Wanawake, mnaponyaje maumivu ya kusalitiwa na wenza wenu?

mchakavumlasana

JF-Expert Member
Mar 9, 2011
389
212
Habari za jioni.

Swali kwa Wanawake, mnawezaje kupona maumivu ya usaliti?

Mnawezaje kurudisha ule upendo ulioisha mioyoni mwenu?

Umeolewa, mna zaidi ya miaka 15, jamaa matukio ya hapa na pale, zaidi akaanza dharau.
Mnasuluhisha maisha yanaendelea ila sasa anakuwa amekutoka tu rohoni..

Unamuona kama binadamu tu mwingine wa kawaida. awepo sawa asiwepo hewala.

Hata kutoka pamoja hamtoki tena, hamna stori zaidi ya kujuliana hali, mkiongea ni maendeleo ya watoto, mafundi, biashara full stop,
hakuna hata simu wala sms (uliacha kumpigia maana hata simu zako alikuwa hapokei na mnaishi nyumba moja chumba kimoja kitanda kimoja!!!!!) alidanganya kuwa hajaoa, na pete ya ndoa alipovulia anajua mwenyewe),

Sasa unatoka mwenyewe labda na wanao na unagundua ni raha iliyoje unaenjoy to the maxmum, unaishi maisha yako as if hayupo. unafanya issue zako mwenyewe,

Hata tendo kwa kusua sua.................

Maisha yanasonga!!!!

Sasa basi........

Baada ya miezi kadhaa mumeo anajitahidi kujirudisha ....
Bahati mbaya hakushtui.... na unagundua kwa kuwa humuamini hata akisema kitu cha ukweli wala hukipi uzito unajua ni mauongo yake tu ya kawaida, atakuwa yupo kwenye ubaharia wake tu.......… kila afanyacho unaona kama anajikosha tu hamna jipya, hakushtui, hakusisimui, yaani anaweza kutuma msg asubuhi ukaiona saa tisa maana hata hujishughulishi na msg zake( si mlishaacha kutumiana msg na simu)

Sasa anataka muyajenge........

wenye uzefu jamani...mnaanzia wapi??????????????????????????
 
Ilitokea kwa jirani yangu baada ya kuhisi mke anachepuka na rafiki wa familia ,mume amemchukia sana mke na hata kufikia kumtangaza kwa watu kuwa ni Malaya. Juzi Kati akasikika sehemu akisema huyu mke wangu amenitoka mpaka basi natamani kuachana naye.nimemsihi amsamehe mke wake lakini hajanielewa kabisa.

Kwa hiyo nakubaliana haya mambo yapo cha msingi yanapokupata msameheane na mwenzako maisha yaendelee.
 
Ongeeni

Muulize...what happened to us?
Why did he cheat/is he still doing it?
Anahisi unajiskiaje?
Ukifanya hivyo na wewe yeye atajiskiaje?


I believe in conversations...
Frm easy ones to difficult ones
Msikilize...subra yahitajika..

Na we sema how you feel...

Aliyekosa aombe msamaha
Mapungufu yajadiliwe...
Way forward?

Jipeni muda...depends na jinsi mlivyo mana mazungumzo km haya yaweza chukua ht wiki tu ama mwaka na zaidi ndo mkajikuta mko sawa or still not...
Si rahisi kuongea...bt wth time inawezekana...
 
Ongeeni

Muulize...what happened to us?
Why did he cheat/is he still doing it?
Anahisi unajiskiaje?
Ukifanya hivyo na wewe yeye atajiskiaje?


I believe in conversations...
Frm easy ones to difficult ones
Msikilize...subra yahitajika..

Na we sema how you feel...

Aliyekosa aombe msamaha
Mapungufu yajadiliwe...
Way forward?

Jipeni muda...depends na jinsi mlivyo mana mazungumzo km haya yaweza chukua ht wiki tu ama mwaka na zaidi ndo mkajikuta mko sawa or still not...
Si rahisi kuongea...bt wth time inawezekana...
Sasa mkute wote Mko tayari kuzyngumza Hapo mtasalimika lakini unakuta Mmoja anakwepa Hasa mkosaji kwa kujisikia kuwa Ana Hatia anaona Bora yaharibike zaidi Ili kukwepa guilty consciousness...!!! Huwa naamini tatizo lolote la kimahusiano linatatuka ikiwa Upendo Msamaha na kukubali Makosa na Nia ya kujirekebisha ikiwemo.
 
