Weka CV yako hapa ili tuone kama unastahili hiyo nafasi unayoomba kuteuliwa.Kwa aliye karibu na Mama Samia; naomba aniteue kuwa waziri wa fedha japo kwa mwezi mmoja tu
Nina uzoefu mkubwa sana wa kutafuta, kutumia na kutunza fedha!Weka CV yako hapa ili tuone kama unastahili hiyo nafasi unayoomba kuteuliwa.
AACHE UONGO kwanini Zitto hakusema kipindi hicho kwanini aseme sasaZitto Kabwe amesema mwaka 2012 alipata changamoto chama chake cha wakati huo cha CHADEMA akidai ilikuwa juhudi ya kumzuia kuwa mwenyekiti wa chama hicho, Zitto amesema kulikuwa na makubaliano baada ya kugombea uchaguzi wa nyuma yake kwamba amuachie kijiti Freeman Mbowe na atampokea miaka mitano ijayo na badala yake miaka miwili kabla aliondolewa nyazifa zote za uongozi Chadema na wapo katika kundi lao walisema waende CCM.
Zitto Kabwe amesema Jakaya Kikwete alimuita na kumwambia ana machaguo mawili kwa kuwa alikuwa anachipukia kwenye siasa, kwanza kujiunga na chama tawala cha CCM na endapo angefanya hivyo angempa uwaziri wa fedha siku inayofata.
Rais mstaafu Kikwete alimpa angalizo Zitto Kabwe kwamba kwa maono yake CCM haitakuwepo madarakani muda mrefu ilhali Zitto bado kijana mdogo na kumshauri kutafuta jukwaa lingine lakini sio la chama tawala.
Zitto amesema kwenye hicho kikao mmoja wa waliokuwepo ni rafiki yake Deo Fulikunjombe naye akamshauri asiende CCM.
Mashinji, Silinde, Lijualikali, Peneza, Katambi hawa zamani tulidhani ni makamanda na watu safi kuliko ZitTo leo wako CCM tumewafumbia macho ila Sisi kwa miaka zaidi ya 10 tuko busy kumnanga Zitto aliyeamua kuendesha harakati zake za siasa kupitia ACT.
Kuna mawili
1. Either tunapreciate sana uwezo wa Zitto kwa hiyo tuna ile inayoitwa HATE and LOVE scenario
2. Au ni Inferiority complex dhidi yake tu inatusumbua maana uwezo wake ni mkubwa sana kwa hiyo tunachuki itokanayo na roho ya korosho
Zitto muda sio mrefu inaanzia miaka mingapi?ulikuwa ni wasi wasi wa jk chama kumfia mikononi maana alikumbatia mafisadi!Zitto Kabwe amesema mwaka 2012 alipata changamoto chama chake cha wakati huo cha CHADEMA akidai ilikuwa juhudi ya kumzuia kuwa mwenyekiti wa chama hicho, Zitto amesema kulikuwa na makubaliano baada ya kugombea uchaguzi wa nyuma yake kwamba amuachie kijiti Freeman Mbowe na atampokea miaka mitano ijayo na badala yake miaka miwili kabla aliondolewa nyazifa zote za uongozi Chadema na wapo katika kundi lao walisema waende CCM.
Zitto Kabwe amesema Jakaya Kikwete alimuita na kumwambia ana machaguo mawili kwa kuwa alikuwa anachipukia kwenye siasa, kwanza kujiunga na chama tawala cha CCM na endapo angefanya hivyo angempa uwaziri wa fedha siku inayofata.
Rais mstaafu Kikwete alimpa angalizo Zitto Kabwe kwamba kwa maono yake CCM haitakuwepo madarakani muda mrefu ilhali Zitto bado kijana mdogo na kumshauri kutafuta jukwaa lingine lakini sio la chama tawala.
Zitto amesema kwenye hicho kikao mmoja wa waliokuwepo ni rafiki yake Deo Fulikunjombe naye akamshauri asiende CCM.
Hili la Zitto kutumika na Kikwete hakuna asiyelifahamu na ndio maana alitimuliwa Chadema mapema sana , Hata Mahakamani alikuwa analindwa na Walinzi waliolipwa na Kikwete , nani amesahau ?Zitto Kabwe amesema mwaka 2012 alipata changamoto chama chake cha wakati huo cha CHADEMA akidai ilikuwa juhudi ya kumzuia kuwa mwenyekiti wa chama hicho, Zitto amesema kulikuwa na makubaliano baada ya kugombea uchaguzi wa nyuma yake kwamba amuachie kijiti Freeman Mbowe na atampokea miaka mitano ijayo na badala yake miaka miwili kabla aliondolewa nyazifa zote za uongozi Chadema na wapo katika kundi lao walisema waende CCM.
