Thabit Karim
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 375
- 682
Unajisikia unachozungumza ivj huamini kam kwa sasa sokoni gunia ni 30k au huamini kama gunia la mpunga linaweza kufika 100k au unaona faida ya mil 20 kubwa sana kwako?
Ngoja nisave hii post tukutane mwakani January panapo majaliwa