Zitto Kabwe asema Kikwete alimwambia CCM hakina muda mrefu madarakani na kumshauri abaki upinzani. Aliahidiwa uwaziri wa fedha iwapo angejiunga CCM

Mashinji, Silinde, Lijualikali, Peneza, Katambi hawa zamani tulidhani ni makamanda na watu safi kuliko Zitto leo wako CCM tumewafumbia macho ila Sisi kwa miaka zaidi ya 10 tuko busy kumnanga Zitto aliyeamua kuendesha harakati zake za siasa kupitia ACT.

Kuna mawili
1. Either tunaapreciate sana uwezo wa Zitto kwa hiyo tuna ile inayoitwa HATE and LOVE scenario

2. Au ni Inferiority complex dhidi yake tu inatusumbua maana uwezo wake ni mkubwa sana kwa hiyo tunachuki itokanayo na roho ya korosho
 
Kwenye uchaguzi huru na wa haki, CCM haiwezi kushinda. Viongozi wote wa CCM wanalijua hilo. Ndiyo maana hawawezi kukubali katiba mpya wala tume huru ya uchaguzi.

Ni wajinga wajinga wachache na wale CCM maslahi ya tumbo, ndiyo bado wapo na CCM. Huo ndiyo ukweli.
 
Zitto Kabwe amesema mwaka 2012 alipata changamoto chama chake cha wakati huo cha CHADEMA akidai ilikuwa juhudi ya kumzuia kuwa mwenyekiti wa chama hicho, Zitto amesema kulikuwa na makubaliano baada ya kugombea uchaguzi wa nyuma yake kwamba amuachie kijiti Freeman Mbowe na atampokea miaka mitano ijayo na badala yake miaka miwili kabla aliondolewa nyazifa zote za uongozi Chadema na wapo katika kundi lao walisema waende CCM.

Zitto Kabwe amesema Jakaya Kikwete alimuita na kumwambia ana machaguo mawili kwa kuwa alikuwa anachipukia kwenye siasa, kwanza kujiunga na chama tawala cha CCM na endapo angefanya hivyo angempa uwaziri wa fedha siku inayofata.

Rais mstaafu Kikwete alimpa angalizo Zitto Kabwe kwamba kwa maono yake CCM haitakuwepo madarakani muda mrefu ilhali Zitto bado kijana mdogo na kumshauri kutafuta jukwaa lingine lakini sio la chama tawala.

Zitto amesema kwenye hicho kikao mmoja wa waliokuwepo ni rafiki yake Deo Fulikunjombe naye akamshauri asiende CCM.

AACHE UONGO kwanini Zitto hakusema kipindi hicho kwanini aseme sasa
 
Mashinji, Silinde, Lijualikali, Peneza, Katambi hawa zamani tulidhani ni makamanda na watu safi kuliko ZitTo leo wako CCM tumewafumbia macho ila Sisi kwa miaka zaidi ya 10 tuko busy kumnanga Zitto aliyeamua kuendesha harakati zake za siasa kupitia ACT.

Kuna mawili
1. Either tunapreciate sana uwezo wa Zitto kwa hiyo tuna ile inayoitwa HATE and LOVE scenario

2. Au ni Inferiority complex dhidi yake tu inatusumbua maana uwezo wake ni mkubwa sana kwa hiyo tunachuki itokanayo na roho ya korosho

Inategemea kwenye nini.

Ikiwa Kama hivi kwenye kufanya “Polifix, hana mpinzani kwa sasa nyuma ya Mzee Freeman.
 
Zitto Kabwe amesema mwaka 2012 alipata changamoto chama chake cha wakati huo cha CHADEMA akidai ilikuwa juhudi ya kumzuia kuwa mwenyekiti wa chama hicho, Zitto amesema kulikuwa na makubaliano baada ya kugombea uchaguzi wa nyuma yake kwamba amuachie kijiti Freeman Mbowe na atampokea miaka mitano ijayo na badala yake miaka miwili kabla aliondolewa nyazifa zote za uongozi Chadema na wapo katika kundi lao walisema waende CCM.

Zitto Kabwe amesema Jakaya Kikwete alimuita na kumwambia ana machaguo mawili kwa kuwa alikuwa anachipukia kwenye siasa, kwanza kujiunga na chama tawala cha CCM na endapo angefanya hivyo angempa uwaziri wa fedha siku inayofata.

Rais mstaafu Kikwete alimpa angalizo Zitto Kabwe kwamba kwa maono yake CCM haitakuwepo madarakani muda mrefu ilhali Zitto bado kijana mdogo na kumshauri kutafuta jukwaa lingine lakini sio la chama tawala.

