Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,539
Kuna usemi kwamba afya ni uhai pia mtaji wa maskini ni nguv zake ikimaainisha afya njema huchangia mtu kuwa na maendeleo maana ukiwa na afya mgogoro basi utapoteza muda na pesa nyingi kujiuguza
Basi leo nawaletea magonjwa 10 hatari zaidi duniani kwa kupeleka watu wengi makaburini
NB:
Mimi siyo daktari wala mtu wa kada ya afya maana niliishia darasa la 5 hivyo nimejitahidi tu kutumia lugha ya kitabibu ingawa naweza kuwa nimekosea hivyo ni jambo la kawaida tu
...................... .................................................
10/Malaria
Huu ugonjwa huenezwa na mbu jike aitwaye Anopheles
Unashambulia zaidi bara la Afrika kutokana na hali ya kijiografia ambayo ni ya kitropiki
Mnakumbuka serikali ilianzisha kampeni ya kugawa vyandarua vya dawa....watu wailiishia kuvulia kambale tu maana hakikueienea kitandani
Kama unaishi Dar na hujawahi kuugua malaria basi labda una seli mundu
Husababisha vifo takribani Milioni 1 kila mwaka
Basi leo nawaletea magonjwa 10 hatari zaidi duniani kwa kupeleka watu wengi makaburini
NB:
Mimi siyo daktari wala mtu wa kada ya afya maana niliishia darasa la 5 hivyo nimejitahidi tu kutumia lugha ya kitabibu ingawa naweza kuwa nimekosea hivyo ni jambo la kawaida tu
...................... .................................................
10/Malaria
Huu ugonjwa huenezwa na mbu jike aitwaye Anopheles
Unashambulia zaidi bara la Afrika kutokana na hali ya kijiografia ambayo ni ya kitropiki
Mnakumbuka serikali ilianzisha kampeni ya kugawa vyandarua vya dawa....watu wailiishia kuvulia kambale tu maana hakikueienea kitandani
Kama unaishi Dar na hujawahi kuugua malaria basi labda una seli mundu
Husababisha vifo takribani Milioni 1 kila mwaka