Zitto mpigania haki ndie huyu anayefurahia kuuzwa bandari za Tanganyika,kukaa kimya juu ya Katiba Mpya na wanayofanyiwa Wamasai Ngorongoro!?

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Feb 26, 2021
950
2,872
Mungu huwa anatufunulia wale ambao tusingeweza kuwatambua kwa macho na fahamu zetu,Mungu uwa analeta dhoruba kwenye kujiokoa watu wanavua ngozi zao za kondoo na kuwa mbwa mwitu.

Huwezi amini kwamba huyu ni Zitto aliyetufundisha siasa za uzalendo na kipigamia haki.leo hii amekuwa kimya katika suala la Bandari, Loliondo, Ngorongoro, katiba mpya na haoni shida yote yanayofanywa sasa Tanganyika na kuratibiwa na CCM!

Zitto kapotea kabisa,najua ni mdini anayepigania tumbo lake na uhai wa chama chake,maana Chama cha Zitto kipo zaidi Zanzibar kuliko Tanganyika.

Chama chake cha eisitii uhai na uwepo wake unategemea Zanzibar,


2. Wenzake wa chana chake huko zanzibar wanaunga mkono udhalimu unaofanyiwa Tanganyika,je atajitenga nao?
3. Akijitenga nao ACT si ndio kifo chake kisiasa na kifedha?

Mwisho,Zito ni mdini, sasa aegemee wapi? kwa Watanganyika wenzake ambao ni mchanganyiko wa wadini wenzake na wasio wadini wenzake au aegemee kwa mdini mwenzake Samia au wadini wenzake Waarabu? (appology for this observation)
 
MAAJABU YA NDOTO YANGU

Kisha nikaona waliokuwepo upande ULE Wakati Huo wapi pia upande huu Kwa Wakati WA sasa huku wakiikana Imani Yao ya upande wao wa awali na hata wa Sasa Kwa kuyarudia matapishi Yao kwa kusema walikuwa WAMEPOTEA kututetea watoto wao Leo na kuamua kujitetea wao na Binafsi zao za Wakati ULE na Wakati WA Sasa, ni ajabu kidogo!!!..

Ndipo nikamuuliza Bwana Mungu wangu kuwa Nini maana ya ndoto hii NAE akajibu alisema, Kuhusu ulinzi wa Rasilimali zetu msihuzunike mioyoni mwenu Kwa kuwa mimi nipo, ambae Niko, niliyekuweko, na Sasa nipo ndani yenu, nanyi ndani Yangu Kwa niaba yangu katika Roho kupitia mwili Kwa ajili ya Dunia na roho yangu ndani yenu iwapayo uwezo na uhai usiozidi uhai wa wenzenu. Jilindeni, walindeni na Wengine wote bila kuacha kujihami kwao pamoja nao.

Nami nikiondoka ndotoni mwangu na kurudi katika Hali ya mwili, na nikaona isiwe Tabu nikaamua kusiishia hapo kila kitu nikaamka na kutandika kitanda nikasepa zangu kusaka Kazi yoyote mkono uende kinywani.

Neno hili limejia Wakati WA tafakari ya MIKATABA mibovu inayopendwa na Wenzetu huku wakijua ni mibovu kwao na Kwa wenzao huwa wanakuwa na maana gani kuwepo Wakati WA kupata uhuru, Wakati wapigania uhuru wapo kazini, Wakati wapigania uhuru wakiaawa na Leo wako na sisi tusioelewa chochote isipokuwa simulizi za Wakati Uhuru, maumivu ya Sasa na mafikirio ya maumivu ajayo pamoja na Wenzetu WA pande zote. Amani iwe kwenu Jamii yenu, mataifa Kwa mataifa Kwa kuwa mu Huru kuanzia roho zenu, nyama zetu na Damu zenu milele na milele.
 
Mungu huwa anatufunulia wale ambao tusingeweza kuwatambua kwa macho na fahamu zetu,Mungu uwa analeta dhoruba kwenye kujiokoa watu wanavua ngozi zao za kondoo na kuwa mbwa mwitu.

Huwezi amini kwamba huyu ni Zitto aliyetufundisha siasa za uzalendo na kipigamia haki.leo hii amekuwa kimya katika suala la Bandari, Loliondo, Ngorongoro, katiba mpya na haoni shida yote yanayofanywa sasa Tanganyika na kuratibiwa na CCM!

Zitto kapotea kabisa,najua ni mdini anayepigania tumbo lake na uhai wa chama chake,maana Chama cha Zitto kipo zaidi Zanzibar kuliko Tanganyika.

Chama chake cha eisitii uhai na uwepo wake unategemea Zanzibar,


2. Wenzake wa chana chake huko zanzibar wanaunga mkono udhalimu unaofanyiwa Tanganyika,je atajitenga nao?
3. Akijitenga nao ACT si ndio kifo chake kisiasa na kifedha?

