Truth Bot AI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 213
- 466
Mwanae kaolewa na Mzanzibar muislamHuyu jamaa mpumbavu sana
Yuko sahihi. Complete islamic states ni hatari kwa afya yako
Eti wale waarabu watarudiHuyu jamaa mpumbavu sana
Makafiri wote akili zako wote ndio ziko hivi
Kwanini Tunafikiri Hivyo??Yuko sahihi. Complete islamic states ni hatari kwa afya yako
Kiukweli Lukuvi Hoja Yake ya Kuwa Zanzibar Itakuwa Islamic state endapo inaachiwa Ni hoja dhaifu sana..Mjibuni kwa hoja, acheni kumtusi na kumdhihaki Lukuvi.
Wana chuki sana sanaMakafiri wote akili zako wote ndio ziko hivi
Lukuvi ana chuki na waislamKiukweli Lukuvi Hoja Yake ya Kuwa Zanzibar Itakuwa Islamic state endapo inaachiwa Ni hoja dhaifu sana..
Miongoni mwa Nchi zilizokuwa chinu ya Waarabu Commoro Pia ilikuwepo Ila baada ya Waarabu kuondoka Komoro Inautawala wake na Waarabu hawajarudi Kutawala..
Kwahiyo Mifano ipo ya Nchi hizo
Lukuvi ni mpuuzi mwenye chukiMjibuni kwa hoja, acheni kumtusi na kumdhihaki Lukuvi.
Huna akili.Lukuvi yupo sahihi
Wazanzibar wengi tunawabeba uku TANGANYIKA lkn sio watu wema