Wasanii hujifanya wana pesa, wakiugua wanapitisha mabakuli ya michango

😂😂😂😂 noma sana, kwani huyo ni msanii.
Huyo si ni tajiri, ila sielewagi hizo sifa ni za namna gani aisee.
 
Hao ni kuonea huruma kabisa....Tatizo hao kazi za dili akitoka ndio anapata akiiumwa mwaka basi habari yake kwisha.
 
Back
Top Bottom