rushwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. olimpio

    Viashiria vya rushwa ICT commission na YAS - serikali ichunguze

    Tarehe 21 Feb ,ICT commission ilitoa tuzo muhimu tatu kwa kampuni ya YAS(zamani Tigo) Walishinda Tuzo tatu kama zilivyo hapa chini 1. Huduma Bora za Intaneti (Best Internet Service Provider) 2. Kampuni Bora ya Mawasiliano (Best Mobile Network Provider) 3. Mtumiaji Bora wa TEHAMA & Manufaa kwa...
  2. A

    DOKEZO Kagera: Rushwa imetawala ofisi ya kata Nyaruzumbura, wilayani Kyerwa

    Habari za Asubuhi ? Ninatanguliza shukrani kwa jukwaa hili la fichua UOVU. Nimewahi kwenda kupata msaada kwenye ofisi ya mtendaji wakata ya Nyaruzumbura , Wilaya Ya kyerwa, Mkoa Kagera, nilichokutana nacho huko kinatisha sana Rushwa imetawala vyakutosha kuanzia kwa MTENDAJI WA KATA, MTENDAJI...
  3. OKW BOBAN SUNZU

    Serikali ya Samia inanuka rushwa: Orodha ya Idara zinazoona zina haki ya kupewa rushwa

    Awamu ya Magufuli kidogo watumishi wa serikali walishaanza kuogopa. Nidhamu na customer care ilikuwepo kwa kiwango fulani. Kwa hiki nampongeza Magufuli. Awamu hii ya sita hali inatisha. Ofisi za umma zinanuia uvundo wa rushwa. Kuanzia boss mpaka msaidizi wa ofisi wote wanaweza kirushwa-rushwa...
  4. K

    Samia kashidwa swala la Rushwa, Haki na umasikini

    Samia kashidwa swala la Rushwa, Haki na umasikini Rushwa: Imeongezeka. Mikataba ya sirisiri na rushwa kila mahali Haki: Hakuna tume huru ambayo haimtegemei raisi. wizi wa kura kwa kutumia Polisi na usalama Umasikini: Huwezi kununua magari ya milioni 400 kwa bilioni 600 halafu unategemea dawa za...
  5. J

    Pre GE2025 Zawadi zinazotolewa na wanasiasa wakati wa Uchaguzi ni Rushwa? Wananchi wanatofautishaje?

    Usikose kuungana nasi leo Februari 13, 2025, kuanzia Saa 12:00 Jioni hadi Saa 2:00 Usiku kupitia XSpaces ya JamiiForums, kwa mjadala wa kina kuhusu zawadi wanazotoa Wanasiasa wakati wa Uchaguzi. Je ni rushwa? Wananchi wanatofautishaje? Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu...
  6. Ojuolegbha

    Serikali kupitia taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Mwanza katika kipindi cha Oktoba hadi Disemba 2024 imefanikiwa kufuatilia

    Serikali kupitia taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Mwanza katika kipindi cha Oktoba hadi Disemba 2024 imefanikiwa kufuatilia utekelezaji wa miradi ya maendeleo 13 yenye thamani ya zaidi ya sh. Bil 4.4 kwenye sekta ya Elimu, Barabara na Biashara ambapo kati ya hiyo...
  7. Carlos The Jackal

    Tabia ya Wamiliki wa Vyombo vya Moto Kutoa Rushwa huku wakiwarekodi Askari barabarani , Sheria isimuhukum Askari pekeake na Mtoa Rushwa awajibishwe

    Hawa Askari wetu wanafanya kazi kubwa na Ngumu mnoo, Mvua yao, Jua lao . Watanzania wachache Kwa upuuzi na makusudi yao, huamua kwenda Kumpa Hela Askari , wakati fulan Askari anaipokea akijua ni "Pole ya juani" kama ilivyo kawaida katika kada mbalimbali . Ajabu unakuta Mtanzania huyo alotoka...
  8. kingphisher

    Uhalisia wa madeni ya taifa letu na urejeshwaji wake kupita wananchi maskini kwa kukandamizwa na kodi za ajabu, rushwa na unyonyaji

    wananchi masikini wanahangaika ila mabeberu wapo bize kununua magari ya milioni mia nne ++ wakiendelea kula rushwa na kurundika madeni nchini, mwisho wa siku wanaachia ngazi na madeni yakushiba
  9. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 Luhaga Mpina: Baadhi ya Viongozi wa Serikali wanahusika kutorosha fedha

    Kivumbi tu! Kutoka kwa Mpina, anaendelea kutapika nyongo haswa Ila huyu jamaa ni tofauti sana na wanaCCM wengine yani aogopi kupiga panapo stahili ================ Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina, amesema Tanzania inakabiliwa na changamoto kubwa ya utakatishaji wa fedha haramu, hali...
  10. K

    Rais Samia weka Tanzania mbele, mbona mwenzako Ruto ameweza!

