imezoeleka wanawake wapi wazuri/wembamba/wanene/mkoa gani wa mabinti bomba sasa leo kwenu
Wanaume wa ARUSHA na Dar wapi wakali/wa maana?
wewe hujaelewa hapa nazungumzia maeneo wanamoishi na sio wanapotokea.yaani
wewe umeanzisha thread kabisa?
huoni ile thread ilikuwa ya kijinga????
je kama mtu kazaliwa arusha na anaishi dar kwa miaka mingi?????
au mzaramo aliezaliwa arusha??????
au mhindi wa arusha na dar wanatofautiana????
mpemba wa arusha na dar??????
ugomvi huowanaume wa dar( sio wote ila asilimia kubwa) ni masharobaro balaa, kaz yao kubwa ni kuoga, kupaka powder, lip shine, na kukaa kijiweni! Wanapenda kuomba vocha hao..hawapendi kazi!
yote sawaWakali kwa kupiga vibao au kudunda wanawake?
unajipigia promowa arusha hatuli tigo,sisi wakristo
yote sawa
unaposema "wakali" una maanisha maHB au?imezoeleka wanawake wapi wazuri/wembamba/wanene/mkoa gani wa mabinti bomba sasa leo kwenuWanaume wa ARUSHA na Dar wapi wakali/wa maana?
biashara matangazo!unajipigia promo
ugomvi huo
watoto wa arauchuga wengi wao utasika anasema natak nimwachae prado mamaa mi ninunue mkonge,wa daa utasiki nyie nendeni tu na bajaji mshua kabana ufunguo hata bi mkubwa mwenye hajakubali kutoa hela ya mafuta.
Tafakar then chagua mwenyewe.
wewe hujaelewa hapa nazungumzia maeneo wanamoishi na sio wanapotokea.
Mpemba anayeishi Arusha ni Muarusha na anatabia za kiarusha sasa wewe unashindwa lipi?