heshima

Heshima Salim Thompson ( EESH-mə; born 23 October 1986) is a British actor and singer.
Born in the London Borough of Brent, son of Jamaican Reggae singer Dr Alimantado and brother of soul singer Zalon.In 2001 Heshima began his career singing on BBC Documentary Heart of Harlesden, he was scouted from the documentary to play a lead role in BBC’s Babyfather. He has appeared on television in Spooks, Spooks: Code 9 as Jez, Prime Suspect, Casualty, City Lights and Judge John Deed. In theatre he has appeared at The Young Vic in Generations and at The Royal Court in Incomplete and Random Acts of Violence. In 2009 he was nominated for a Screen Nation Award in the Young Shooting Star category. Heshima toured with Amy Winehouse along with brother Zalon on her Back to Black album which was only scheduled to last for 3 months, but the tour was so successful they ended up touring for six years and collected five Grammy Awards.In 2009 he auditioned for the sixth series of The X Factor and in 2011 he auditioned for the eighth series. In 2010 he was cast as Asher Levi in series 2 of EastEnders: E20.In March 2012 Thompson auditioned for the first series of The Voice UK After four chair turns, Heshima chose will.i.am as his coach and made it to the battle rounds of the competition. Heshima worked with Zalon, Salaam Remi and Mark Ronson singing and vocal producing on Amy Winehouse's Album Lioness: Hidden Treasures including singles "Our Day Will Come" and "Like Smoke", which features Nas. Lioness: Hidden Treasures debuted at number one on the UK Albums Chart.In 2014 Heshima founded HTG Entertainment a British entertainment agency.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Wanaume huwa mnahitaji nini?

    Habarini zenu ndugu zangu? Kwa kweli inafikia kipindi nakuwa sielewi hizi ishu za mahusiano. Mwenzenu nimekuwa kwenye mahusiano na mkaka wa miaka 33. Amenizidi miaka 4. Na tumekuwa naye kwa muda mrefu sana. Katika mahusiano yetu hayo, kiukweli sijisifii lakini nimejitahidi kuwa mwema sana...
  2. Kidagaa kimemwozea

    Maxence Melo apewe PhD ya heshima

    Ni bahati mbaya sana kwa vyuo vya nchi zetu hizi kuangalia zaidi wanasiasa na matajiri wakubwa na kuwagawia heshma hii kuliko kuangalia watu wenyemchango mkubwa mahususi katika jamii pana. Kwa wenzetu mfano Harvard & na Oxford hutazama zaidi watu wenye mchango mkubwa katika tasnia flan, au...
  3. J

    Tumpe heshima Samia Suluhu Hasani, tuchape noti zenye sura yake

    Wadau napendekeza Mheshimiwa wetu mpendwa Rais Samia Suluhu Hassan, Tuchape noti zenye sura yake kwasabab;- Ndiyo Rais wa kwanza Mwanamke. Utendaji wake ni wa kutukuka. Ana kazi kubwa ya kulikomboa taifa kutoka katika giza nene la chuki, unyanganyi, kupotezana kupigana risasi na ubabe...
  4. j_h_kirigini

    Kwanini wanawake wanashindwa kufanya haya matano?

    1. Lala nae (muhimu kuliko yote) 2. Mlishe ashibe 3. Muheshimu 4. Mwache awe na amani 5. Usimuingilie katika mambo yake. Ni ajabu sana wanawake hawawezi kuyafanya haya matano kwa waume zao, ni kwanini?
  5. lee Vladimir cleef

    Nyalandu ulikuja CHADEMA kwa hiari umeondoka kwa hiari. Kaa kimya kutunza heshima yako

    Nyalandu ulikuja vizuri take vizuri. Kama kuna mapungufu waambie viongozi wa CHADEMA watayafanyia kazi, lakini kuongea na redio utashusha heshima yako. Kwa kukusaidia tu. Kuna nguli walitoka CHADEMA sio wewe mpita njia usie na msimamo,mtu laini kabisa. Alitoka Zitto, huyu ni nguli wa Siasa za...
  6. Erythrocyte

    Happy Birthday Joseph Mbilinyi Mbunge uliyeiletea heshima kubwa Mbeya , Mungu akupe Maisha Marefu

    Miaka ya zamani kidogo wanamuziki wa Hip Hop walionekana wahuni ambao zaidi ya kuimba na kuvuta bangi , hawakuonekana kama wanaweza kuongoza hata familia . Lakini wewe Sugu , Jongwe ambaye pia unaitwa RAIS WA MBEYA , ulifutilia mbali mawazo hayo ya kizamani na kuonyesha mfano uliotukuka kwa...
  7. Nyankurungu2020

    Dkt. Bashiru Ally jiuzulu ili kulinda heshima yako, kupewa Ubunge wa kuteuliwa ni kudhalilishwa

    Kwanza kabisa kiustaarabu kwa nafasi ya katibu mkuu kiongozi uliyokuwa nayo haikupaswa kuondolewa mapema namna hiyo. Hata kama ulikuwa haufai kuwa na hiyo nafasi ilitakiwa mkuu wa kaya akuvumilie uvute naye siku hata miezi sita. Lakini ndani ya mwezi na siku kadhaa ukawa umeg'olewa. Ok sio...
  8. Erythrocyte

