halopesa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Dr Msaka Habari

    Ushirikiano wa meridianbet na halopesa kuwanufaisha wadu wa mchezo wa kubashiri

    Na. Mwandishi wetu, Dar es Salaam. Kampuni ya Mchezo wa Kubashiri Nchini Meridianbet, imetangaza kushirikiana na Halopesa katika kampeni ya Jichukulie Maokoto na Halopesa, ushirikiano huo ukiwa na lengo la kumfurahisha Mtumiaji wa Meridianbet na Halopesa wakati wa kufanya malipo. Hata hivyo...
  2. anti-Glazer

    Usithubitu kutoa fedha benk kwenda halopesa Kwa NMB Mobile inakula kwako

    Wakuu this is the second time yananikuta. Nilifanya transaction kweny 🏧 pesa niipokee Kwa wakala ikakwama ilikuwa miez kadhaa myuma. Wakati mwingine nikajitoa ufaham nikaweka fedha ndefu kutoka mwenye ATM kwenda Kwa halopesa kuepuka kutembea na banch of money. Yakanikuta tena jaman huu...
  3. Dabil

    Kujiunga bando kwa vocha na Halopesa kunatofautiana kasi ya kuisha

    Sijui kama kuna mtu ameona hili kwa halotel na Tigo, ukijiunga MB kwa kuingiza vocha ni tofauti na kujiunga moja kwa moja kutoka halopesa au Tigo Pesa. Kujiunga kwa vocha mb zinakaa ila kujiunga kwa halopesa au tigo pesa mb zinaenda kwa kasi. Nikijiunga kwa vocha GB 1 naweza kukaa siku 3 hadi...
  4. rich1

    Nimepokea ujumbe kutoka Halopesa kuhusu kukata asilimia 10 kutoka kwenye jumla ya commission ya mwisho wa mwezi

    Kwema ndugu zangu, Nimepata ujumbe kutoka halopesa kwamba kuanzia December kuelekea January 2022, wataanza kukata kodi ya ten percent kutoka kwenye jumla ya commission yako ya mwisho wa mwezi 1. Mfano wakala mwisho wa mwezi ukipata commission ya 100,000/= serikali wanaondoka na elfu kumi kama...
  5. NnkoJR

    SoC01 Tozo mpya zinauma, lakini zinaweza kuwauma CCM,upinzani ukasongesha

    ALHAMISI ya Julai 15, 2021 inaweza kuwa moja ya siku yenye kumbukumbu ya kuchosha akili za mamilioni ya Watanzania, ambao simu imekuwa tegemeo lao la kufanya miamala ili kufanikisha shughuli mbalimbali za kibinafsi na hata maendeleo yao. Hii ni kutokana na kuanza kutekelezwa rasmi kwa tozo mpya...
  6. Viol

    Kuweni makini na Halotel, wamekuwa na huduma mbovu kwenye Halopesa

    Sijui ni kwangu tu leo siku kama ya nne halotel wamekuwa na huduma mbovu kwenye Halopesa. Naona kuna baadhi ya watu pia wanalalamika, unaweza kufanya muamala au kulipia bill halafu hawaleti msg za muamala na hela inachukuliwa. Ukipiga hawapokei wanakuweka kinanda hadi simu inajikata.
Back
Top Bottom