Zitto Kabwe amesema Jakaya Kikwete alimuita na kumwambia ana machaguo mawili kwa kuwa alikuwa anachipukia kwenye siasa, kwanza kujiunga na chama tawala cha CCM na endapo angefanya hivyo angempa uwaziri wa fedha siku inayofata.
Rais mstaafu Kikwete alimpa angalizo Zitto Kabwe kwamba kwa maono yake CCM haitakuwepo madarakani muda mrefu ilhali Zitto bado kijana mdogo na kumshauri kutafuta jukwaa lingine lakini sio la chama tawala.
Zitto amesema kwenye hicho kikao mmoja wa waliokuwepo ni rafiki yake Deo Fulikunjombe naye akamshauri asiende CCM.
Utaukana uraia wa US?Kwa aliye karibu na Mama Samia; naomba aniteue kuwa waziri wa fedha japo kwa mwezi mmoja tu
Zito ni plan B ya kikundi cha Kikwete February. Hivyo akiwa Kikwete au February, Zito anapata, wakikosa basi Zito akipata, February na Kikwete wanapataZitto Kabwe amesema mwaka 2012 alipata changamoto chama chake cha wakati huo cha CHADEMA akidai ilikuwa juhudi ya kumzuia kuwa mwenyekiti wa chama hicho, Zitto amesema kulikuwa na makubaliano baada ya kugombea uchaguzi wa nyuma yake kwamba amuachie kijiti Freeman Mbowe na atampokea miaka mitano ijayo na badala yake miaka miwili kabla aliondolewa nyazifa zote za uongozi Chadema na wapo katika kundi lao walisema waende CCM.
Zitto Kabwe amesema Jakaya Kikwete alimuita na kumwambia ana machaguo mawili kwa kuwa alikuwa anachipukia kwenye siasa, kwanza kujiunga na chama tawala cha CCM na endapo angefanya hivyo angempa uwaziri wa fedha siku inayofata.
Rais mstaafu Kikwete alimpa angalizo Zitto Kabwe kwamba kwa maono yake CCM haitakuwepo madarakani muda mrefu ilhali Zitto bado kijana mdogo na kumshauri kutafuta jukwaa lingine lakini sio la chama tawala.
Zitto amesema kwenye hicho kikao mmoja wa waliokuwepo ni rafiki yake Deo Fulikunjombe naye akamshauri asiende CCM.
Simkubali zitto ila kama samia kaweza kuwa raisi hadi leo basi zitto hawezi kushindwa kuwa waziri wa fedhaZitto huyu aliyeshindwa kutengeneza bajeti mbadala ndio apewe uwaziri wa fedha, inafikirisha
Kama Mwigulu kawa waziri wa fedha Hadi Leo inawezekanaSimkubali zitto ila kama samia kaweza kuwa raisi hadi leo basi zitto hawezi kushindwa kuwa waziri wa fedha
Kwanza alisema Membe alitaka kumpa Ubalozi wa GermanZitto sio wa kumuamini saana maneno yake
Zitto alikuwa anatembelea nyota ya mama yake 🐼Mashinji, Silinde, Lijualikali, Peneza, Katambi hawa zamani tulidhani ni makamanda na watu safi kuliko Zitto leo wako CCM tumewafumbia macho ila Sisi kwa miaka zaidi ya 10 tuko busy kumnanga Zitto aliyeamua kuendesha harakati zake za siasa kupitia ACT.
Kuna mawili
1. Either tunaapreciate sana uwezo wa Zitto kwa hiyo tuna ile inayoitwa HATE and LOVE scenario
2. Au ni Inferiority complex dhidi yake tu inatusumbua maana uwezo wake ni mkubwa sana kwa hiyo tunachuki itokanayo na roho ya korosho
Nina urai wa Tanzania tu; kama unaweza niunganishie kwa mama angalau niwe waziri wa fedha hata kwa wiki moja tu, ingawa mwezi mmoja ndipo ningeweza kuonyesha umahiri wangu.Utaukana uraia wa US?