Wanawake wembamba wanapenda sana tendo kuliko wanene na wa kati

Ukizeeka tutawaonyesha wajukuu zako utafiti uliokua unafanya kwa miaka yote hadi familia haina kitu cha kugawana urithi wanagawana vijiko na vikombe vya plastiki havina mikono
Hahah ukiona muda wa kuandika ujinga nishaingiza tayari

Kwa siku lengo langu ni 100000 tu ukiipata stress za nini
 
Huu ni utafiti mdogo wanawake wembamba wanapenda sana na hawachoki kuliko wanene. Na wengi wao ndio wanaongoza kwa uhuni au kutoka nje ya ndoa sababu hawaridhiki.

Nadhani ndio maana hata miili yao hainenepi hawaridhikagi hawa viumbe. Japo watajisifia wao ni wasafi hata kunako ila hilo halibadilishi ukweli tuwape kongole wanene na miili ya kati hapa pia sio yale gwedegwede(bongeeee nyanya)

Vijana ukioa mke mwembamba jitahidi kumlisha ili uepuke adhabu ya kupanga foleni kunywa pweza au alikasusu ujiboost.

Vijana wengi wanajiona hawana nguvu za kiume kumbe ni wanawake wao hawaridhiki. Unaanza kujiharibu kwa dawa nyingi mwilini.

Siamini kwamba punyeto ya shuleni ikupe adhabu ya kukosa nguvu za kiume ukubwani na kijana chini ya miaka 35 hapo ni uongo. Vijana nguvu mnazo sana ila mnakosa kujiamini kisa umesemwa na mpenzi au mke.

Na ni afadhali umpate mwembamba ila bikra utafaidi ndoa hataenda nje kuonjwa onjwa na wengine kisa hujamtimizia
Mhhh em njoo tutest mitambo tuone
 
Huu ni utafiti mdogo wanawake wembamba wanapenda sana na hawachoki kuliko wanene. Na wengi wao ndio wanaongoza kwa uhuni au kutoka nje ya ndoa sababu hawaridhiki.

Nadhani ndio maana hata miili yao hainenepi hawaridhikagi hawa viumbe. Japo watajisifia wao ni wasafi hata kunako ila hilo halibadilishi ukweli tuwape kongole wanene na miili ya kati hapa pia sio yale gwedegwede(bongeeee nyanya)

Vijana ukioa mke mwembamba jitahidi kumlisha ili uepuke adhabu ya kupanga foleni kunywa pweza au alikasusu ujiboost.

Vijana wengi wanajiona hawana nguvu za kiume kumbe ni wanawake wao hawaridhiki. Unaanza kujiharibu kwa dawa nyingi mwilini.

Siamini kwamba punyeto ya shuleni ikupe adhabu ya kukosa nguvu za kiume ukubwani na kijana chini ya miaka 35 hapo ni uongo. Vijana nguvu mnazo sana ila mnakosa kujiamini kisa umesemwa na mpenzi au mke.

Na ni afadhali umpate mwembamba ila bikra utafaidi ndoa hataenda nje kuonjwa onjwa na wengine kisa hujamtimizia
Mkuu ulicho andika ni emotional??
Au ulifanya tafiti je population sample ilikua ngapi?!
Tuanzie hapo..
 
Back
Top Bottom