Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 4,800
- 11,244
Wewe Mtumishi wa serikali au sekta binafsi inakuwaje unapambana au kushindana na jobless... Mimi jobless siijui na sina matumaini na kesho yangu, kwa sababu nikilala nikiamka mipango yangu kichwani na nguvu zangu ndio pesa yangu na mafanikio yangu, Mimi ni Mnyonge tu ..wewe ikifika mwisho mwezi unauhakika, wakati mimi mwisho napiga miayo tu....