min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 9,245
- 20,231
Una uhakika hizo habari za yesu kurudi ulizielewa vizuri kweli😁Me so ndomana nimesema mahusiano yaendeleeeeee
Una uhakika hizo habari za yesu kurudi ulizielewa vizuri kweli😁Me so ndomana nimesema mahusiano yaendeleeeeee
Madame..... naw days, woman's heart is a deep ocean of secret. That's why this new generations boys are keep runing away.....😜Sifa kuu ya mwanaume ni kuhudumia.
Wanaume ebu rudini kwenye majukumu yenu...acheni kuwaumiza wanawake muone ni kwa namna gani tunawapenda, kuwajali na kuwahurumia.
Kwel kabisa mkuu , ila siku za karibuni naona unatema kizungu tuMadame..... naw days, woman's heart is a deep ocean of secret. That's why this new generations boys are keep runing away.....
Hamna lolote....wanawake wa sasa wametengenezwa na aina ya wanaume walioko....mioyo yao imejeruhiwa vya kutosha ndo mana wamegeuka kuwa zaidi ya shetaniMadame..... naw days, woman's heart is a deep ocean of secret. That's why this new generations boys are keep runing away.....😜
Unavyosema wanawake wa sasa wamejeruhiwa, wamejeruhiwa vip ?Hamna lolote....wanawake wa sasa wametengenezwa na aina ya wanaume walioko....mioyo yao imejeruhiwa vya kutosha ndo mana wamegeuka kuwa zaidi ya shetani
No sweetheart...... naw days a beautiful woman is one with a beautiful heart. She may be covered with mud or sores but only her foot fit the glass slipper....😊Hamna lolote....wanawake wa sasa wametengenezwa na aina ya wanaume walioko....mioyo yao imejeruhiwa vya kutosha ndo mana wamegeuka kuwa zaidi ya shetani
Yeah chief, as you know days aren't same cake...😊Kwel kabisa mkuu , ila siku za karibuni naona unatema kizungu tu
Kwa mfano,
kwenye daladala muwe na huruma kwa wanawake wezenu mathalani waja wazito, ama wenye watoto.
Unakuta muMama kabeba kitoto labda kutokana na hali ya hewa mule ndani ya daladala, unakuta katoto kanalia sana hadi huruma, na wewe umesimama huna msaada, lakini muMama kwenye siti anang'ata meno asitajwe au kuombwa aachie siti, anajidai kasinzia haskii kilio cha mtoto eti au yuko na concentration muhimu sana Instagram
Umegonga penyewe mzee, sio tu kuchemshiwa kiporo cha mchana maana hata icho kiporo cha mchana unaweza usikikute ni unaambiwa ujipikie kabisa😁, Hatari sana.Ila siku hizi unatoka kwenye mizunguko unafika nyumbani mara mwanamke anataka ww ndo uanze kumbembeleza, chakula unakuta vilivyobaki mchana unachemshiwa tu kisha unatupiwa mezani, na maudhi mengi tu yanafuatia.