Yusuf Bakhresa pokea simu ya Mudathir kabla mambo hayajazidi kuwa mabaya

Sasa anampigia ili nini? Anamdai? Kama hamdai na yupo Yanga amesettle si atulie tu aendelee na mambo yake? Afterall ameshafikisha ujumbe kama ni kweli walimfanyia hivyo. Sasa ataendelea kuwapigia hadi lini?

Pia, dunia ni mzunguko. Mkataba unaweza kumalizika Yanga na siku moja Wakakutana na Yusuph kitaa na wakasaidiana nje ya mpira na kwa kuwa wote ni Wazenj, they may cross the path again hata kama sio kwenye mpira. Hamnaga permanent status. Sio kwamba hapo Yanga amefika, ajifunze kusamehe pia.
 
Sasa anampigia ili nini? Anamdai? Kama hamdai na yupo Yanga amesettle si atulie tu aendelee na mambo yake? Afterall ameshafikisha ujumbe kama ni kweli walimfanyia hivyo. Sasa ataendelea kuwapigia hadi lini?

Pia, dunia ni mzunguko. Mkataba unaweza kumalizika Yanga na siku moja Wakakutana na Yusuph kitaa na wakasaidiana nje ya mpira na kwa kuwa wote ni Wazenj, they may cross the path again hata kama sio kwenye mpira. Hamnaga permanent status. Sio kwamba hapo Yanga amefika, ajifunze kusamehe pia.
Mkuu ile ni aina yake ya kushangilia, sio kwamba huwa anapiga simu kweli. Sio ajabu hata akirudi Azam akaamua kushangilia hivyo hivyo. Kila mchezaji ana staili yake ya kushangilia na sababu zake au anachomaanisha. Japo inaweza zingine zisiwe na maana wala sababu.
 
Mkuu ile ni aina yake ya kushangilia, sio kwamba huwa anapiga simu kweli. Sio ajabu hata akirudi Azam akaamua kushangilia hivyo hivyo. Kila mchezaji ana staili yake ya kushangilia na sababu zake au anachomaanisha. Japo inaweza zingine zisiwe na maana wala sababu.
Ninafahamu hapigi simu kweli, point yangu ni kwamba inasemekana anashangilia vile kutuma ujumbe kwa waliomfanyia hivyo, ndio nikasema kama anafanya hivyo kweli maana yake bado ana kisasi au chuki moyoni na kama hivyo ndivyo basi ndio maana nimeandika hivyo.
 
Simu ya Mudathir imezua balaa.

Ila mimi nawashangaa wanaosema anaipigia familia yake, hivi kwa akili zenu kabisa mlidhani atasema ukweli anampigia huyo Yusuph au Try Again?

Hiyo simu ni fumbo, na kwa kusoma body language yake wakati anaipiga sio simu ya familia ile. Huwa anaipiga kishari sana.
umetisha
 
Mkuu ile ni aina yake ya kushangilia, sio kwamba huwa anapiga simu kweli. Sio ajabu hata akirudi Azam akaamua kushangilia hivyo hivyo. Kila mchezaji ana staili yake ya kushangilia na sababu zake au anachomaanisha. Japo inaweza zingine zisiwe na maana wala sababu.
alipokuwa Azam alikuwa anashangalia kwa kupiga simu?
 
Simu ya Mudathir imezua balaa.

Ila mimi nawashangaa wanaosema anaipigia familia yake, hivi kwa akili zenu kabisa mlidhani atasema ukweli anampigia huyo Yusuph au Try Again?

Hiyo simu ni fumbo, na kwa kusoma body language yake wakati anaipiga sio simu ya familia ile. Huwa anaipiga kishari sana.
You said it all.
 
alipokuwa Azam alikuwa anashangalia kwa kupiga simu?
Kwani kubadilisha ushangiliaji ni kosa? Anavyoshangilia kupiga simu kuna kosa gani la kinidhamu? Mwacheni mtu nafsi yake itulie kwa kufanya anachokipenda. Yaani hadi shangilia ya mtu mnataka kuichambua dah watanzania kwa ujuaji tupo level ya juu sana.
 
Kwani kubadilisha ushangiliaji ni kosa? Anavyoshangilia kupiga simu kuna kosa gani la kinidhamu? Mwacheni mtu nafsi yake itulie kwa kufanya anachokipenda. Yaani hadi shangilia ya mtu mnataka kuichambua dah watanzania kwa ujuaji tupo level ya juu sana.
wacha ujinga kila kitu kina maana.
Mudhathir anashangilia kwa kupiga simu sababu anawasiliana na Mke na watoto wake sababu muda mwingi anashinda kambini hivyo hayupo karibu na familia yake .
 
wacha ujinga kila kitu kina maana.
Mudhathir anashangilia kwa kupiga simu sababu anawasiliana na Mke na watoto wake sababu muda mwingi anashinda kambini hivyo hayupo karibu na familia yake .
Sasa kama hilo unalijua kwanini uliuliza kama alikuwa anashangilia hivyo Azam ili iweje? Acha kuwapangia watu furaha zao nwehu wewe
 
Back
Top Bottom