Zanzibar ndiyo waliotoa Mtaji kuanzisha BOT. Sasa wanataka fungu lao

CRITICAL MIND

JF-Expert Member
Sep 1, 2013
416
400
Kuna video ya mahojiano na aliyekuwa waziri na pia Mwakilishi wa Tanzania UN Mheshimiwa Amina Salim Ali inayotembea kwenye mitandao ya kijamii akielezea kuwa Zanzibar ndiyo iliyotoa mtaji wa kuanzisha BOT kule kwenye East Africa Currency Board.

Na pia katika makubaliana ya muungano pia kuna fungi lao (asilimia 4 na ache) amblaa kwa sasa limefikia trillions na hawajalipwa

Hii ni moja ya Kero za muungano ambazo hatupewi sisi kama mwananchi mrejesho na wanasiasa wetu kuwa nini kimemalizwa na kipi bado na tatizo ni nini.
 
..Mgogoro wa fedha kati ya Tgk na Znz ulishughulikiwa / uliamuliwa na Shirika la Fedha Duniani [ IMF.].

..IMF ndio waliopendekeza Znz iwe inapewa mgao wa 4% ya mapato ya muungano.

..pia IMF ndio waliotoa pendekezo kwamba mmoja kati ya Manaibu Gavana wa BOT atoke Znz.
 
Mbali ya mtaji hata ardhi ya pwani kuanzia Tanga hadi Ntwala ni mali ya Zanzibar,yaani waZanzibali ndio wale watenda wema waondokao.
Nyie endeleeni kuyachokoa tu.

1713958643504.png
 
Hivi mnaijua hii Zanzibar au basi mnakuja na akili za porini tu eti mfalme ni Simba tu ,wakati Simba anamuogopa kakakuona.
1875 hii hapa Zanzibar ipo ,pembeni kuna wahehe na wanyamwezi.Wengine mmetokea misitu ya Congo au mnataka tuanze kupimana DNA ??
1713958821139.png
 
We
Mbali ya mtaji hata ardhi ya pwani kuanzia Tanga hadi Ntwala ni mali ya Zanzibar,yaani waZanzibali ndio wale watenda wema waondokao.
Nyie endeleeni kuyachokoa tu.

View attachment 2972777
We mumbwa ata Tanganyika tanganyika ilikua na kanda zake ata pwani ni moja ya kanda zilizo ungana na kuatanganyika,
Burundi na rwanda waligoma kama walivyo goma wakina arusha na zenji.
 
Back
Top Bottom