Dong Jin
JF-Expert Member
- Jun 4, 2018
- 756
- 1,445
WCB ndo label pekee kubwa hapa Bongo, East Afrika na kati, na Afrika nzima tokea huku uswahilini kwetu...
Nyingine za uswahilini ni kama vile;
1. Kings Music ya bwana Kiba,
2. Konde Music ya Harmonize,
3. African Princess ya Nandy,
4. Wanene waliko kina aslay,
5. PKP ya Dimpoz,
6. Mdee Music ya Vanesa,
7. Bana Music ya Baraka da prince,
8. nk. nk, nk....
MASWALI YA MSINGI
~Kwanini hizi label sio kubwa au kuikaribia WCB licha ya kutokuwa na bifu na Media?
~Je, kuna label yeyote kati ya hizo ambayo wasanii wake wanafikia level ya wale wa WCB?
~Kwanini WCB ipatane na Clouds?
~Kwani hao Clouds hawazioni hizo label nyingine wazikuze ili ziwe sawa na WCB?
~Nakuta watu wanazungumzia fanbase ya Mond ndo inaibeba label, ckatai lakin je hao wengine wameshindwaje kutengeneza fanbase kama hiyo?
~Kuna watu wanadai kakuzwa na Clouds na Ruge (R.I.P), kwan ni Mond pekee au WCB ambayo ilikuwa inapigwa huko mawinguni?
Kama ni hivo basi Clouds wanaihitaji sana WCB kuliko WCB inavowahitaji wao
Blood fan wa WCB
Nyingine za uswahilini ni kama vile;
1. Kings Music ya bwana Kiba,
2. Konde Music ya Harmonize,
3. African Princess ya Nandy,
4. Wanene waliko kina aslay,
5. PKP ya Dimpoz,
6. Mdee Music ya Vanesa,
7. Bana Music ya Baraka da prince,
8. nk. nk, nk....
MASWALI YA MSINGI
~Kwanini hizi label sio kubwa au kuikaribia WCB licha ya kutokuwa na bifu na Media?
~Je, kuna label yeyote kati ya hizo ambayo wasanii wake wanafikia level ya wale wa WCB?
~Kwanini WCB ipatane na Clouds?
~Kwani hao Clouds hawazioni hizo label nyingine wazikuze ili ziwe sawa na WCB?
~Nakuta watu wanazungumzia fanbase ya Mond ndo inaibeba label, ckatai lakin je hao wengine wameshindwaje kutengeneza fanbase kama hiyo?
~Kuna watu wanadai kakuzwa na Clouds na Ruge (R.I.P), kwan ni Mond pekee au WCB ambayo ilikuwa inapigwa huko mawinguni?
Kama ni hivo basi Clouds wanaihitaji sana WCB kuliko WCB inavowahitaji wao
Blood fan wa WCB