Watanzania wa leo kwa asilimia 99%, ni wezi tu, uzalendo na utumishi kwa ajili ya umma wa watanzania haupo tena, kwa leo hii usione mtu anapigia kelele mwenzake au kiongozi fulani ni mwizi ukazani huyo ni mzalendo, sivyo kabisa, huyo anapiga kelele kwa kukosa uteuzi ili yeye yale ya wizi...
Harmonize sio authority yoyote katika uislamu.
Harmonize alisha ukana uislamu kwa vitendo tangu alipo ingia kwenye kazi ya muziki kwa sababu kwa mujibu wa mafundisho ya dini ya kiislamu muziki ni haramu kama ilivyo nyama ya nguruwe.
Kwahiyo kwa hermonize kuingia kwenye muziki tayari...
Umeme wa nyuklia ni umeme mkubwa sana ambazo hauna siasa Wala mjadala.
Ila Kwa hapa Tanzania tunayo yaona kukosa umakini kwenye idara nyingi mfano Tanesco basi tunaweza kusabisha majanga.
Kilicho nikumbusha Ili ni kile kinu Cha ukrain kilicholipuka miaka sovient na Cha pili kule japani kilicho...
Habari wadau
Binafsi nashangaa sana watu hasa wasomi wenye smartphone wanaoamini story za ushirikina zama hizi
Ukweli ni kwamba ukijipa muda wako kujifunza zaidi kuhusu cognitive science and psychology, Human psychology na Science of Emotion ilivyo. watajua ukweli mwingi sana wa ubongo...
Kibongo bongo wakristo wengi wanaamini kwenye uchawi.
Ndio wanauchukulia kama kitu kibaya, lakini kwa vile wanakubali uwepo wake basi inamaanisha wanaamini upo.
Lakini cha kushangaza, kimantiki, bibilia haiongelei kabisa kuhusu uchawi.
Nikimaanisha kwamba hakuna mahali ilipoandikwa kwamba...
Shallom wakuu.
Kutokana na maendeleo ya ukuaji wa sayans na teknolokojia zipo njia mbalimbal za kuzuia uhalifu nyumban kwako au eneo lako la biashara.
Tumekuletea camera nzuri unayoweza kutumia kwa kuinstall nyumban kwako kwa Bei nafuu Sana.
Camera hizi ni ndogo Sana ambazo sirahisi kwa mtu...
Hints:
Tundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku Rais Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia.
Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu anapiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti hivyo kazi huwa...
Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania Anna Tibaijuka, ametoa pole kwa familia ya aliekuwa Waziri Mkuu Edward Lowassa.
"Familia Lowassa poleni. Taifa twaomboleza kifo cha Kiongozi STATESMAN. Nilishuhudia ukiweka maslahi ya nchi mbele ya yako. Jina lilipokatwa nilikushauri ubaki CCM kimfumo...
Ukweli usemwe tu!
Kiongozi anapoumwa hapa nchini kwetu imekuwa kama kasumba kuficha ficha sana kutoa taarifa.
wakati ni haki ya umma kufahamishwa alipo mtumishi wao wanayemlipa!
Hata taarifa zinapotoka huwa kwa mbinde sana!
Na taifa hilihili linapotoa taarifa kirahisi pasipo kuombwa ombwa...
Natumai mmeamka salama kwa Neema na Baraka za Mungu. Tumshukuru Mungu sote kila moja kwa namna yake, kwa kibali na zawadi ya Uhai na Afya alizotukirimia tena leo.
Nikiwa naelekea kwenye mishemishe zangu na labda baadae kidogo kwenye ibada ya pili, mitaa ya Mwenge. Nimepata fursa ya kusikiliza...
Hili jambo nimelithibitisha kwa watu wengi walio katika mahusiano hasa yale yakuanza na NDOA kisha ndio waishi pamoja.
Sisemi mahari ni nzuri au mbaya ila Mahari ni kipimo kikubwa sana kilichonifanya nije na huu uzi.
Nimeuliza wanawake zaidi ya 10 swali 1 ambalo ni
Je, Mpenzi wako akikosa...
Nimeutafuta huu wimbo kila sehemu sijaupata hata video yake haipo ni kwa sababu gani? Pia nimegundua Mr. Blue hana account katika hizi platform kama Spotify, Boomplay, Youtube nk kwanin hajapenda kuweka kazi zake huko?
Kuna watu ni wabishi sana kwamba haya mambo hayapo lakini utawakuta kanisani ama msikitini wakijinadi wao ni wakristo/waislam. Niseme tu kwamba hapa ni ishara ya moja kwa moja wapo kwenye dini kama kushabikia timu za mpira na wala hawajui elimu ya dini yao.
Mbaya zaidi hawanaga imani, maji...
HAUPO ULIVYO! DUNIA HAIPO ILIVYO!
Mpaka miaka mitano iliyopita sikuwa naamini katika mambo ya kiroho, niliamini katika elimu yangu,na bahati mbaya nilikua nimesomea mambo ya sayansi katika miaka yangu yote ya sekondari(kidato I-VI)hivyo niliamini sana katika elimu, sayansi na teknolojia,wakati...
Ndugu zangu wana JF, mimi ni mtanzania na ninapenda kuwafahamisha kuwa ninaandika kitabu chenye kutoa ushahidi juu ya kutokuwepo mungu wala uchawi katika dunia hii.
Najua wengi wenu mkisia mada kama hii mnapuuza na kucheka. Yawezeka vicheko vinatokana na kuelewa sana juu ya chimbuko la dhana...
Zitto katuambia kumbe zile korosho mlizimwaga baharini, watu wana siri sana.
Mama Kikwete anataka eti na yeye alipwe kiinua mgongo cha mmewe.
Kingine mama wakati wewe uko royo tua msajili amekipiga kufuli chama cha Umoja kutumia picha ya mtangulizi wako eti yeye sio mwanachama wake.
Naye...
Tokea huo UVIKO-19 uanze, mimi nilikuwa na mashaka sana.
Mashaka hayakuwepo kwenye uwepo wa ugonjwa wenyewe.
Mashaka yangu yalikuwepo kwenye ukali wa ugonjwa.
Toka awali kabisa nilisema kuwa huo ugonjwa, kwa mtazamo wangu mimi, siyo mkali sana kama tulivyokuwa tunaambiwa.
Kwa hapa Tanzania...
Yeye ndie alieanzisha kitu hiki ambacho hakipo duniani nchi yoyote ile zaidi ya hapa kwetu.
Haiingii akilini vya upande A ni vya upande B lakini vya upande B si vya upande A, Very bitter.
Tukiendelea na huu mfumo, basi mateso haya tinayopitia yatakuwa mara 10 zaidi ya hapa miaka ijayo na ndio...
nani anaependa kukaripiwa?
nanj anaependa kupigwa?
nani anapenda kugombezwa?
nani anapenda kupigwa?
nani anapenda kunyanyaswa?
HAKUNA!!!!
Inanishangaza sana kuona kuna baadhi ya wazazi hawaheshimu kabisa mahouse girl wanaobaki na watoto wao, huwaona kama wanadamu wa toleo la pili.
House girl...
Kila siku jaji anaandika na kuweka mafaili lundo. Sasa nauliza tangu kesi ianze mpama leo bado anakumbuama tu aliandika nini na aliandika wapi?
Je, nani wa kuhakikisha kwamaba manavyovisema vinaandikwa. Kama anavitupilia mbali mtajuaje! Kila siku mnaongea na shahidi anatoa ushahidi je Kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.