    Tatizo la nchi yetu ni viongozi wengi ni wabinafsi nilishangaa kwa utamaduni mfano wa kuwajengea wa Raisi wastaafu mahekalu kwa pesa ya walipa kodi na kulipa wenza wao wakati hii sio kazi ya kulazimishwa. Rais Samia anatakiwa aweke nchi mbele mwenzake Ruto pamoja na tofauti kubwa ya Odinga...
  11. JanguKamaJangu

    DC wa Songea: Mtumishi wa Umma amejitambulisha kuwa yeye ndiye Mkuu wa Wilaya, akachukua Rushwa

    RUVUMA: Mkuu wa Wilaya, Kapenjama Ndile amesema uwepo wa mifugo mingi kupita kiasi umekuwa ukiathiri kilimo na kuathiri mazingira Wilayani hapo na kuwa hali hiyo inachangiwa na rushwa inayosababisha uingizwaji wa mifugo kinyemela Ameeleza hali hiyo inatokana na kukithiri kwa Rushwa ambayo pia...
  12. J

    Pre GE2025 Rushwa na Uchaguzi: Ni kwa kiasi gani Vijana wanashindwa kugombea nafasi za Uongozi kutokana na Rushwa?

    Rushwa imekuwa kikwazo kikubwa katika mchakato wa uchaguzi, hasa ndani ya vyama vya siasa. Hii si tu inavuruga mchakato wa Kidemokrasia, bali pia inazima ndoto na juhudi za Vijana ambao wangependa kuona mabadiliko chanya katika uongozi wa Vyama na taifa kwa ujumla Katika Mjadala kuhusu Rushwa...
  13. music mimi

    Hivi Lissu atafanya vipi kazi na viongozi wenzake aliowatangaza ni watoa rushwa?

    Okay, Lissu ameshinda furaha ni kubwa kwa supporters wake lakini kwa wapinzani wake ni msiba mzito. Ni msiba sio kwa kuwa tu wamepoteza nguvu kwenye chama na Mbowe kashindwa, ila msiba mzito ni wao kusemwa vibaya wakati wa kampeni. Lissu alisema wazi chaguzi za kanda na mikoa zilijaa rushwa na...
  14. R

    Watu wanakula rushwa na kuuza mali za umma tupo kimya, Gozibeth kuchoma gari lililochakaa mnajidai wazalendo na mna uchungu; Unafiki

    Wale watuhumiwa wa ufisadi na wizi wa mali za umma wengi wapo mitandaoni wanamshauri Mwanamziki Gozibeth asingechoma moto gari bali angewapa wahitaji au kulirejesha. Kuna baadhi ya wanafiki wamekwenda kutafuta na kifungo cha maisha kwenye sheria kama adhabu wanayotamani apewe. Baadhi...
  15. T

    Afisa wa shirika la umeme Kenya akamatwa na Jeshi la polisi kwa tuhuma ya rushwa ya Tsh Milion 5.7 ili kumuunganishia tena mteja umeme

    Afrika bhana matatizo yake yanafanana sana hawa shilika la umeme la Kenya michongo yao kama TANESCO tu. Wapelelezi kutoka Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) wamemkamata mfanyakazi wa Kampuni ya Umeme ya Kenya (KPLC) kwa tuhuma za kudai Ksh.300,000 ili kuunganisha tena umeme...
  16. A

    DOKEZO TAMISEMI chunguzeni rushwa na matumizi mabaya ya fedha za serikali katika shule ya sekondari Mvuti

    Nimewiwa kuandika haya kutokana na ukimya wa kile kinachoendelea katika shule ya sekondari Mvuti iliyopo Halmashauri ya Jiji Ilala katika kata ya Msongora mtaa wa Kiboga tangu mwishoni wa mwaka 2019 alipoondolewa Head Master aliyekuwepo na kuletwa Headmaster Mpya aliyepo mpaka sasa! Je nini...
  17. Tlaatlaah

    Kiwango cha rushwa kwenye uchaguzi wa CHADEMA taifa ni aibu na najisi kwa demokrasia na upinzani wa Tanzania kwa ujumla

    My friends, ladies and gentlemen! Rushwa inatembezwa kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa Chadema Taifa kama njugu, bila aibu au kificho. Hakuna upande unaogombea uongozi, wa kukemea upande mwingine, kwasababu wote wanashiriki kwenye uovu huo unao chafua haiba ya chama chao na uelekeo wa misingi...
  18. milele amina

    Elimu bila Rushwa: Kuhama kwa mhadhiri Dr. Adam kutoka Chuo Kikuu cha MWECAU, kilichopo Kilimanjaro,wanachuo WAMESALI SALA YA TOBA!

    Kuhama kwa mhadhiri Dr. Adam kutoka Chuo Kikuu cha Mwecau, kilichopo Kilimanjaro, kumekuwa na tukio la kihistoria ambalo wanafunzi wa shahada ya pili chuoni hapo wameamua kulisherehekea kwa sherehe maalum. Wanafunzi hao wameonyesha furaha na matumaini ya mabadiliko chanya baada ya Dr. Adam...
  19. M

    Kwakuwa anatoa rushwa na rushwa haimpendezi Mungu natangaza kwa Jina la Yesu Mbowe hashindi huu Uchaguzi labda kama Mimi sisali kwa Bulldozer Mwamposa

    Anaandika Mjumbe wa Mkutano Mkuu === "Mbowe na wote wanaogawa rushwa natangaza kuwafuta katika Ulimwengu wa Kiroho na natangaza hawatashinda wale wote wanaogawa rushwa. Natangaza Lissu & Heche kwa sababu ya haki Watashinda kwa kura nyingi sana Kwakuwa Mungu wetu ni Mungu wa haki. Nataka...
Back
Top Bottom