Leo jumatatu katika kipindi cha Dakika 45 cha ITV kinachoongozwa na Farhia Middle aliyekuwa Waziri wa Kilimo na pia kada maarufu wa CCM amekiri kuhujumu katiba ya Warioba ambayo ilipendekeza serikali tatu.
Itakumbukwa Kimiti alikuwa mjumbe wa Tume ya Warioba iliyozunguka nchi nzima kutafuta maoni ya wananchi juu ya katiba mpya. Aidha alikuwa Mwenyekiti wa kamati namba 16 ndani ya Bunge la katiba.
Katika kipindi cha leo amesema aliona serikali tatu zitaleta mgawanyiko na hatimaye kuvunjika kwa Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar na hivyo kwenda kinyume na makubaliano ya Tume ya Warioba. Kwa hiyo alishiriki kuwashawishi wajumbe wa kamati yake namba 16 kupinga mapendekezo ya Tume ya Warioba.
Pole sana Mzalendo Warioba kwa kusalitiwa wa wajumbe wanafiki wa Tume yako!
Itakumbukwa Kimiti alikuwa mjumbe wa Tume ya Warioba iliyozunguka nchi nzima kutafuta maoni ya wananchi juu ya katiba mpya. Aidha alikuwa Mwenyekiti wa kamati namba 16 ndani ya Bunge la katiba.
Katika kipindi cha leo amesema aliona serikali tatu zitaleta mgawanyiko na hatimaye kuvunjika kwa Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar na hivyo kwenda kinyume na makubaliano ya Tume ya Warioba. Kwa hiyo alishiriki kuwashawishi wajumbe wa kamati yake namba 16 kupinga mapendekezo ya Tume ya Warioba.
Pole sana Mzalendo Warioba kwa kusalitiwa wa wajumbe wanafiki wa Tume yako!