Sasa mkute wote Mko tayari kuzyngumza Hapo mtasalimika lakini unakuta Mmoja anakwepa Hasa mkosaji kwa kujisikia kuwa Ana Hatia anaona Bora yaharibike zaidi Ili kukwepa guilty consciousness...!!! Huwa naamini tatizo lolote la kimahusiano linatatuka ikiwa Upendo Msamaha na kukubali Makosa na Nia ya kujirekebisha ikiwemo.
Big problem...hasa mkosaji akijifanya kauzu

Utasamehe kwa ajili yako..maisha yataenda
Ila utashindwa kushuka mrudi km zamani cz wewe ndie uliekosewa.....

Utapona siku mwenye kosa aki'admit
 
Big problem...hasa mkosaji akijifanya kauzu

Utasamehe kwa ajili yako..maisha yataenda
Ila utashindwa kushuka mrudi km zamani cz wewe ndie uliekosewa.....

Utapona siku mwenye kosa aki'admit
Kweli Kabisa shida kukubali kosa... Mwingine anaanza na kukuhesabia ya kwako ya Nyuma kama defensive wall Ili msijadili.. Wakati mwingine huna Nia ya kumuhukumu ni lengo ajue hili si jema awe na Nia ya kuacha abadilike lakini vita itakayozaliwa unaweza kujuta kumfahamu Mtu....!! Nimewahi kushuhudia mke wa Mtu anafanya ujinga kakutwa na Sms za Utata Bado anatishia kuwa hakuna wa kumpangia kuwasiliana simu kanunua kwa Hela yake..!! Mwanaume kajishusha yaende lakini wapi miaka miwili baadae Ile ndoa ya miaka 10 iliyeyuka Bado mwanaume akawa anambembeleza mke wayaweke sawa wapi. Mwanamke kagoma watoto wanahangaika Mume kachanganyikiwa yaani tabu tupu
 
Kweli Kabisa shida kukubali kosa... Mwingine anaanza na kukuhesabia ya kwako ya Nyuma kama defensive wall Ili msijadili.. Wakati mwingine huna Nia ya kumuhukumu ni lengo ajue hili si jema awe na Nia ya kuacha abadilike lakini vita itakayozaliwa unaweza kujuta kumfahamu Mtu....!! Nimewahi kushuhudia mke wa Mtu anafanya ujinga kakutwa na Sms za Utata Bado anatishia kuwa hakuna wa kumpangia kuwasiliana simu kanunua kwa Hela yake..!! Mwanaume kajishusha yaende lakini wapi miaka miwili baadae Ile ndoa ya miaka 10 iliyeyuka Bado mwanaume akawa anambembeleza mke wayaweke sawa wapi. Mwanamke kagoma watoto wanahangaika Mume kachanganyikiwa yaani tabu tupu
Dawa ni kusimamia ukweli..
Hadi siku mwenye kosa atakiri..Mungu katuumba wote tunajua ukweli ni upi..

Vinginevyo hutakuwa na raha kuwa doormat na kuwa walked over all the time..
 
Tafta furaha yako tu hafu miaka 15 huyo mwanaume atakuwa hata hakut... vizuri hana nguvu za kiume tafta kibeten kikukojoze aisee utashangaa unamuona mjinga.
Dah mimi baby wangu hata afanye nini siumii nahrshimu uamuzi wake kutafta starehe ya kumuridhisha basi, so na mimi nafanya yangu.
Umri huu nimekua staki kuumizwa na mjinga yoyote awe Babu, mume sijui nini woooi I don't care life is too short kuumizwa na uamuzi wa mtu mwingine aisee
 
Nimeona wanaume waliokwenye mahusiano/ndoa wakitongoza wanawake walio kwenye mahusiano/ndoa na huku kila mmoja anajua status ya mwenzake na wanasifiana kuwa bora umekuwa mkweli na mapenzi yao yanashamiri ( Liingize hili kwenye fikra)

Na kisha wapo single wanakuwa wapenzi wa ambao wapo kwenye mahusiano na wote wanajuana status zao( hili nalo lifikirie)


wachanganue hawa watu uone ni watu wa aina gani kabla ya kuwaendea wanaodanganya status zao mbele ya wasema kweli na
Amabao wote wawili wanadanganyana : - Single vs married na married vs married. (Nb: married = married/mahusiano)
 
Back
Top Bottom