Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,240
- 12,831
Wataalam wa tech naomba elimu yenu kuhusu maeneo hayo Apps na Websites.
Ukitaka kutengeneza apps unapaswa kupitia hatua zipi au kozi gani fupi?
Hivyo hivyo kwa website unapaswa kupitia hatua zipi au kozi gani?
Gharama za mafunzo zinaweza gharimu kiasi gani cha pesa na muda unaweza kuchukua kipindi gani?
Naomba pia na elimu yoyote kuhusu apps na websites.
Nakaribisha wadau wote.
**Naomba elimu ijikite zaidi kwenye practical sio theories zisizo na tija sana ninacho maanisha ni sawa na mtu anaye jifunza ufundi mtaani na mwengine chuo nafikiri mnajua utofauti wao upo wapi zaidi.
Ukitaka kutengeneza apps unapaswa kupitia hatua zipi au kozi gani fupi?
Hivyo hivyo kwa website unapaswa kupitia hatua zipi au kozi gani?
Gharama za mafunzo zinaweza gharimu kiasi gani cha pesa na muda unaweza kuchukua kipindi gani?
Naomba pia na elimu yoyote kuhusu apps na websites.
Nakaribisha wadau wote.
**Naomba elimu ijikite zaidi kwenye practical sio theories zisizo na tija sana ninacho maanisha ni sawa na mtu anaye jifunza ufundi mtaani na mwengine chuo nafikiri mnajua utofauti wao upo wapi zaidi.