marathon

The marathon is a long-distance race with an official distance of 42.195 kilometres (26 miles 385 yards), usually run as a road race, but the distance can be covered on trail routes. The event was instituted in commemoration of the fabled run of the Greek soldier Pheidippides, a messenger from the Battle of Marathon to Athens, who reported the victory. The marathon can be completed by running or with a run/walk strategy. There are also wheelchair divisions.
The marathon was one of the original modern Olympic events in 1896, though the distance did not become standardized until 1921. More than 800 marathons are held throughout the world each year, with the vast majority of competitors being recreational athletes, as larger marathons can have tens of thousands of participants.

View More On Wikipedia.org
  1. MamaSamia2025

    Mtanzania Geay avunja rekodi ya Daegu Marathon, South Korea

    Leo tarehe 23/02/2025 huko nchini Korea Kusini bendera ya taifa imepeperushwa vyema na kijana Mtanzania Gabriel Geay kwa kuvunja rekodi ya mbio za Daegu Marathon (course record) kwa kutumia muda wa masaa 2:05:20 na kuibuka wa kwanza. Ikumbukwe Geay ndo anashikilia rekodi ya taifa ya marathon kwa...
  2. Mgeni wa Jiji

    Kwa hivi Kili Marathon ilivyo heshima iende kwa Hayati Mzee wetu Philemon Ndesamburo.

    Wana Jamvi, Nipo Moshi baada ya kitambo kirefu cha kuhudhuria hili ambalo sasa tuliite tamasha la mbio za marathon la Kili Marathon. Kwa hizi siku mbili za tamasha kuelekea kilele chake siku ya jumapili tarehe 23 Februari, kimsingi ni leo siku ninayoandika uzi huu. Hili tamasha limekuwa kitu...
  3. Damaso

    Jacob Kiplimo has shattered history, becoming the first human to break the 57-minute barrier in the half marathon

    🚨 NEW WORLD RECORD! In Barcelona, Jacob Kiplimo has shattered history, becoming the first human to break the 57-minute barrier in the half marathon! He blazed through 21.1 km in an astonishing 56:42 (averaging 2'41"/km) 🤯 His jaw-dropping split times: 5K: 13:34 10K: 26:46 15K: 39:45 20K...
  4. ngara23

    Wanawake mnafanya jogging na marathon mnatutega

    Nyie mademu wa jogging mtakuja mtuuwe jamani Mnavaa vinguo vya kututega Sisi wanaume marijali tulishiriki jogging na marathon zenu, tutatoka tumemaliza kila kitu Tusiige wazungu Mwanamke wa kizungu hata avae kichupi hawezi kumshawishi mwanaume kihisia, huku kwetu maumbo ya kibantu afu umevàa...
  5. Melubo Letema

    Mwanariadha Magdalena Shauri Ashinda medali ya Dhahabu Shenzhen Marathon, China

    Mwanariadha wa kimaraifa Magdalena Crispin Shauri ameshinda medali ya DHAHABU 🥇 kwenye mbio za Shenzhen Marathon 2024 kwa muda wa saa mbili, dakika ishirini na tisa na sekunde thelathini (2:29:30) huko China leo 01/12/2024. Magdalena ni mwanariadha kutoka jeshi la JWTZ na ni wiki moja tu...
  6. Melubo Letema

    Mwanariadha Simbu aweka muda bora 2:04:38 Valencia Marathon 2024

    Mwanariadha wa Tanzania Alphonce Felix Simbu ameshika nafasi 4 kwa muda wa saa mbili , dakika 4 na sekunde thelathini na nane ( 2:04:38 PB) na kuweka muda bora zaidi ya uliopita wa (2:05:39 huko China) kwenye mbio za Valencia Marathon 2024 huko Valencia, Uhispania. Mashindano hayo yamefanyika...
  7. A

    DOKEZO Waandaaji wa Rocky City Marathon - Mwanza walikusanya pesa za Washiriki na wapo kimya takribani Mwaka sasa

    Waandaji wa Rock City Marathon Mwaka jana 2023 walitangaza kuandaa mbio za Rocky City Marathon na kuanza kukusanya ada za ushiriki ambao zilitakiwa kufanyika tarehe 2 November 2023. Baadaye wakatangaza kusogezwa mbele kwa mbio hizo mpaka tarehe 4 December 2023, siku kadhaa baadaye wakatangaza...
  8. cleokippo

    Nahitaji kuanzisha marathon hivyo yeyote mwenye uelewa juu ya jambo hili naomba anielekeze taratibu zote mpaka kukamilika kwa jambo hilo

    Habari zenu wakurungwa! Husikeni na kichwa cha habari hapo juu, Mimi nipo wilaya X , jiji la Mwanza, nimehamasika sana kuandaa mashindano ya marathon ila tatizo linakuja kwamba. hakuna chochote ninachofaham kuhusiana na jambo hilo Hivyo naomben msaada kwa anayefaham namna ya kuandaa...
  9. Melubo Letema

    Simbu kujitosa mbio za Delhi Half Marathon 2024 huko India leo

    Mwanariadha kutoka tanzania Alphonce Felix Simbu anatarajia kushindana na manguli wenzake kama Joshua Cheptegei wa Uganda kwenye mbio za delhi half Marathon mapema leo jumapili tarehe 20/10/2024 huko New Delhi, nchini India.
  10. F

    Haya matamasha na marathons kwanini yanafanyika nyumbani kwa viongozi wakubwa tu?

