Na. Mwandishi wetu, Dar es Salaam.
Kampuni ya Mchezo wa Kubashiri Nchini Meridianbet, imetangaza kushirikiana na Halopesa katika kampeni ya Jichukulie Maokoto na Halopesa, ushirikiano huo ukiwa na lengo la kumfurahisha Mtumiaji wa Meridianbet na Halopesa wakati wa kufanya malipo.
Hata hivyo...
Wakuu this is the second time yananikuta.
Nilifanya transaction kweny 🏧 pesa niipokee Kwa wakala ikakwama ilikuwa miez kadhaa myuma.
Wakati mwingine nikajitoa ufaham nikaweka fedha ndefu kutoka mwenye ATM kwenda Kwa halopesa kuepuka kutembea na banch of money.
Yakanikuta tena jaman huu...
Sijui kama kuna mtu ameona hili kwa halotel na Tigo, ukijiunga MB kwa kuingiza vocha ni tofauti na kujiunga moja kwa moja kutoka halopesa au Tigo Pesa.
Kujiunga kwa vocha mb zinakaa ila kujiunga kwa halopesa au tigo pesa mb zinaenda kwa kasi.
Nikijiunga kwa vocha GB 1 naweza kukaa siku 3 hadi...
Kwema ndugu zangu,
Nimepata ujumbe kutoka halopesa kwamba kuanzia December kuelekea January 2022, wataanza kukata kodi ya ten percent kutoka kwenye jumla ya commission yako ya mwisho wa mwezi
1. Mfano wakala mwisho wa mwezi ukipata commission ya 100,000/= serikali wanaondoka na elfu kumi kama...
ALHAMISI ya Julai 15, 2021 inaweza kuwa moja ya siku yenye kumbukumbu ya kuchosha akili za mamilioni ya Watanzania, ambao simu imekuwa tegemeo lao la kufanya miamala ili kufanikisha shughuli mbalimbali za kibinafsi na hata maendeleo yao.
Hii ni kutokana na kuanza kutekelezwa rasmi kwa tozo mpya...
Sijui ni kwangu tu leo siku kama ya nne halotel wamekuwa na huduma mbovu kwenye Halopesa.
Naona kuna baadhi ya watu pia wanalalamika, unaweza kufanya muamala au kulipia bill halafu hawaleti msg za muamala na hela inachukuliwa.
Ukipiga hawapokei wanakuweka kinanda hadi simu inajikata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.