Jembemtaji
JF-Expert Member
- Aug 21, 2014
- 1,193
- 926
Leo nimesikia watu wenye damu group O hawasumbuliwi sana na Corona. Hivi damu group hili ina nini special, mambo mengi nasikia wenye group wanapeta hata magonjwa ya kawaida.
O negative ni habari nyingine hawasumbuliwi hata na stroke wala blood pressure.....Leo nimesikia watu wenye damu group o hawasumbuliwi sana na Corona.Ivi damu group hili ina nn special, mambo mengi nasikia wenye group wanapeta ata magonjwa ya kawaida.
mh kwel mkuu?
O negative ni habari nyingine hawasumbuliwi hata na stroke wala blood pressure.....
Tofauti ipo 0- unaweza kumchangia damu mtu yyte yuleKwa iyo kuna tofauti kubwa kati ya + na -
Na wenye O-, kuna baadhi yao hata ukimwi hawawezi pata kamwe!!ila ni kundi la wachache sana!!Leo nimesikia watu wenye damu group o hawasumbuliwi sana na Corona.Ivi damu group hili ina nn special, mambo mengi nasikia wenye group wanapeta ata magonjwa ya kawaida.
Na wenye O-, kuna baadhi yao hata ukimwi hawawezi pata kamwe!!ila ni kundi la wachache sana!!
Blood group O tumebarikiwa sana
Mleta uzi, kuna any study imefanyika? Kama ipo naomba utume hapa tupitie.
O- au 0+?Group langu hilo
Ova
kipimo cha kujua group la damu kinagharimu kiasi gani maana mpaka sasa sijui group lang la damu.Kweli kabisa!!!
Leo nimesikia watu wenye damu group o hawasumbuliwi sana na Corona.Ivi damu group hili ina nn special, mambo mengi nasikia wenye group wanapeta ata magonjwa ya kawaida.
kipimo cha kujua group la damu kinagharimu kiasi gani maana mpaka sasa sijui group lang la damu.
tunahitaji ushahidi tu kujiridhisha. kwa maoni ya jumla ni kwamba grup hili halisumbuliwi na vimagonjwa vidogovidogo. lakini kumbuka kuna vigezo vingi vinavyopelekea UVIKO kukumaliza. suala si kuwa na damu O pekee, vipi afya yako kabla ya kukutana na UVIKO? Unaweza kuta ushajichokea na kisukari ama ngoma yako kitaambo, kisha ujigambe una grup O mbele ya UVIKO....UNAJIDANGANYA