The Lastdream
JF-Expert Member
- Jan 23, 2024
- 1,606
- 3,637
mwehu mama yako aliyekuzaa chooniSasa kama hilo unalijua kwanini uliuliza kama alikuwa anashangilia hivyo Azam ili iweje? Acha kuwapangia watu furaha zao nwehu wewe
mwehu mama yako aliyekuzaa chooniSasa kama hilo unalijua kwanini uliuliza kama alikuwa anashangilia hivyo Azam ili iweje? Acha kuwapangia watu furaha zao nwehu wewe
Mama yangu mzazi ndio mama yako mzazi. Au hizi ID ndio zinakufanya ujiamini kiasi kwamba uone kama hauna ndugu humu JF? Mtu anayetukana wazazi huwa ana uwezo mdogo sana wa kufikiria.mwehu mama yako aliyekuzaa chooni
sasa mimi na wewe nan ana uwezo mdogo wa kufikiri? Wewe si ndo umeanza kuniita mwehu? Mbona unakuwa mpumbavu hivyo?Mama yangu mzazi ndio mama yako mzazi. Au hizi ID ndio zinakufanya ujiamini kiasi kwamba uone kama hauna ndugu humu JF? Mtu anayetukana wazazi huwa ana uwezo mdogo sana wa kufikiria.
Nje ya mada.Simu ya Mudathir imezua balaa.
Ila mimi nawashangaa wanaosema anaipigia familia yake, hivi kwa akili zenu kabisa mlidhani atasema ukweli anampigia huyo Yusuph au Try Again?
Hiyo simu ni fumbo, na kwa kusoma body language yake wakati anaipiga sio simu ya familia ile. Huwa anaipiga kishari sana.
Umeanza wewe kuniita mjinga wakati mimi sijakutusi popote pale.sasa mimi na wewe nan ana uwezo mdogo wa kufikiri? Wewe si ndo umeanza kuniita mwehu? Mbona unakuwa mpumbavu hivyo?
Pitia post namba 39 halafu nioneshe mimi nilikutusi wapi. Kama sio mpumbavu ni wewe unayekimbilia matusisasa mimi na wewe nan ana uwezo mdogo wa kufikiri? Wewe si ndo umeanza kuniita mwehu? Mbona unakuwa mpumbavu hivyo?
Hakuna kitu naumia km huyu kutoka pale Etihad, nampenda huyu kaka jamaniiii.Ananshangilia kama Gabriel Jesus wa Arsenal
😃Amishia mapenzi kwa DokuHakuna kitu naumia km huyu kutoka pale Etihad, nampenda huyu kaka jamaniiii.
4 - 4, Nasikia wamanga walirudisha kwenye kipindi cha michezo cha E fm.Tupeni matokeo ya Yanga na hao wamanga wa Algeria
Jamani! Nashukuru sana Mkuu.Nje ya mada.
Nifah uko vizuri sana hapo kichwani. Kila nisomapo comments zako huwa ninajisemea moyoni..mmeo anamiliki dhahabu kama anajua namna ya kwenda na wewe.👍
mjinga sio tusi ujinga ni kutokuelewa.Umeanza wewe kuniita mjinga wakati mimi sijakutusi popote pale.
Nani alikuambia mjinga ni tusi? Tafuta kamusi inayosema mjinga ni tusi. Halafu utakuta unajiita msomi kwenu.Pitia post namba 39 halafu nioneshe mimi nilikutusi wapi. Kama sio mpumbavu ni wewe unayekimbilia matusi
Popote pale haijalishi unafanya nini, YESU KRISTO SIKU ZOTE WAKATI WOTE NI MADA NDANI YA MADANi kweli lakin upo nje ya mada
Kama sio tusi nenda kamwambie baba yako na mama yako kuwa ni wajingaNani alikuambia mjinga ni tusi? Tafuta kamusi inayosema mjinga ni tusi. Halafu utakuta unajiita msomi kwenu.
Chai hii😀😂, ko Ume jiunga jf ukiwa 15 yrs🙄Umri wangu ni miaka yangu 23, kweli hilo hawezi kusema sasa wewe umetoa wapi info hizo au umetunga kutokana na mpangilio wa matukio?