Waziri Stergomena Tax ashiriki Ibada ya Pasaka Kigango cha Shishani Wilayani Magu

DodomaTZ

Member
May 20, 2022
72
108
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Stergomena Lawrence Tax, Machi 31, 2024 ameungana pamoja na Waumini wa Dini ya Kikristu katika ibada ya kusherekea Sikukuu ya Pasaka katika Kigango cha Shishani, kilichopo Parokia ya Mtakatifu Kizito Kabila, Magu, chini ya Jimbo Kuu la Mwanza.

Akitoa salamu za Pasaka Parokiani hapo, WaziriTax, ameshukuru kwa kupata wasaa wa kujumuika na Waamini katika Sikukuu hiyo muhimu kwa Wakristu duniani kote kukumbuka Ufufuo wa Yesu Kristu.

Waziri Stergomena amechukua fursa hiyo kumshukuru Mungu kwa baraka anazoendelea kulipatia Taifa letu ikiwa ni pamoja Na mshikamano, amani, na maendelea katika sekta mbalimbali za m kijamii na kiuchumi.

Aidha, ametoa rai kwa waumini wa Parokia ya Mtakatifu Kizito kuendelea kuiombea Tanzania pamoja na Serikali inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. Samia Suluhu Hassan, pamoja na viongozi wanaomsaidia katika nafasi mbalimbali. Waziri Tax ameshiriki ameahidi kuendelea kuchangia kwenye ujenzi wa Kanisa unaondelea kila apatapo nafasi kuwa yeye ni sehemu ya Kata ya Shishani.
WhatsApp Image 2024-04-01 at 19.44.07_b120c9f5.jpg

WhatsApp Image 2024-04-01 at 19.44.08_7b4c8113.jpg

Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Kizito Kabila, Padri Andrea Buhembo, amemshukuru Waziri Stergomena Tax kwa moyo wa upendo na ukarimu aliounyesha wa kujiwekea utaratibu wa kukumbuka kwao, katika hali zote amekuwa akishiriki kwa namna moja ama nyingine katika shughuli za kijamii na kiimani.
WhatsApp Image 2024-04-01 at 21.57.45_6e555068.jpg

WhatsApp Image 2024-04-01 at 19.44.02_8d66e7b0.jpg
 
20240402_165714.jpg

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax, tarehe 31 Machi, 2024 ameungana pamoja na waumini wa Dini ya Kikristu katika ibada ya kusherekea Sikukuu ya Pasaka katika Kigango cha Shishani kilichopo Parokia ya Mtakatifu Kizito Kabila, Magu, chini ya Jimbo Kuu la Mwanza.

Akitoa salamu za Pasaka Parokiani hapo Waziri Dkt. Tax ameshukuru kupata wasaa wa kujumuika na Waumini katika Sikukuu hiyo muhimu kwa Wakristu duniani kote kukumbuka ufufuo wa Yesu Kristu.

20240402_165717.jpg

Waziri Stergomena amechukua fursa hiyo kumshukuru Mungu kwa baraka anazoendelea kulipatia taifa letu ikiwa ni pamoja na mshikamano, amani na maendeleo katika sekta mbalimbali za kijamii na kiuchumi.

Aidha, ametoa rai kwa waumini wa Parokia ya Mtakatifu Kizito kuendelea kuiombea Tanzania pamoja na Serikali inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, pamoja na viongozi wanaomsaidia katika nafasi mbalimbali. Waziri Tax ameshiriki ameahidi kuendelea kuchangia kwenye ujenzi wa kanisa unaoendelea kila apatapo nafasi kuwa yeye ni sehemu ya Kata ya Shishani.

20240402_165707.jpg

Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Kizito Kabila, Padri Andrea Buhembo, amemshukuru Waziri Stergomena Tax kwa moyo wa upendo na ukarimu aliounyesha wa kujiwekea utaratibu wa kukumbuka kwao katika hali zote amekuwa akishiriki kwa namna moja ama nyingine katika shughuli za kijamii na kiimani.

 
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax, tarehe 31 Machi, 2024 ameungana pamoja na waumini wa Dini ya Kikristu katika ibada ya kusherekea Sikukuu ya Pasaka katika Kigango cha Shishani kilichopo Parokia ya Mtakatifu Kizito Kabila, Magu, chini ya Jimbo Kuu la Mwanza.

Akitoa salamu za Pasaka Parokiani hapo Waziri Dkt. Tax ameshukuru kupata wasaa wa kujumuika na Waumini katika Sikukuu hiyo muhimu kwa Wakristu duniani kote kukumbuka ufufuo wa Yesu Kristu.

Waziri Stergomena amechukua fursa hiyo kumshukuru Mungu kwa baraka anazoendelea kulipatia taifa letu ikiwa ni pamoja na mshikamano, amani na maendeleo katika sekta mbalimbali za kijamii na kiuchumi. Aidha, ametoa rai kwa waumini wa Parokia ya Mtakatifu Kizito kuendelea kuiombea Tanzania pamoja na Serikali inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, pamoja na viongozi wanaomsaidia katika nafasi mbalimbali. Waziri Tax ameshiriki ameahidi kuendelea kuchangia kwenye ujenzi wa kanisa unaoendelea kila apatapo nafasi kuwa yeye ni sehemu ya Kata ya Shishani.

Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Kizito Kabila, Padri Andrea Buhembo, amemshukuru Waziri Stergomena Tax kwa moyo wa upendo na ukarimu aliounyesha wa kujiwekea utaratibu wa kukumbuka kwao katika hali zote amekuwa akishiriki kwa namna moja ama nyingine katika shughuli za kijamii na kiimani.
Kwanini huyu mama aliachana na jina la Bamwenda?
 
Ana
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax, tarehe 31 Machi, 2024 ameungana pamoja na waumini wa Dini ya Kikristu katika ibada ya kusherekea Sikukuu ya Pasaka katika Kigango cha Shishani kilichopo Parokia ya Mtakatifu Kizito Kabila, Magu, chini ya Jimbo Kuu la Mwanza.

Akitoa salamu za Pasaka Parokiani hapo Waziri Dkt. Tax ameshukuru kupata wasaa wa kujumuika na Waumini katika Sikukuu hiyo muhimu kwa Wakristu duniani kote kukumbuka ufufuo wa Yesu Kristu.

Waziri Stergomena amechukua fursa hiyo kumshukuru Mungu kwa baraka anazoendelea kulipatia taifa letu ikiwa ni pamoja na mshikamano, amani na maendeleo katika sekta mbalimbali za kijamii na kiuchumi. Aidha, ametoa rai kwa waumini wa Parokia ya Mtakatifu Kizito kuendelea kuiombea Tanzania pamoja na Serikali inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, pamoja na viongozi wanaomsaidia katika nafasi mbalimbali. Waziri Tax ameshiriki ameahidi kuendelea kuchangia kwenye ujenzi wa kanisa unaoendelea kila apatapo nafasi kuwa yeye ni sehemu ya Kata ya Shishani.

Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Kizito Kabila, Padri Andrea Buhembo, amemshukuru Waziri Stergomena Tax kwa moyo wa upendo na ukarimu aliounyesha wa kujiwekea utaratibu wa kukumbuka kwao katika hali zote amekuwa akishiriki kwa namna moja ama nyingine katika shughuli za kijamii na kiimani.
Mshukuru Samia kwa kutuletea Pasaka ya mwaka huu😂
 
Back
Top Bottom