Zanzibar Revenue Aurhority wanakusanya pesa za kutosha kwa minajili hiyo. Za RRA acha zibaki Bara na hazitoshi.Zanzibar ndio lango la utalii nchini. Nashauri pesa nyingi ipelekwe huko kuendeleza miundo mbinu ya barabara, airport na hotel
Ombeni kwa mabasha zenu waarabu.Zanzibar ndio lango la utalii nchini. Nashauri pesa nyingi ipelekwe huko kuendeleza miundo mbinu ya barabara, airport na hotel
Mkuu unatokea Wete sehemu gani?Zanzibar ndio lango la utalii nchini. Nashauri pesa nyingi ipelekwe huko kuendeleza miundo mbinu ya barabara, airport na hotel
Kuna TRA inakusanya kwa niaba ya URTZanzibar Revenue Aurhority wanakusanya pesa za kutosha kwa minajili hiyo. Za RRA acha zibaki Bara na hazitoshi.
Sawa sawa, ikiwezekana asilimia 20 ya bajeti ya muungano upande wa miundombinu ielekezwe Zanzibar badala ya Mwanza, Mtwara na Kigoma.Zanzibar ndio lango la utalii nchini. Nashauri pesa nyingi ipelekwe huko kuendeleza miundo mbinu ya barabara, airport na hotel
Nini kinawashinda kukusanya wenyewe hadi watubebeshe mzigo wa kuwakusanyia?Kuna TRA inakusanya kwa niaba ya URT
Na mapato ya Zanzibar asilimia ngapi yaje bara?Sawa sawa, ikiwezekana asilimia 20 ya bajeti ya muungano upande wa miundombinu ielekezwe Zanzibar badala ya Mwanza, Mtwara na Kigoma.
Tungekua na raisi mmoja sawa.Zanzibar ndio lango la utalii nchini. Nashauri pesa nyingi ipelekwe huko kuendeleza miundo mbinu ya barabara, airport na hotel
Mapato ya Zanzibar yaje bara kufanya nini?Na mapato ya Zanzibar asilimia ngapi yaje bara?
Kwa sababu TRA wamepewa kazi hiyoNini kinawashinda kukusanya wenyewe hadi watubebeshe mzigo wa kuwakusanyia?
Upumbavu huo yai wizara ya muungano bara utengeneze zanziba hata sio ya muungano.si bora muungano uvunjike tu.Sawa sawa, ikiwezekana asilimia 20 ya bajeti ya muungano upande wa miundombinu ielekezwe Zanzibar badala ya Mwanza, Mtwara na Kigoma.
Unajua nini sababu Zanzibar inaonekana watalii wengi? Kamji ni kadogo bara kuna watalii mala elfu ya Zanzibar.Utalii bara unaingiza kiasi gani?
Zanzibar unaiingiza kiasi gani?
KWA huku bara data mnawezatenganisha mf Serengeti kivyake,Ngorongoro kivyake, kilimanjaro kivyake
asee..anywayOmbeni kwa mabasha zenu waarabu.
Najua, kwanini kazi hiyo wasipewe ZRA?, au ZRA kazi yao ni ipi?Kwa sababu TRA wamepewa kazi hiyo
Kwani ya Bara unataka yaende Zenji kufanya nini?Mapato ya Zanzibar yaje bara kufanya nini?
Zanzibar ndio lango la utalii nchini. Nashauri pesa nyingi ipelekwe huko kuendeleza miundo mbinu ya barabara, airport na hotel