Mwisho,Zito ni mdini, sasa aegemee wapi? kwa Watanganyika wenzake ambao ni mchanganyiko wa wadini wenzake na wasio wadini wenzake au aegemee kwa mdini mwenzake Samia au wadini wenzake Waarabu? (appology for this observation)
Ayo yangekuwa yanafanyika kwa rais mkristo ungeliona povu la lake, mdini uyo
 
Mungu huwa anatufunulia wale ambao tusingeweza kuwatambua kwa macho na fahamu zetu,Mungu uwa analeta dhoruba kwenye kujiokoa watu wanavua ngozi zao za kondoo na kuwa mbwa mwitu.

Huwezi amini kwamba huyu ni Zitto aliyetufundisha siasa za uzalendo na kipigamia haki.leo hii amekuwa kimya katika suala la Bandari, Loliondo, Ngorongoro, katiba mpya na haoni shida yote yanayofanywa sasa Tanganyika na kuratibiwa na CCM!

Zitto kapotea kabisa,najua ni mdini anayepigania tumbo lake na uhai wa chama chake,maana Chama cha Zitto kipo zaidi Zanzibar kuliko Tanganyika.

Chama chake cha eisitii uhai na uwepo wake unategemea Zanzibar,


2. Wenzake wa chana chake huko zanzibar wanaunga mkono udhalimu unaofanyiwa Tanganyika,je atajitenga nao?
3. Akijitenga nao ACT si ndio kifo chake kisiasa na kifedha?

Mwisho,Zito ni mdini, sasa aegemee wapi? kwa Watanganyika wenzake ambao ni mchanganyiko wa wadini wenzake na wasio wadini wenzake au aegemee kwa mdini mwenzake Samia au wadini wenzake Waarabu? (appology for this observation)
Hebu nyie chagadema kuweni na akili basi. Nani kauza bandari? Au mmekaliliswa tu kwamba uwekezaji ni uuzwaji!! Jibidisheni basi angalau kusoma ili muwe knowledgeable siyo wote muwe kama yule kichaa mdude nyangali
 
ACT ilikufa kitambo kilichopo sasa ni CUF ktk koti la ACT. Na kama tujuwvyo CUF ni chama cha wazanzibari. Hivyo Zitto hana chama huku Tanganyika.


Akirogwa tu kuupanua mdomo kusigina yanayofanywa na mzaznizibari Samia ataondoshwa asubuhi na mapema. Ama wazanzibari watarejeshewa CUF yao na ACT itapelekwa maktaba za makumbusho.
 
Mungu huwa anatufunulia wale ambao tusingeweza kuwatambua kwa macho na fahamu zetu,Mungu uwa analeta dhoruba kwenye kujiokoa watu wanavua ngozi zao za kondoo na kuwa mbwa mwitu.

Huwezi amini kwamba huyu ni Zitto aliyetufundisha siasa za uzalendo na kipigamia haki.leo hii amekuwa kimya katika suala la Bandari, Loliondo, Ngorongoro, katiba mpya na haoni shida yote yanayofanywa sasa Tanganyika na kuratibiwa na CCM!

Zitto kapotea kabisa,najua ni mdini anayepigania tumbo lake na uhai wa chama chake,maana Chama cha Zitto kipo zaidi Zanzibar kuliko Tanganyika.

Chama chake cha eisitii uhai na uwepo wake unategemea Zanzibar,


2. Wenzake wa chana chake huko zanzibar wanaunga mkono udhalimu unaofanyiwa Tanganyika,je atajitenga nao?
3. Akijitenga nao ACT si ndio kifo chake kisiasa na kifedha?

Mwisho,Zito ni mdini, sasa aegemee wapi? kwa Watanganyika wenzake ambao ni mchanganyiko wa wadini wenzake na wasio wadini wenzake au aegemee kwa mdini mwenzake Samia au wadini wenzake Waarabu? (appology for this observation)
Kwahiyo mmeacha kumwita msaliti? Mnahitaji msaada wake?nyinyi wenyewe mmeshindwa mpotayari kumsikiliza?mnakosea mbinu chadema ndiomaana kufeli kilasiku
 
Akizungumza mnamuita msaliti..
Akinyamaza mnataka azungumze ..
Jamnagar jema nyinyi

Au mnataka azungumze mnachopenda kusikia?
Akizungumza kinyume na hiko hamtaki?
 
Mungu huwa anatufunulia wale ambao tusingeweza kuwatambua kwa macho na fahamu zetu,Mungu uwa analeta dhoruba kwenye kujiokoa watu wanavua ngozi zao za kondoo na kuwa mbwa mwitu.

Huwezi amini kwamba huyu ni Zitto aliyetufundisha siasa za uzalendo na kipigamia haki.leo hii amekuwa kimya katika suala la Bandari, Loliondo, Ngorongoro, katiba mpya na haoni shida yote yanayofanywa sasa Tanganyika na kuratibiwa na CCM!