Zitto amesema kwenye hicho kikao mmoja wa waliokuwepo ni rafiki yake Deo Fulikunjombe naye akamshauri asiende CCM.

Zitto muda sio mrefu inaanzia miaka mingapi?ulikuwa ni wasi wasi wa jk chama kumfia mikononi maana alikumbatia mafisadi!
 
Zitto Kabwe amesema mwaka 2012 alipata changamoto chama chake cha wakati huo cha CHADEMA akidai ilikuwa juhudi ya kumzuia kuwa mwenyekiti wa chama hicho, Zitto amesema kulikuwa na makubaliano baada ya kugombea uchaguzi wa nyuma yake kwamba amuachie kijiti Freeman Mbowe na atampokea miaka mitano ijayo na badala yake miaka miwili kabla aliondolewa nyazifa zote za uongozi Chadema na wapo katika kundi lao walisema waende CCM.

Zitto Kabwe amesema Jakaya Kikwete alimuita na kumwambia ana machaguo mawili kwa kuwa alikuwa anachipukia kwenye siasa, kwanza kujiunga na chama tawala cha CCM na endapo angefanya hivyo angempa uwaziri wa fedha siku inayofata.

Rais mstaafu Kikwete alimpa angalizo Zitto Kabwe kwamba kwa maono yake CCM haitakuwepo madarakani muda mrefu ilhali Zitto bado kijana mdogo na kumshauri kutafuta jukwaa lingine lakini sio la chama tawala.

Zitto amesema kwenye hicho kikao mmoja wa waliokuwepo ni rafiki yake Deo Fulikunjombe naye akamshauri asiende CCM.

Hili la Zitto kutumika na Kikwete hakuna asiyelifahamu na ndio maana alitimuliwa Chadema mapema sana , Hata Mahakamani alikuwa analindwa na Walinzi waliolipwa na Kikwete , nani amesahau ?
 
Zitto Kabwe amesema mwaka 2012 alipata changamoto chama chake cha wakati huo cha CHADEMA akidai ilikuwa juhudi ya kumzuia kuwa mwenyekiti wa chama hicho, Zitto amesema kulikuwa na makubaliano baada ya kugombea uchaguzi wa nyuma yake kwamba amuachie kijiti Freeman Mbowe na atampokea miaka mitano ijayo na badala yake miaka miwili kabla aliondolewa nyazifa zote za uongozi Chadema na wapo katika kundi lao walisema waende CCM.

Zitto Kabwe amesema Jakaya Kikwete alimuita na kumwambia ana machaguo mawili kwa kuwa alikuwa anachipukia kwenye siasa, kwanza kujiunga na chama tawala cha CCM na endapo angefanya hivyo angempa uwaziri wa fedha siku inayofata.

Rais mstaafu Kikwete alimpa angalizo Zitto Kabwe kwamba kwa maono yake CCM haitakuwepo madarakani muda mrefu ilhali Zitto bado kijana mdogo na kumshauri kutafuta jukwaa lingine lakini sio la chama tawala.

Zitto amesema kwenye hicho kikao mmoja wa waliokuwepo ni rafiki yake Deo Fulikunjombe naye akamshauri asiende CCM.

Zito ni plan B ya kikundi cha Kikwete February. Hivyo akiwa Kikwete au February, Zito anapata, wakikosa basi Zito akipata, February na Kikwete wanapata
 
Katiba ya Chadema haijawahi kuwa na kipengele cha Makubaliano ya kuachiana Madaraka kiushikaji , hakuna , Utaratibu wa miaka yote ni kila mtu kuchukua fomu na kuomba kura mbele ya Wanachama kwa kujinadi, hizo porojo ni Batili na hazikubaliki
 
Mashinji, Silinde, Lijualikali, Peneza, Katambi hawa zamani tulidhani ni makamanda na watu safi kuliko Zitto leo wako CCM tumewafumbia macho ila Sisi kwa miaka zaidi ya 10 tuko busy kumnanga Zitto aliyeamua kuendesha harakati zake za siasa kupitia ACT.

Kuna mawili
1. Either tunaapreciate sana uwezo wa Zitto kwa hiyo tuna ile inayoitwa HATE and LOVE scenario

2. Au ni Inferiority complex dhidi yake tu inatusumbua maana uwezo wake ni mkubwa sana kwa hiyo tunachuki itokanayo na roho ya korosho
Zitto alikuwa anatembelea nyota ya mama yake 🐼

CCM ilimshindwa Tundu Lisu tu na Shujaa Maguful mwenyewe alikiri hadharani 😄😄
 
Back
Top Bottom