Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumamosi, Tarehe 12 Aprili 2014 - Uwasilishaji wa Taarifa za Kamati

Tbc+Star Media ni janga kubwa kwa Tz! Hawa ndio waliotulazimiasha kuingia Ktk Digital.

Kz zinazofanywa na Star Media ni majanga matupu!
 
Jamani watanzania inabidi tuamke kwanini wamekata wakati Tundu Lisu anahutubia??? Ni kwanini tunazibwa maskio kuskia upande mwingine???? Kwanini tunatakiwa tuskilize upande mmoja tuu??? Nimeskitika sana. Kama ni halali tuachwe tuskilizebpande zote jamani
Kuna ukweli umejificha kwenye muungano ccm hawataki ujulikane,Lissu kaweka kila kitu wazi,hakuna hati ya muungano ndani ya Tanzania wala Umoja wa mataifa.
 
TBC,STAR Tv walikata Matangazo kwa wakati moja wakati Mh.Tundu Lisu akiweka mambo hadharani kuhusu hilo ili wana wa nchi wasierevuke.Nadhani TISS na TCRA wamepewa maelekezo maalum inapofikia hali kama ile siri kuvuja.
 
watanzania kupitia hilo tunapaswa kuikataa ccm,maana wametuonyesha kuwa tunadanganya kwa kila kinachofanyika upuuzi gani huo shame on you ccm na tbc
 
Yaamni nilikuwa nasikiliza TBC radio, jamaa anashukuka uhalali wa muungano, so wameketa mawasiliano!! Nadhani wanaogopa watu watajuwa ukweli kuhusu ujanja wa uungano.... Jmani radio zingine kwanini hawapo huko? Hiii ni noma.
 
Inauma sana, kodi tunazokatwa kwa ajili ya kuendesha chombo hicho halafu wanatunyima habari kwa maslahi ya CCM. MLAANIWE WOTE!
 
Habari njema sitta ameahirisha bunge sbb ya tbc kukata matangazo na lissu ataendelea j3 sourse mjumbe alioko bungeni
 
Tbc aibu tupu,ingawa wamekata hotuba ya Lissu lakini ukweli utajulikana tu!wamezoea vya kunyonga,vya kuchinja hawaviwezi.tunaomba mwenye hotuba yote ya Lisu atuwekee hapa!

hawa jamaa wajinga sana, ila lissu ashaanza kuweka sawa, hakuna hati ya muungano Tanzania, hakuna hati ya Muungano huku duniani maana hata mwanasheria wa umoja wa mataifa duniani mwaka 2009 anasema umoja wa mataifa hawajawai kuiona hati halali....Lissu ni shujaa kweli kweli.
 
Back
Top Bottom