Tatzo n kuupdate kila wakati....Whatsap GB ina options nyingi hadi ww mwenyewe utafurahi
Level uliyofika kufikiria ndio nipo mimi. Ukishakuwa mwanaume kuwa mwanaume, GB Whatsapp iko kimbea mbea sana. Hata mtu akiiona kwa simu yako anapoteza uaminifu kidogo. Yote ya nini hayo.Mimi natumia hii official version ambayo ipo playstore..
Hii GB whatsapp hapana iisèeh maana unakita mtu anaficha last seen kama vile kuna kitu special kuhusu last seen au mtu anaficha blue tick kama vile kuna tuzo zinagawiwa wakati wakina chenge wako busy kuficha pesa zetu walizoiba
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo hii inasumbua Back-Up kwenye Drive, haina tuseme tu!Whatsap GB ina options nyingi hadi ww mwenyewe utafurahi
Kwa sisi tunaofanya biashara hiyo GB haitufai hata kidogo, hiyo ni kwa wachepuka na wale matapeli tapeli.Mimi natumia hii official version ambayo ipo playstore..
Hii GB whatsapp hapana iisèeh maana unakuta mtu anaficha last seen kama vile kuna kitu special kuhusu last seen au mtu anaficha blue tick kama vile kuna tuzo zinagawiwa wakati wakina chenge wako busy kuficha pesa zetu walizoiba
Sent using Jamii Forums mobile app
OkKwa sisi tunaofanya biashara hiyo GB haitufai hata kidogo, hiyo ni kwa wachepuka na wale matapeli tapeli.
GB WhatsApp imekaa kikekike kama Instagram na snap chat, wanaume tunatumia official, iyo GB WhatsApp mapambo kibao personalization tumewaachia wadada wafanye make up hadi conversationMimi natumia hii official version ambayo ipo playstore..
Hii GB whatsapp hapana iisèeh maana unakuta mtu anaficha last seen kama vile kuna kitu special kuhusu last seen au mtu anaficha blue tick kama vile kuna tuzo zinagawiwa wakati wakina chenge wako busy kuficha pesa zetu walizoiba
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa mkuu.GB WhatsApp imekaa kikekike kama Instagram na snap chat, wanaume tunatumia official, iyo GB WhatsApp mapambo kibao personalization tumewaachia wadada wafanye make up hadi conversation