what is the role of diaspora in tanzania development

Yo Yo

JF-Expert Member
May 31, 2008
11,217
1,706
Mnakaa online kupiga makelele lakini hatuoni mnachochangia kwenye maendeleo ya taifa.


Maendeleo sio kuweka mapicha facebook na michuzo blog mko kwenye ma bash na matumbo makubwa.Maendeleo yako wapi taifani
 
Kuwa na huruma dada,wengi wa hao watu wanaishi maisha magumu sana uko,kumbuka hata wao walikimbia ukata tunaokabiliana nao hapa,ni bora tukaanza kufikiria kuwa tunawatumia japo unga na dagaa.
 
Mbona mapovu yanawatoka? mnataka mchango gani toka kwao? ...waulizeni ndg zao wanavyonufaika sio kuja hapa na kupunguza stress zako kwa mabandiko yasiyo na maana.....kufanya kazi kwa bidii utafanikiwa bila hata kuhitaji msaada wa walio nje
 
Mbona mapovu yanawatoka? mnataka mchango gani toka kwao? ...waulizeni ndg zao wanavyonufaika sio kuja hapa na kupunguza stress zako kwa mabandiko yasiyo na maana.....kufanya kazi kwa bidii utafanikiwa bila hata kuhitaji msaada wa walio nje


Ndugu zao pia wanalalama tu wanatumiwa sneakers na miwani,jeans na fulana!!! Wapo waliojitahidi kweli ila wengi michango yao kwa familia na country generally are not significant yet
 
Africa is too general mkuu,soutth wanatengeneza magari sisi tuna kiwanda hata cha ball joint????

Tanzania ndo issue ya thread hii,go back to your drawing table!!!!

katika hao waafrika wapo watanzania wengi tu....labda hujaelewa hio article....u should go back and read may be u'll understand why i posted it
 
Kuwa na huruma dada,wengi wa hao watu wanaishi maisha magumu sana uko,kumbuka hata wao walikimbia ukata tunaokabiliana nao hapa,ni bora tukaanza kufikiria kuwa tunawatumia japo unga na dagaa.

Na wanavyojua kizungu kuliko sie ngoja washuke hapa utasikia lugha zenye ncha kali kwa muungurumo wa radi mgoja nitafute oxford kabisaaaaaa!!!!!!!!
 
katika hao waafrika wapo watanzania wengi tu....labda hujaelewa hio article....u should go back and read may be u'll understand why i posted it

Para ya ngapi chini ya subheading ipi mkuu kuna Tanzanian specific prong????!!!
 
katika hao waafrika wapo watanzania wengi tu....labda hujaelewa hio article....u should go back and read may be u'll understand why i posted it

only Saudi,Ghana and Rwanda featured out though from the very back door
 
Para ya ngapi chini ya subheading ipi mkuu kuna Tanzanian specific prong????!!!

so do you really think when they say africans they didnt include tanzanians??do u think tanzanians dont send money home??that article is about how africans send more money home than AID fro donors,and when they say africans they include tanzanians.....remittance is more effective than aids from donors.
 
Mnakaa online kupiga makelele lakini hatuoni mnachochangia kwenye maendeleo ya taifa.


Maendeleo sio kuweka mapicha facebook na michuzo blog mko kwenye ma bash na matumbo makubwa.Maendeleo yako wapi taifani

calm down babe!!
jina ulotumia tuu inaonesha jinsi unavopenda kwenda ughaibuni ila ndo ivo visa wamebana.
Taifa ni nani hasa?
Na kuweka picha fb ama blogs ni dhambi?je walio Tanzania hawaweki picha?je wanamchango gani kwa taifa na je hao diaspora wanatakiwa wachangiaje?
 
so do you really think when they say africans they didnt include tanzanians??do u think tanzanians dont send money home??that article is about how africans send more money home than AID fro donors,and when they say africans they include tanzanians.....remittance is more effective than aids from donors.


Blanket language haijawahi kuwa na kamwe haiwezi kuwa njia sahihi ya kelewa tatizo,kulipima,kulitafutia suluhisho wala kupambanua hali ya waathirika au wafaidikaji wa mada husika.


EVERY PHENOMENON SHOULD ACQUIRE A GENERAL AND SPECIFIC LEVELS OF OPERATIONS BEFORE BEING SUBJECTED TO THE QUALITATIVE AND QUANTITAVE ANALYSIS...need I say more????!!!!
 
Mbona mapovu yanawatoka? mnataka mchango gani toka kwao? ...waulizeni ndg zao wanavyonufaika sio kuja hapa na kupunguza stress zako kwa mabandiko yasiyo na maana.....kufanya kazi kwa bidii utafanikiwa bila hata kuhitaji msaada wa walio nje

exactly
 
calm down babe!!
jina ulotumia tuu inaonesha jinsi unavopenda kwenda ughaibuni ila ndo ivo visa wamebana.
Taifa ni nani hasa?
Na kuweka picha fb ama blogs ni dhambi?je walio Tanzania hawaweki picha?je wanamchango gani kwa taifa na je hao diaspora wanatakiwa wachangiaje?
Jibu hoja
 
Ni mawazo tu wandugu tusichukiane bureeeeee mchango wa Taifa ni immeasurable entity as hata sie tunakatwa kodi na ukiulizwa hela yako inaenda wapi ni ngumu ku trace madawati nehi,dawa quishney,barabara wahisani,sukari na cement imported.... viwanda vya ndani?????????????

Cha maana tuipende nchi yetu na tupendane wenyewe Taifa imekuwa concept ya kisiasa zaid kuwakilisha interest za chama Tawala ( in a given epoch and milieu) zaidi kuliko Wananchi wenyewe!!!!!!
 
Back
Top Bottom