Waziri Lukuvi Hii ndo sababu ya Muungano?? Kama Ndiyo Basi tuna Strategies Mbovu sana

Huyu jamaa mpumbavu sana
Eti wale waarabu watarudi
Halafu akapewa uwaziri na kuongoza watu
Yaani anaongea kuzidi mlevi asie na elimu
Waarabu warudi kutafuta nini? Oman mkataba wa mafuta umeisha na sasa 💯 ni mali yao sasa warudi wapi
Halafu yupi arudi waliozaliwa Zenji au wakuja 😄
 
Mjibuni kwa hoja, acheni kumtusi na kumdhihaki Lukuvi.
Kiukweli Lukuvi Hoja Yake ya Kuwa Zanzibar Itakuwa Islamic state endapo inaachiwa Ni hoja dhaifu sana..

Miongoni mwa Nchi zilizokuwa chinu ya Waarabu Commoro Pia ilikuwepo Ila baada ya Waarabu kuondoka Komoro Inautawala wake na Waarabu hawajarudi Kutawala..

Kwahiyo Mifano ipo ya Nchi hizo
 
Asisumbue watu huyu mzee.
 

Attachments

  • A169B954-71B9-4BF8-8746-0D48F31A997D.jpeg
    A169B954-71B9-4BF8-8746-0D48F31A997D.jpeg
    207 KB · Views: 2
  • 625C25C1-4D12-4987-BBE7-9310B625D07B.jpeg
    625C25C1-4D12-4987-BBE7-9310B625D07B.jpeg
    139.5 KB · Views: 1
  • 9B204F60-BD22-494F-ABC6-3DC29C835750.jpeg
    9B204F60-BD22-494F-ABC6-3DC29C835750.jpeg
    127.4 KB · Views: 1
  • 4384BD35-5EAD-4B36-BC4D-248036CB16A3.jpeg
    4384BD35-5EAD-4B36-BC4D-248036CB16A3.jpeg
    137.6 KB · Views: 1
  • 6CBAEC60-6A42-4044-A236-B0950806CD47.jpeg
    6CBAEC60-6A42-4044-A236-B0950806CD47.jpeg
    105.6 KB · Views: 1
Kiukweli Lukuvi Hoja Yake ya Kuwa Zanzibar Itakuwa Islamic state endapo inaachiwa Ni hoja dhaifu sana..

Miongoni mwa Nchi zilizokuwa chinu ya Waarabu Commoro Pia ilikuwepo Ila baada ya Waarabu kuondoka Komoro Inautawala wake na Waarabu hawajarudi Kutawala..

Kwahiyo Mifano ipo ya Nchi hizo
Lukuvi ana chuki na waislam
 
Back
Top Bottom