hungary

Hungary (Hungarian: Magyarország [ˈmɒɟɒrorsaːɡ] (listen)) is a landlocked country in Central Europe. Spanning 93,030 square kilometres (35,920 sq mi) of the Carpathian Basin, it is bordered by Slovakia to the north, Ukraine to the northeast, Romania to the east and southeast, Serbia to the south, Croatia and Slovenia to the southwest, and Austria to the west. Hungary has a population of 9.7 million, mostly ethnic Hungarians and a significant Romani minority. Hungarian, the official language, is the world's most widely spoken Uralic language and among the few non-Indo-European languages widely spoken in Europe. Budapest is the country's capital and largest city; other major urban areas include Debrecen, Szeged, Miskolc, Pécs, and Győr.
The territory of present-day Hungary has for centuries been a crossroads for various peoples, including Celts, Romans, Germanic tribes, Huns, West Slavs and the Avars. The foundation of the Hungarian state was established in the late 9th century AD with the conquest of the Carpathian Basin by Hungarian grand prince Árpád. His great-grandson Stephen I ascended the throne in 1000, converting his realm to a Christian kingdom. By the 12th century, Hungary became a regional power, reaching its cultural and political height in the 15th century. Following the Battle of Mohács in 1526, it was partially occupied by the Ottoman Empire (1541–1699). Hungary came under Habsburg rule at the turn of the 18th century, later joining with the Austrian Empire to form Austria-Hungary, a major power into the early 20th century.Austria-Hungary collapsed after World War I, and the subsequent Treaty of Trianon established Hungary's current borders, resulting in the loss of 71% of its territory, 58% of its population, and 32% of ethnic Hungarians. Following the tumultuous interwar period, Hungary joined the Axis powers in World War II, suffering significant damage and casualties. Postwar Hungary became a satellite state of the Soviet Union, leading to the establishment of the Hungarian People's Republic. Following the failed 1956 revolution, Hungary became a comparatively freer, though still repressed, member of the Eastern Bloc. The removal of Hungary's border fence with Austria accelerated the collapse of the Eastern Bloc and subsequently the Soviet Union. On 23 October 1989, Hungary again became a democratic parliamentary republic. Hungary joined the European Union in 2004 and has been part of the Schengen Area since 2007. Under Viktor Orbán and the Fidesz party since 2010, Hungary has undergone democratic backsliding along with a gradual shift towards authoritarianism.Hungary is a middle power in international affairs, owing mostly to its cultural and economic influence. It is a high-income economy with universal health care and tuition-free secondary education. Hungary has a long history of significant contributions to arts, music, literature, sports, science and technology. It is a popular tourist destination in Europe, drawing 24.5 million international tourists in 2019. It is a member of numerous international organisations, including the Council of Europe, NATO, United Nations, World Health Organization, World Trade Organization, World Bank, Asian Infrastructure Investment Bank, and the Visegrád Group.

View More On Wikipedia.org
  1. Ojuolegbha

    Waziri Kombo ateta na wanafunzi wa Diplomasia Hungary

    Waziri Kombo ateta na wanafunzi wa Diplomasia Hungary Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), ametembelea Chuo cha Diplomasia cha Hungary na kutoa mhadhara kwa wanafunzi wa Chuo hicho kuhusu Sera ya Mambo ya Nje na mchango wa Tanzania...
  2. Ojuolegbha

    Tanzania na Hungary kuimarisha ushirikiano katika sekta ya nishati

    Tanzania na Hungary kuimarisha ushirikiano katika sekta ya nishati. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), ametembelea Wizara ya Nishati ya Hungary na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo anayeshughulikia pia masuala ya...
  3. J

    Tanzania na Hungary kuimarisha ushirikiano katika sekta ya nishati itokanayo na Rasimali Maji.

    . Tanzania na Hungary kuimarisha ushirikiano katika sekta ya nishati itokanayo na Rasimali Maji. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), ametembelea Wizara ya Nishati ya Hungary na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo...
  4. The Watchman

    Tanzania na Hungary kushirikiana kujenga mradi wa maji Biharamulo

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmound Thabit Kombo(Mb.) akiambatana na Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb.) na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mhandisi Mwajuma Waziri, ameongoza ujumbe wa Tanzania kutembelea Mradi wa Kutibu Maji wa wilayani Csepel jijini...
  5. Ojuolegbha

    Tanzania na Hungary kushirikiana kujenga Mradi wa Maji Biharamulo

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmound Thabit Kombo(Mb.) akiambatana na Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb.) na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mhandisi Mwajuma Waziri, ameongoza ujumbe wa Tanzania kutembelea Mradi wa Kutibu Maji wa wilayani Csepel jijini...
  6. Ojuolegbha

    Ushirikiano wa Tanzania na Hungary wazidi kung’aa

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amewasili jijini Budapest, Hungary kwa ziara ya kikazi ya siku nne (4) inayolenga kuimarisha ushirikiano wa kidiplomasia na kiuchumi baina ya Tanzania na Hungary. Baada ya kuwasili, Waziri Kombo...
  7. Yoda

    Viktor Orban wa Hungary kama Membe wa ACT

    Huyu waziri mkuu wa Hungary ananikumbusha Bernard Membe alivyojiunga ACT akafanywa mgombea urais halafu akawa hafanyi kampeni anapiga ruti za Dubai tu na akagoma kujiuzulu pale chama chake walipoamua kumuunga Lissu mkono kama mgombea wao. Viktor Orban yeye anawatukana viongozi wenzake wa EU na...
  8. Pfizer