Zitto kapotea kabisa,najua ni mdini anayepigania tumbo lake na uhai wa chama chake,maana Chama cha Zitto kipo zaidi Zanzibar kuliko Tanganyika.

Chama chake cha eisitii uhai na uwepo wake unategemea Zanzibar,


2. Wenzake wa chana chake huko zanzibar wanaunga mkono udhalimu unaofanyiwa Tanganyika,je atajitenga nao?
3. Akijitenga nao ACT si ndio kifo chake kisiasa na kifedha?

Mwisho,Zito ni mdini, sasa aegemee wapi? kwa Watanganyika wenzake ambao ni mchanganyiko wa wadini wenzake na wasio wadini wenzake au aegemee kwa mdini mwenzake Samia au wadini wenzake Waarabu? (appology for this observation)
Unapokula pale penye manono ya Nchi ni vzr uwepo utulivu na ukimya wakati wa kula!!
 
Mungu huwa anatufunulia wale ambao tusingeweza kuwatambua kwa macho na fahamu zetu,Mungu uwa analeta dhoruba kwenye kujiokoa watu wanavua ngozi zao za kondoo na kuwa mbwa mwitu.

Huwezi amini kwamba huyu ni Zitto aliyetufundisha siasa za uzalendo na kipigamia haki.leo hii amekuwa kimya katika suala la Bandari, Loliondo, Ngorongoro, katiba mpya na haoni shida yote yanayofanywa sasa Tanganyika na kuratibiwa na CCM!

Zitto kapotea kabisa,najua ni mdini anayepigania tumbo lake na uhai wa chama chake,maana Chama cha Zitto kipo zaidi Zanzibar kuliko Tanganyika.

Chama chake cha eisitii uhai na uwepo wake unategemea Zanzibar,


2. Wenzake wa chana chake huko zanzibar wanaunga mkono udhalimu unaofanyiwa Tanganyika,je atajitenga nao?
3. Akijitenga nao ACT si ndio kifo chake kisiasa na kifedha?

Mwisho,Zito ni mdini, sasa aegemee wapi? kwa Watanganyika wenzake ambao ni mchanganyiko wa wadini wenzake na wasio wadini wenzake au aegemee kwa mdini mwenzake Samia au wadini wenzake Waarabu? (appology for this observation)
Zito ni snakes 🐍 nyoka haaminiki kabisa.
 
MAAJABU YA NDOTO YANGU

Kisha nikaona waliokuwepo upande ULE Wakati Huo wapi pia upande huu Kwa Wakati WA sasa huku wakiikana Imani Yao ya upande wao wa awali na hata wa Sasa Kwa kuyarudia matapishi Yao kwa kusema walikuwa WAMEPOTEA kututetea watoto wao Leo na kuamua kujitetea wao na Binafsi zao za Wakati ULE na Wakati WA Sasa, ni ajabu kidogo!!!..

Ndipo nikamuuliza Bwana Mungu wangu kuwa Nini maana ya ndoto hii NAE akajibu alisema, Kuhusu ulinzi wa Rasilimali zetu msihuzunike mioyoni mwenu Kwa kuwa mimi nipo, ambae Niko, niliyekuweko, na Sasa nipo ndani yenu, nanyi ndani Yangu Kwa niaba yangu katika Roho kupitia mwili Kwa ajili ya Dunia na roho yangu ndani yenu iwapayo uwezo na uhai usiozidi uhai wa wenzenu. Jilindeni, walindeni na Wengine wote bila kuacha kujihami kwao pamoja nao.

Nami nikiondoka ndotoni mwangu na kurudi katika Hali ya mwili, na nikaona isiwe Tabu nikaamua kusiishia hapo kila kitu nikaamka na kutandika kitanda nikasepa zangu kusaka Kazi yoyote mkono uende kinywani.

Neno hili limejia Wakati WA tafakari ya MIKATABA mibovu inayopendwa na Wenzetu huku wakijua ni mibovu kwao na Kwa wenzao huwa wanakuwa na maana gani kuwepo Wakati WA kupata uhuru, Wakati wapigania uhuru wapo kazini, Wakati wapigania uhuru wakiaawa na Leo wako na sisi tusioelewa chochote isipokuwa simulizi za Wakati Uhuru, maumivu ya Sasa na mafikirio ya maumivu ajayo pamoja na Wenzetu WA pande zote. Amani iwe kwenu Jamii yenu, mataifa Kwa mataifa Kwa kuwa mu Huru kuanzia roho zenu, nyama zetu na Damu zenu milele na milele.
Screenshot_20231013-105552.jpg
 
Mtoa hoja sasa tuambie walau Chama kimoja tu kilichoweka hoja zake kwenye maandishi na kutoa njia ya kujikwamua,tafadhal usituleteee hoja za kelele
 
Back
Top Bottom