Itaje au ile ya south mbona tupoYes ni ya max but jf inafanana sana social network moja ivi sjawai ona mmbongo hata mmoja
Mbna mzungu kaonesha sura tu udenda mwaaa, wabongo mnapenda ngozi nyeupe aisee.Labda unioneshe mfuko udenda umwagike vizuri
Mbna mzungu kaonesha sura tu udenda mwaaa, wabongo mnapenda ngozi nyeupe aisee.
Mimi pesa mzungu bure.
Kwakweli tumeubwa tofauti.Tumeubwa tofauti mkuu
Hhahaha dahNdio maana sahivi hamna BAN eeh. Wanarudi lini tuwe makini?
Haiko South Africa? No ile naona ni Europe, America, Asia kwa uchache sana na AustraliaItaje au ile ya south mbona tupo
Kumbe JF kuna pisi za uhakika?Baada ya kufanya tathmini ya Mipango ya mwaka 2024 na maandalizi yote, Watendaji wa JamiiForums walifanya ziara za kujifunza katika maeneo mbalimbali ya Utalii ikiwemo eneo la Hifadhi ya Ngorongoro
View attachment 2895985
View attachment 2895986
View attachment 2895987
View attachment 2895988
View attachment 2895989
View attachment 2895990
View attachment 2895991