Waziri wa Usalama Israel anusurika kwenye ajali mbaya akimbizwa hospital

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Mar 8, 2020
2,240
4,765
Wadau hamjamboni nyote

Waziri wa Usalama mwenye msimami mkali wa Israel Itamar Ben Gvir anusurika kwenye ajali mbaya ya gari na amekimbizwa hospital anakopatiwa matibabu

Polisi wanaendesha uchunguzi mkali kubaini chanzo cha ajali hiyo mbaya iliyotokea leo ijumaa

Mungu ibariki Israel

National Security Minister Itamar Ben Gvir’s car flipped as he was involved in a car accident while leaving the scene of a terror stabbing in the central city of Ramle, police say. Witnesses said he ran a red light.

Police say two vehicles were involved in the collision and that three people were taken to hospital after being lightly injured.

Ben Gvir’s office says the minister is in good condition and conscious, but is being taken to the nearby Shamir Medical Center for further treatment.

Pictures from the scene show his official vehicle flipped over, while another car has a smashed in front.

Police say they are investigating the cause of the crash.

Channel 12 reporter Amit Segal quotes a witness as saying that Ben Gvir’s vehicle ran a red light and that there have been numerous reports in recent months that his official vehicle has committed a number of traffic violations.

In August last year, Ben Gvir was involved in another accident when his vehicle ran a red light while on the way to an interview. Hebrew media have reported that he routinely instructs his driver to flout traffic rules.
 
Wanaukumbi.

BREAKING: 🇮🇱Waziri wa Usalama wa Taifa wa Israel Itamar Ben Gvir alijeruhiwa wakati gari lake la serikali lilipopata ajali na kupinduka. Alipelekwa hospitali
Mungu kamuonyesha kidogo kutokana na kauli zake za kuuwa watoto.

View: https://x.com/megatron_ron/status/1783909842295365635?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Waisalamu ni watu wa hovyo kweli.

Yaani ajali za kawaida mnaanza kusema Mungu ndiye kamuonyesha kidogo? Kwa hiyo ajali zote zinazotokea ni Mungu anaonyesha? Pathetic!.

Sasa si angemuua tu? Au unadhani baada ya ajali hiyo atarudi nyuma? Pumbavu kabisa.
 
Waisalamu ni watu wa hovyo kweli.

Yaani ajali za kawaida mnaanza kusema Mungu ndiye kamuonyesha kidogo? Kwa hiyo ajali zote zinazotokea ni Mungi anaonyesha? Pathetic!.

Sasa si angemuua tu? Au unadhani baada ya ajali hiyo atarudi nyuma? Pumbavu kabisa.
Angalia hili punguani la kilokole jinga kabisa sasa mimi ndiyo nawasema Waislam wote duniani mpaka uanze kuwashambulia? Hivi kwa nini nyie Waisrael weusi uwa mapunguani sana?
 
Qmamae zenu hamchokagi kugombana kisa dini. Dini zote zimeletwa, wote mmepewa, acheni ufala...
Dini zote ni upigaji na kupotezeana mda...

Njooni mtukane.
 
Sasa Kwel ajali tu ambayo inaweza tokea mda wowote washaihusisha na ugomvi wa Allah na netanyahu
ndio maana nakuambia Dini ya uislamu haina shida ila kuna matahira ndio hufanya uislamu uonekane kituko😂😂.
Yaani kuna mipumbavu inakaa inatamani isikie palestine au iran kafanya kitu ili mradi moyo wake ufurahi. Au wengine anataman kusikia israel au marekani kafanya kitu ili mradi tu aje kuandika
 
Waisalamu ni watu wa hovyo kweli.

Yaani ajali za kawaida mnaanza kusema Mungu ndiye kamuonyesha kidogo? Kwa hiyo ajali zote zinazotokea ni Mungu anaonyesha? Pathetic!.

Sasa si angemuua tu? Au unadhani baada ya ajali hiyo atarudi nyuma? Pumbavu kabisa.
Hawa watu hawapendi shule na wana akili zimeinama🤣
 
Waisalamu ni watu wa hovyo kweli.

Yaani ajali za kawaida mnaanza kusema Mungu ndiye kamuonyesha kidogo? Kwa hiyo ajali zote zinazotokea ni Mungu anaonyesha? Pathetic!.

Sasa si angemuua tu? Au unadhani baada ya ajali hiyo atarudi nyuma? Pumbavu kabisa.
Kwani unafikiri Waislam wanamuabudu yule Mungu wetu wa kweli!? Hapana, wao inavyoonyesha Quran wanamuabudu Shetani ambaye akajipa jina Allah. Yeye ndiye alikuwa wa kwanza kumdangamya Iblisi ( Quran 15:39) na ndiye alimtokea Mohammed kumpatia Quran 22:53 ; ndiyo ambaye hutuma haya mashetani yatusumbue Quran 19:83
Through and through Allah ni Shetani ndiyo maana Hawa Waislam hawachangani na jamii yeyote hapa Duniani na siku zote wanawazia wenzao mambo mabaya tu
 
Back
Top Bottom