    Nimeona matamasha na marathons nyingi zikifanyika kwenye majimbo na mikoa walipotokea viongozi wakubwa wa nchi hii. Mfano ni Tamasha la Kizimkazi lililomalizika hivi majuzi na lilifanyika kijijini alipotokea Rais Samia. Pia hivi majuzi tulishuhudia Tulia Marathon huko Mbeya alipotokea Spika...
  11. Melubo Letema

    Kama Jina la Filbert Bayi Linawakwaza Liondolewe ~ Bayi

    MEJA Mstaafu wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) ambaye pia alikua mwanariadha aliyeng'ara katika medani ya mchezo wa riadha Olympic mwaka 1974 Filbert Bayi pichani juu amesema kuwa Shule yake inakabiliwa na changamoto ya miundombinu ya barabara. Tangu nianzishe Shule hii ya Filbert Bayi...
  12. and 300

    Bwejuu International Marathon 2024

    Karibuni Visiwani kwa ajili ya Bwejuu International Marathon itakayofanyika tarehe 09 Disemba 2024. Pesa zitakazokusanywa zitapelekwa Nungwi kusaidia waathirika wa dawa za kulevya. NB: Marathon itaanzia Bwejuu - Ukorongoni -Charawe -Chwaka na kurudi tena Bwejuu.
  13. Paul dybala

    Nilichogundua marathon yenyewe pia ni mchezo wa kitajiri

    Mungu akinijaalia afya njema mwakani na mimi nitashiriki ...niko hapa viwanja vya farasi naona watu wakiinjoy sana...,nitaanza kujifua rasmi nikimbie km42...nichukue zawadi ya 10mil..
  14. Koffi Annan

    CRDB MARATHON KAMA HUTAUDHURIA KWA NAMNA YOYOTE NIPE KIT

    Naomba kuuziwa kit ya marathon time hii kwa ambaye hutaweza kushiriki kwa namna yoyote na ulijiandaa, Mods msifute hii thread sababu watu hushindwa kwa namna mbalimbali ikiwemo msiba na safari hivyo sio mbaya kuomba backup, na hamna sehemu nyingine ya kuwapa backup isipokuwa hapa where we dare...
  15. stephot

    Olympic Marathon 2024-Wanawake

    Mtanzania Mashauri anatuwakilisha vyema muda huu...
  16. K

    Mwanariadha Alphonce Simbu amaliza nafasi ya 17 Olimpiki Jijini Paris, Ufaransa

    Leo aubuhi nimefuatilia shindano la Olympic kule Paris la mbio ndefu ya kilomita 42 na mwanariadha Ndugu Simbu akiwa mshiriki toka Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa kweli matokeo yake hayakuwa mazuri kwa kushika nambari 17 akitumia saa 2:10: 03 katika mbio hizo. Pole sana. Rudi nyumbani...
  17. Melubo Letema

    Timu ya Taifa ya Riadha Olimpiki yatua Dar, kesho kupaa Paris, Ufaransa

    Pichani : Kutoka kushoto ni Magdalena Shauri, Gabriel Gerald Geay , Jackline Sakilu na mwisho ni Nahodha Alphonce Felix Simbu. TIMU ya Taifa ya Riadha itakayoiwakilisha Tanzania katika michezo ya Olimpiki Paris 2024, imewasili jijini Dar es Salaam leo Agosti 6 ikitokea kambini jijini Arusha...
  18. B

    CRDB Bank Marathon Congo yakusanya Dola 50,000 kusaidia wodi ya watoto Hospitali ya Jason Sendwe DRC

    Gavana wa Jimbo la Haut-Katanga, Jacques Kyabula (katikati) akimkabaizi mfano wa hundi yenye thamani ya Dola za Marekani 50,000 Waziri wa Afya, Joseph Nsambi Bulanda wa Haut-Katanga (watatu kulia), zilizokusanywa katika CRDB Bank Marathon Congo iliyofanyika leo Agosti 4 2024 katika jiji la...
  19. Melubo Letema

    Timu ya Tanzania Itakayoshiriki Michuano ya Olimpiki kuagwa na Kukabidhiwa Bendera leo

    Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa naMichezo Dkt. Suleiman Selela atakabidhi bendera na kuiaga timu ya Taifa itakayoshirikikatika Michezo ya Olimpiki ya Majira ya joto inayoanzasiku ya Ijumaa Julai 26 hadi Jumapili Agosti 11, 2024 jijiniParis na miji mingine 16 nchini Ufaransa...
  20. Melubo Letema

    Timu ya taifa ya riadha ipo kambini jijini Arusha, tayari kwa safari ya Olimpiki Paris, Ufaransa

    BAADA ukimya wa muda mrefu , Timu ya Taifa ya Riadha ipo kambini Sakina , Arusha tayari kuanza kuendela na maandalizi ya mashindano makubwa ya Olimpiki ambazo zitafanyika mwezi Julai 26 hadi Agosti 11 huko Paris Ufaransa. Tanzania itawakilishwa na wanariadha wanne ambao wanakimbia mbio ndefu...
Back
Top Bottom