siku za kaz maana linafaaa sana na nicheap
hahaha, mkuu ukitupia tonic ni mujarabu sana.ila kuna hiyo k vant ni chimbo lingine amazing sana
 
hahaha, mkuu ukitupia tonic ni mujarabu sana.ila kuna hiyo k vant ni chimbo lingine amazing sana
Mm nakata dry kupata ladha halisi ...ah ah ah

Huku pemben una nyama choma,mkuu.nala.fastjet hapa nisije badili mawazo bureee...ah ah ah


Nyagi zalendo kinoma,
 
Niendelee tu kubugia
K vant yang stress zpungue
Kama co kuisha
 
Eagle ,senator na bingwa hizo bia hadhi moja

Ila hii FASTJET ina hadhi ya castre lager ,safar nk alafu uzur zaid hii inamajibu fastaa kuliko kawaida

Ukiwa na 20 alane inatosha sana na.unabakiwa na change wakat castre lager lazima uwe na kama 30

Alafuu hii haina trip za toilet sana kama vyesto lager sijui sababu nn??

Mie nikiwa na show fup napiga JIZEE LA UPAKO 750mil
Ila kama show ni ndefuu basi FASTJET Muhusikoni

Hizo eagle mkuu siziwezi kabisa naamkaga na hangover moj tata sanaa,n eagle kuna yakupima pia
Siku hizi bingwa wameichakachua. Haina tofauti na Safari. Unaweza ukazikandamiza hata nane. Zamani ukifikisha hiyo idadi lazima haja zote zitoke.
 
Balimi raha sana ukipiga NNE na kuendelea we bingwa,
cc1a530da423b53d479fe9c411db33d6.jpg

7a27643237a2c3894b2ebae6477246f4.jpg

ed662b4cd05baa0785cd3f095394a2c9.jpg


Karibuni tunauza tuwauzie bia jumla jumla.
MEATU-Simiyu
eeeh mwenyezi mungu ilinde roho yangu, hizi crates ni noma asee
 
balimi saaafi saaana yani..mwanzo nilikua naziponda saana lakin kuna siku zilinifanyia mazuri ikabidi ninipe heshima yake ila bado najishtukia yani lazima ni chane ile brand yake kwanza ...
 
Siku hizi bingwa wameichakachua. Haina tofauti na Safari. Unaweza ukazikandamiza hata nane. Zamani ukifikisha hiyo idadi lazima haja zote zitoke.
Yaeah ila hangover yake balaaa na smell ni kama viwine flan hapo dar vinaitwa BURUDANI
 
Back
Top Bottom