Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 6,055
- 20,023
Angeendelea kumuelewesha binti yake na sio kumuonesha kuwa alishinikizwa hata kumtumia text..Sasa utajuje kama Lemutuz hakuomba kwa dhati,kuna watu wana mlaumu kaomba kirahisi rahisi,kwenye macho yao wanaweza kuona ni kiurahisi ila mbele za Mungu inaweza kuwa tofauti,same kwa wale wezi yule mmoja aliomba ila ilikuwa simple,yule mwengine hakusadiki ndio tofauti. Halafu maswala ya kiroho hayahitaji swaga,wala mbwembwe issues nikusadiki tu.
Sasa wanaosema kirahisi rahisi, wao walikuwa wanataka afanye nini ndio waone yupo sawa.
Kwangu mimi kwenye zile texts, yule binti alionesha maturity kuliko le mutuz na ilihitajika busara ndogo sana kusuluhisha hilo tatizo