proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 5,606
- 7,357
Maisha mengi tuliyonayo yalianza kama picha inayojengeka akilini. Hakuna mwanadamu asiyependa vitu vizuri.
Ushindani na matamanio ya mwanadamu yanazua mambo mengi. Pale unajaribu hili na lile ili kupata vizuri halafu ukavikosa ndipo akili inapoanza kuchanganyikiwa.
Zipo nyuzi nyingi za kukata tamaa. Hawa ndio walio tuandikia kupitia jukwaani, je wale walioshindwa ni wangapi?
Ikifika mahali acha ushindani ili kuepuka shida ya kiafya na kiroho pia. Kila mtu ana namna yake alivyo.....wengine koneksheni, wengine wizi, wengine bahati japo ni wachache sana, wengine urithi.
Ewe mtu uliyepewa oksijeni ya bure ๐๐ฌ๐ข๐ฌ๐ก๐ข๐ค๐ฐ๐ ๐ฌ๐จ๐ง๐จ๐ง๐ ๐๐ฎ ๐ค๐ฎ๐ฃ๐ข๐ฎ๐ ๐ค๐ข๐ฌ๐ ๐ฆ๐๐ฉ๐๐ง๐ณ๐ข ๐๐ฎ ๐ฎ๐ ๐ฎ๐ฆ๐ฎ ๐ฐ๐ ๐ฆ๐๐ข๐ฌ๐ก๐.
watu wengi hasa vijana kwa sasa hatuna amani vichwani mwetu kisa kikuu kikiwa ugumu wa maisha na mapenzi, ambapo ubongo ukizidiwa unaupa moyo shida ndio unaanza kupata magonjwa ya ajabu ajabu presha, sonona, msongo n.k
Matukio ya mauaji, ulawiti, ubakaji ni mengi sana kisa vichwa vimevurugwa watu hawaogopi wanaona liwalo na liwe.
Sina uhakika sana kati ya mwanaume na mwanamke ni yupi anayeteseka sana dunia ya utafutaji na mapenzi, ๐ฅ๐๐ค๐ข๐ง๐ข ๐ฐ๐๐ง๐๐ฐ๐๐ฎ๐ฆ๐ ๐ฐ๐๐ฆ๐๐ฌ๐๐ก๐๐ฎ ๐ค๐ฐ๐ ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฆ๐ฐ๐๐ง๐ ๐ฎ ๐ฐ๐ ๐ฌ๐๐ฌ๐ ๐ฌ๐ข๐ฌ๐ข ๐ง๐ข ๐๐ก๐๐ก๐๐๐ฎ ๐ค๐ฐ๐ ๐ฌ๐๐๐๐๐ฎ ๐ก๐ฎ๐๐ง๐๐ ๐ค๐ข๐ฎ๐ฆ๐๐ ๐ก๐ข๐ค๐ข ๐ค๐ข๐ค๐๐ฉ๐จ๐ญ๐๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐ค๐๐ฌ๐ข hadi kuja kushtuka dunia itabaki kutafutwa kwa bunduki na kutekwa na wanawake kwa sababu uadimu wetu.
Wanawake saba watamng'ang'ania mwanaume mmoja wakitamani kuitwa kwa jina lake. Wenye bible tafuteni nimesahau kifungu.
Ushindani na matamanio ya mwanadamu yanazua mambo mengi. Pale unajaribu hili na lile ili kupata vizuri halafu ukavikosa ndipo akili inapoanza kuchanganyikiwa.
Zipo nyuzi nyingi za kukata tamaa. Hawa ndio walio tuandikia kupitia jukwaani, je wale walioshindwa ni wangapi?
Ikifika mahali acha ushindani ili kuepuka shida ya kiafya na kiroho pia. Kila mtu ana namna yake alivyo.....wengine koneksheni, wengine wizi, wengine bahati japo ni wachache sana, wengine urithi.
Ewe mtu uliyepewa oksijeni ya bure ๐๐ฌ๐ข๐ฌ๐ก๐ข๐ค๐ฐ๐ ๐ฌ๐จ๐ง๐จ๐ง๐ ๐๐ฎ ๐ค๐ฎ๐ฃ๐ข๐ฎ๐ ๐ค๐ข๐ฌ๐ ๐ฆ๐๐ฉ๐๐ง๐ณ๐ข ๐๐ฎ ๐ฎ๐ ๐ฎ๐ฆ๐ฎ ๐ฐ๐ ๐ฆ๐๐ข๐ฌ๐ก๐.
watu wengi hasa vijana kwa sasa hatuna amani vichwani mwetu kisa kikuu kikiwa ugumu wa maisha na mapenzi, ambapo ubongo ukizidiwa unaupa moyo shida ndio unaanza kupata magonjwa ya ajabu ajabu presha, sonona, msongo n.k
Matukio ya mauaji, ulawiti, ubakaji ni mengi sana kisa vichwa vimevurugwa watu hawaogopi wanaona liwalo na liwe.
Sina uhakika sana kati ya mwanaume na mwanamke ni yupi anayeteseka sana dunia ya utafutaji na mapenzi, ๐ฅ๐๐ค๐ข๐ง๐ข ๐ฐ๐๐ง๐๐ฐ๐๐ฎ๐ฆ๐ ๐ฐ๐๐ฆ๐๐ฌ๐๐ก๐๐ฎ ๐ค๐ฐ๐ ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฆ๐ฐ๐๐ง๐ ๐ฎ ๐ฐ๐ ๐ฌ๐๐ฌ๐ ๐ฌ๐ข๐ฌ๐ข ๐ง๐ข ๐๐ก๐๐ก๐๐๐ฎ ๐ค๐ฐ๐ ๐ฌ๐๐๐๐๐ฎ ๐ก๐ฎ๐๐ง๐๐ ๐ค๐ข๐ฎ๐ฆ๐๐ ๐ก๐ข๐ค๐ข ๐ค๐ข๐ค๐๐ฉ๐จ๐ญ๐๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐ค๐๐ฌ๐ข hadi kuja kushtuka dunia itabaki kutafutwa kwa bunduki na kutekwa na wanawake kwa sababu uadimu wetu.
Wanawake saba watamng'ang'ania mwanaume mmoja wakitamani kuitwa kwa jina lake. Wenye bible tafuteni nimesahau kifungu.