Agafangel (Russian: Агафа́нгел) is an old and rare Russian Christian male first name. The name is derived from the Greek name Agathangelos, which in turn derives from the words agathos—meaning kind, good—and angelos—meaning bearer of news, messenger.The diminutives of "Agafangel" are Aga (А́га), Fanya (Фа́ня), and Agafangelka (Агафа́нгелка).The patronymics derived from "Agafangel" are "Агафа́нгелович" (Agafangelovich; masculine) and "Агафа́нгеловна" (Agafangelovna; feminine).
Salamu wakuu!
Leo nimeona nishee nanyi hii kitu,
Fanya hv andika hii namba kwenye simu Yako +1 800-242-8478 Kisha Isave ujuavyo,
Kisha nenda whatsup itafute, ukishaipata kwenye sehemu ya kutafuta majina ya namba ulizosevu, Anza kuchat nayo italeta jina chatGPT ukiwa unachat nayo!
Hapo...
1. Kataa kuwekewa mawakili wowote wa kukutetea.
2. Usijitetee kwa vifungu vyote vya sheria ili kuepusha kupoteza muda mahakamani.
3. Kiri mahakamani kuwa maneno yote uliyotoa kwenye hati ya mashitaka ni wewe umeyatoa na bado unaisimamia kauli yako. Kwamba uko tayari kufanya uasi na kuhamasisha...
Cha kwanza usikubali mtoto wako mdogo awekwe katika mazingira kama ya hii video hapa chini. Hauwezi kuamini idadi ya comments chafu nilizoziona nilipotoa hii video.
pili, haijalishi udogo wa mtoto ila usimu expose na kuchezea simu yako na kufahamu mienendo ya social media. Siku izi watoto...
UNAWEZA UKAWA WIFE MATERIAL NA BADO DUNIA IKAWA KINYUME NA WEWE. NDOA IKAWA NGUMU KWAKO. FANYA HAYA.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Ni kweli wapo wife material ambao hawajaolewa na ambao wanahangaika Kupata ndoa.
Na wapo wife material ambao wameolewa lakini ndoa ni ngumu kwao. Wamepata...
Hi ni mara ya pili natoa elimu ya Angel number lakini mod wamekua wakifuta kila siku its oky..
Leo natoa somo moja ambalo kama una roho nyepese usije jaribu hata kidogo.
Ikifika sa nane usiku jifungue chumbani kwako kama upo na mwenzako mwambie akupishe maana hilo jambo ni pasua kuchwa kidogo...
Watu wa kanda ya ziwa huwa nawakubali Sana jinsi wanavyo ongea. They are so funny.
Check video ya huyu popoma kutoka kanda ya ziwa inavyo trend.
Tunasubiri interview kama Abass Chionda.
Kampenzi kwenye Majimbo hayo zitafadhiliwa na CCM.
Faida ya kuwafukuza Uanachama mapema ni kua ,Tayari watapoteza hata kidogo walichonacho !!.
Kitendo Cha kuendelea kutumia Jina la CHADEMA ni kuendelea kupanda mbengu ya kuwachanganya wananchi
Hivo Fukuza mara Moja.
Sasa hivi ni msimu wa mapera. Kula mapera manne angalau kila siku. Halafu njoo hapa utoe ushuhuda.
Facts:
1. Vitamin C – Husaidia kuongeza uzalishaji wa shahawa na kuzuia uharibifu wa seli kwa sababu ya oksideni nyingi (oxidative stress). Pera lina vitamins C mara nne zaidi ya chungwa.
2...
Nimeona ndoa ambazo wanandoa kabla ya kuoana wote hawakuwa bikra lakini ndoa zina furaha, amani na mafanikio
Nimeona ndoa ambazo mwanamke ameolewa na mtoto tayari au watoto lakini ndoa zina furaha, amani na mafanikio.
Nimeona ndoa ambazo wanandoa wameingia kwenye ndoa ilhali mume au wote...