    Bungeni : Eric Shigongo ampongeza Spika Ndugai kwa kuliletea heshima kabila la Wagogo

    Mh Shigongo ametoa pongezi hizo za kukata na shoka alipopewa nafasi ya kuchangia bungeni . "Mh Spika mimi nilidhani kazi kubwa ya Wagogo ni kujipanga barabara na kuuza maji tu , kumbe nilikuwa sielewi kwamba tunaweza kuwa na kiongozi bora kutoka huko " Chanzo : EA RADIO
  9. Idugunde

    Tumieni mitishamba ili kuleta heshima kwenye mahusiano yenu

    Hili suala juu ya kuwepo kwa upungufu wa kiume kwenye jamii zetu lina ukweli ndani yake. Maana maisha ya siku hizi yalebadilika sana. Vyakula sio rafiki kwa afya, watu wana stress hivyo wanakunywa sana pombe, mabinti nao hawashikiki. Hivyo maneno ya mbunge Neema wa CCM viti maalumu kuwa vijana...
  10. BRN

    Heshima yako Mkuu

    Wadau habari. Kuna hizo salamu kutoka kwa vijana wa siku hizi ambao kwao kusalimia kwa kusema Shikamoo ni shida. Utawasikia wanakuambia Heshima yako Mkuu, kwa kweli mimi nashindwa niwajibu nini. Je, wewe imeshawahi kukutokea? Je, unajibu vipi?
  11. B

    Vijana, wekeni nadhiri ya kuzeeka mkiwa na heshima Kama Prof. Assad

    Wazee wengi wameshindwa kutunza heshima yao, wameshindwa kuridhika na umri waliopewa na Mungu, wameshindwa kuwa kioo cha jamii, wamekuwa ndumilakuwili, hawana msimamo na awaridhiki na kile walichokwisha chuma.wapo tayari kuishi kwa unafiki ila wasitolewe kwenye nafasi zao. Kwa sifa hizi wazee...
  12. M

    Al Ahly 1-0 Simba | CAFCL | Al Salam Stadium

    Leo ndio leo! Wanaume wa shoka wanakutana kutafuta Nani mbabe! Timu zote zimeshafuzu Robo Fainali, kinachosubiriwa ni Nani ataibuka mbabe baina yao, kwa kuwa mechi ya Leo haitabadilisha msimamo wa kundi. Simba inaingia uwaanjani ikiwa na Nia moja tu, kuendelea kujijenga kuwa Timu Kubwa Afrika...
  13. YEHODAYA

    Mgeni wa heshima kwenye Msiba unajua huitwa nani? huitwa Chief Mourner au mwombolezaji mkuu

    Kwenye msiba ukialika mfano Rais huwa hatambulishwi kama Raisi anatakiwa kutambulishwa kama Chief Mourner au mwombolezaji mkuu Mfano Iganda leo Rais kaenda msiba wa Kumzika zAskofu Mkuu wa Katoliki anatambulishwa kama Chief Mourner Msiba wa kueleweka huwa na mgeni wa heshima ukiona huna mgeni...
  14. Mag3

    Rais Samia Suluhu Hassan tusaidie kutengua kitendawili cha wasiojulikana

    Toka awamu ya tano iingie madarakani matukio ya kutekwa, kushambuliwa na kuuawa yalikuwa yakidaiwa kutekelezwa na watu wasiojulikana. Hadi hii leo ninapotoa ombi langu hili kwako, watekelezaji wa vitendo hivyo vya kutisha hawajaweza kubainika ni akina nani zaidi ya wasiojulikana. Katika hiyo...
  15. Erythrocyte

    Ushauri: Ili kulinda heshima yako Mataragio usikubali huo uteuzi wako, kataa waachie cheo chao

    Hii ni kwa sababu Mamlaka ya Uteuzi haikuamini tena na ndio maana nafasi yako akapewa mtu mwingine , Kilichotokea ni kwamba huyo aliyepewa nafasi yako ameonekana kituko , duni na hatoshi na ndio maana ametenguliwa ukarudishwa tena , hii haimaanishi wewe unafaa , jiongeze mwenyewe ndugu. Wewe...
  16. Just Distinctions

    Hayati Magufuli anapaswa kupewa Heshima ya Baba wa Pili wa Taifa la Tanzania

    Habari za wakati huu, ni matumaini yangu wote ni wazima wa Afya na mnaendelea vyema na ujenzi wa Taifa letu pendwa Tanzania. Tukirejea kwenye mada, aliyekuwa Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati John Magufuli alikuwa ni kiongozi wa namna yake na kwa wakati muafaka ambao amekaa...
  17. Kigoma Independent

    WCB wapewe heshima kwa kuandaa albums za viwango: A boy from Tandale, sound from Africa na sasa definition of love

    Habarini Wana Jamvi Inatakiwa ifike sehemu watanzania na Wana JamiiForums celebrity waipe heshima kubwa sana WCB kwa kuendelea kutoa ALBUMS Kali na zenye viwango vya juu sana. WCB ikiwa kama label namba moja AFRICA na isiyokuwa na mpinzani kwa sasa maana wanigeria wameshainyoshea mikono...
Back
Top Bottom