    Tanzania na Hungary kushirikiana katika kuboresha sekta ya maji nchini

    Waziri wa Maji Mhe Juma Aweso na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Eng Mwajuma Waziri wamekutana na Balozi wa Hungary mwenye makazi yake Nairob Kenya Mh.Zsolt Meszaros akiwa na ujumbe kutoka Hungary. Kikao hicho kilichofanyika katika ofisi za DAWASA Dar Es Salaa kimelenga kupanua wigo wa Mashirikiano...
  9. Pfizer

    Balozi wa Hungary hapa nchini, Zsolt Mészáros ameipongeza Tanzania kwa kusimamia vema sera zake za fedha na uchumi

    Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Balozi wa Hungary hapa nchini mwenye Makazi yake Jijini Nairobi nchini Kenya, Mhe. Zsolt Mészáros, ameipongeza Tanzania kwa kusimamia vema sera zake za fedha na uchumi, hatua iliyoifanya iendelee kuimarika kiuchumi na kuahidi kuwa nchi yake itaongeza ushirikiano...
  10. Eli Cohen

    Je, Poland na Hungary waitwe wabaguzi kwa kuweka ulinzi mkali na kuzuia wahamiaji kuingia kiholela katika mipaka yao.

    Hapa ni waziri wa uhamiaji wa Poland akiongelea kuhusu nchi yake kuwa na kiwango kidogo cha machafuko, ugaidi na uharifu ambao umeongezeka zaidi katika nchi nyingine zilizoruhusu wahamiaji kiholela. https://youtube.com/shorts/y9fY9ft7_5U?si=liV91sa-H96z5P-B Hapa ni vikosi vya usalama vya...
  11. Mchochezi

    Ujerumani yaifunga Hungary 2-0 na kufuzu hatua ya 16 bora

    Mabao ya Jamal Musiala dakika ya 22 na Ilkay Gundogan dakika ya 67 yametosha kuipa alama 3 Ujerumani mbele ya Hungary kwa mabao 2-0. Ujerumani imefikisha alama 6 baada ya michezo miwili na imekuwa timu ya kwanza kufuzu hatua ya 16 bora.
  12. Crocodiletooth

    Baba vanga, bibi wa Hungary, anayeaminiwa mno duniani kwa najimu zake za kweli!

    Bibi huyu kipofu, ambaye ameshatutoka ulimwenguni toka 1996, ni bibi aliyefanikiwa kutabiri mambo mengi ambayo wanasayansi wakubwa ulimwenguni wamekuwa wakifuatilia najimu zake na vyote alivyokuwa akibashishiri vilitokea kwa 100%,ndiye aliyesema dunia yetu hii iyakwisha rasmi 5079. -Nimejikuta...
  13. T

    Hungary: Rais ajiuzulu kwa kumpa msamaha mtu aliyehusishwa na kesi ya unyanyasaji wa kingono kwa watoto

    Rais wa Hungary, Katalin Novak ametangaza kujiuzulu baada ya kutoa msamaha kwa mtu aliyeficha taarifa katika kesi ya unyanyasaji wa kingono dhidi ya Watoto Mtu huyo alitiwa hatiani kwa kuwalazimisha watoto kubadili kauli zao kuhusu ukatili wa kingono uliodaiwa kufanywa na msimamizi wa kituo cha...
  14. JanguKamaJangu

    Makamu wa Rais DKT. Philip Mpango ahutubia Mkutano wa Idadi ya Watu nchini Hungary

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akihutubia katika Mkutano wa Tano wa Idadi ya Watu (5th Budapest Demographic Summit) unaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Museum of Fine Arts Jijini Budapest nchini Hungary. (Tarehe 14 Septemba 2023). Makamu wa Rais...
  15. Melubo Letema

    Alphonce Felix Simbu anatarajia kutuwakilisha kwenye Mashindano ya Riadha ya Dunia yanayofanyika huko Budabest, Hungary

    Jezi atakayoivaa Alphonce Felix Simbu siku ya Mashindano. Mwanariadha wa Kimataifa wa Riadha Tanzania na Mwakilishi Pekee , Alphonce Felix Simbu anatarajia kutuwakilisha kwenye Mashindano ya Riadha ya Dunia yanayofanyika huko Budabest, Hungary ; kuanzia 19 -27 Agosti 2023. Simbu anatarajia...
  16. comte

    Prof. Sarungi mmojawapo wa wanufaika wa mahusiano ya Tanzania na Hungary

    Mikol Philemon Sarungi Doctor educator government official physician Mikol Philemon Sarungi is a Tanzanian government official, physician, surgeon, medical educator. Background Mikol Philemon Sarungi was born on the 23rd of March 1936 in Tarime, Tanzania; the son of Sarungi Igogo Yusufu and...
  17. Roving Journalist

    Rais Samia ampokea Rais wa Hungary, Katalin Novak katika Ikulu ya Dar es Salaam, leo Julai 18, 2023

    Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mwenyeji wa Rais wa Hungary, Katalin Novak katika Ikulu ya Dar es Salaam, leo Julai 18, 2023. Rais Katalin Novak yupo katika ziara ya siku nne Nchini Tanzania kuanzia Julai 17 hadi Julai 20, 2023, updates ya kinachoendelea Ikulu ya Magogoni...
Back
Top Bottom