BURUDANI
Leo nakuletea uzi wa burudani, lakini pia nakukumbusha kuwa kama uliusikiliza huu wimbo tangu siku ambayo wimbo ulitambulishwa sokoni basi fanya uowe/uolewe/uzae.
Usilete visingizio kuwa unatafuta hela, huenda fungu la hela limekupita kushoto, hivyo usipitwe na fungu la uzao, utakufa...
🔴 Kwanini Hupati Wateja Wapya Kwenye Biashara Yako? Unafanya Kila Kitu, Lakini Hakuna Matokeo? Fanya Hivi!
🎯 Unauza huduma yako lakini hupati sales?
🎯 Unatangaza bidhaa zako, lakini hakuna anayenunua?
🎯 Unapost kila siku, watu wanaangalia tu lakini hawachukui hatua?
🎯 Unasema "We are open!"...
Habarini,
Nimewaza kwa mfano itokee system ya kugundua na kuthibitisha makosa yaliyofanywa na watu wote nchini walio above 18, ambayo adhabu zake zimeainishwa kwenye penal code k.v
1)Kufanya mapenzi na wanafunzi
2)Ulawiti/kulawitiwa/sexual indecency
3)Forgery
3)Kuzini na maharimu
4)Wizi...
Ukweli Mchungu wa maisha maisha yetu
Baada ya kuzaa, nge mama huwabeba watoto wake mgongoni ili kuwalinda. Wakati huu, yeye hali na hutumia nguvu zake zote kuwaweka salama watoto wake, Kadiri siku zinavyosonga, anazidi kuwa dhaifu, akitumia kila alichonacho kuhakikisha watoto wake wanaishi...
Salaam jamiiforum.
Threads zangu nyingi zinawahusu zaidi vijana tena ambao hawajaoa kwani ndilo kundi ambalo lipo onfire kutokana na umri wao lakini pia hata baadhi ya watu wazima siyo mbaya tukakumbushana.
1.Acha tamaa ya kuweka pesa ili upate pesa.
Ni dhahiri shahiri vijana wengi...
Kabla ya kusoma huu uzi naomba ufanye hivi "kaa chini na ujiulize hili swali "Je hii aina ya maisha ninayoishi naipenda?" Kama hauipendi basi inabidi utambue kuwa "UMASKINI NI MAISHA NA UTAJIRI NI UAMUZI"
Yaani hapo ulipo unamiliki simu kali na internet nzuri tu unayolipia kwa mwezi, lakini...
HELLO QUICK _CONNECTTZ inakusogezea huduma nzuri ya delivery kwa watu walikosa nafasi na walio bizy tunafanya delivery maofisini na hata mahitaji ya nyumbani kama vile mboga mboga na nafaka kwa beii nafuu na haraka zaidi .
Una mzigo unataka kupokea kutoka stendi kukufkia ulpo tupo kwa ajili...
WOMEN, ATTENTION
$Uza cha kumfanya mwanamke wa miaka 40 aonekane wa miaka 30.
$Uza cha kumfanya mwanamke awageuze shingo wanaume.
$Uza cha kumfanya mwanamke asemwe na mwanamke mwenzake.
$Uza cha kumfanya mwanamke kutuliza munkali wa hisia na stress zake
MEN, LUST
$Uza cha kumfanya mwanaume...
Inawezekana umetumia pesa nyingi, nguvu zako, akili zako na uwezo wako wote ili uwe na uzima, upate uponyaji na baraka, lakini hujaona matokeo mazuri. Usikate tamaa. Mungu ameahidi kukufanyia hayo. Nakuonyesha hapa jinsi ya kufanya ili uone ahadi za Mungu zikitimia katika maisha yako. Kiri...
✓✓2025 MWAKA MPYA NA MAMBO MAPYA.
∆ Huu ni mwaka wako wa mafanikio sasa usichelewe fanya haya yafuatayo ili uweze kufika malengo yako mapema
~Tangaza biashara yako kwa namna nyingine kabisa ambayo itakufanya kuwafikia wateja wapya kila siku
~Tengeneza matangazo ya sauti na picha wateja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.