anti-Glazer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 291
- 478
Wakuu this is the second time yananikuta.
Nilifanya transaction kweny 🏧 pesa niipokee Kwa wakala ikakwama ilikuwa miez kadhaa myuma.
Wakati mwingine nikajitoa ufaham nikaweka fedha ndefu kutoka mwenye ATM kwenda Kwa halopesa kuepuka kutembea na banch of money.
Yakanikuta tena jaman huu umekiwa upuuz mkunwa na Hadi naandika spendi yakukute. Halopesa from bank wanashida kubwa utakifa njaa
Nilifanya transaction kweny 🏧 pesa niipokee Kwa wakala ikakwama ilikuwa miez kadhaa myuma.
Wakati mwingine nikajitoa ufaham nikaweka fedha ndefu kutoka mwenye ATM kwenda Kwa halopesa kuepuka kutembea na banch of money.
Yakanikuta tena jaman huu umekiwa upuuz mkunwa na Hadi naandika spendi yakukute. Halopesa from bank wanashida kubwa utakifa njaa