DidYouKnow
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 1,103
- 1,704
Hii mitindo ya wasanii kujifanya wana pesa sana, halafu wakiugua wanapitisha mabakuli ya michango, inakera sana.
Mtoa mada chukua ushauri huu hapa wa johnthebaptistSanaa ni Maigizo
Ng'osha labda ng'ombepeh Moja hahahaaaaKwani hizo Hennessy mnazokunywa Daslam moja ni kiasi gani?
Inaweza ikafika bei ya ng'ompeh mmoja?