Wanaume wabaya sana

Hellow lovers,

Wanaume wabaya sana sana vuta picha mtu unampenda sana unaenda kumtembelea una mkuta na mwanamke amevaa khanga yako na tishet yako ambayo ulimpelekea mpenzi kama zawadi.
Wanaume hatuchukuliagi mapenzi serious sana. Sisi kwa 75% tunavutiwa kula mbususu. Sasa wanawake ndio wanaongezaga mbwembwe kama vile kuvaa nguo alizokuta site, kufagia, kudeki, kufua, kupika. Wakati sisi utamu wetu ni mbususu.
Hayo mengine unamkodi hata mama wa makamo anafanya unampa hela kidogo.
 
Wanaume hatuchukuliagi mapenzi serious sana. Sisi kwa 75% tunavutiwa kula mbususu. Sasa wanawake ndio wanaongezaga mbwembwe kama vile kuvaa nguo alizokuta site, kufagia, kudeki, kufua, kupika. Wakati sisi utamu wetu ni mbususu.
Hayo mengine unamkodi hata mama wa makamo anafanya unampa hela kidogo.
Tajiri umepoaaa money talk😅💦💦💦
 
Hellow lovers,

Wanaume wabaya sana sana vuta picha mtu unampenda sana unaenda kumtembelea una mkuta na mwanamke amevaa khanga yako na tishet yako ambayo ulimpelekea mpenzi kama zawadi.
kwa hiyo ulimvua hizo nguo au ulifanyaje..vipi jimbo liko wazi au lina mgogoro kama la mke wa mitishamba..

ila unaonekana msafii hivyo vidole vya mguu vimeniwazisha mengi sema mshikaji kazingua. tupe nafasi sie waaminifu
 
Mapenzi ndivyo yalivyo ..

Polee Yako madam..

Jipoozee na ngomaa ya daimond ""KAMWAMBIE""

itakupooza maumivu na utajua nn ufanyee
 
kwa hiyo ulimvua hizo nguo au ulifanyaje..vipi jimbo liko wazi au lina mgogoro kama la mke wa mitishamba..

ila unaonekana msafii hivyo vidole vya mguu vimeniwazisha mengi sema mshikaji kazingua. tupe nafasi sie waaminifu
🤣🤣🤣🤣u av to be a hard worker kama miladi ya mama samia🤣🤣🤣🤣
 
Polee sana, sasa si ungemvua hizo nguo zako huyo mwanamke aliovaa.
Uwiiii
 
Hellow lovers,

Wanaume wabaya sana sana vuta picha mtu unampenda sana unaenda kumtembelea una mkuta na mwanamke amevaa khanga yako na tishet yako ambayo ulimpelekea mpenzi kama zawadi.
Ulichukua hatua gani on your first sight kabla sijakushauri mrembo?🤔
 
Back
Top Bottom