Bia Ya Moto
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,225
- 2,807
Hili ni wazo zuri sana la kuanzisha kundi hilo,litasaidia sana kwa kweli..0-
Tupo humu,kuna ndugu humu aliuguliwa na baba yake 2016 mwenye group hili,alihangaika sana kutafuta wa kumchangia,alipoleta uzi humu wakajitokeza watu kadhaa.mimi nakuja kuona uzi anatoa shukrani,ingawa baba yake aliishakuwa amefariki tayari.
Mpaka akapendekeza group hilo tuunde group la watsapp,maana yakikukuta kuna muda hata hospital nako wanabaki kuangaliana,maana tunampa yeyote ila kupokea ni kwa mwenzetu tu ambaye kumpata ni kipengere.
1992 kwenye kambi nzima ya jeshi,alipatikana mmoja tu aliyesaidia niongezewe damu,ningeeshakataga moto kitaambo.
Kuhusu ugonjwa,nakumbuka typhoid ilikaba nyumba nzima,mimi walaa.mpaka leo nikikwambia ninaumwa maralia si rahisi kunielewa maana huwa siregei kabisaaa.
Tulifanyie kazi..